Pre GE2025 Mbowe anavuna alichopanda, alipoombwa atoe taarifa ya Wanachojadili kwenye Maridhiano alikataa akidai ni Siri!

Pre GE2025 Mbowe anavuna alichopanda, alipoombwa atoe taarifa ya Wanachojadili kwenye Maridhiano alikataa akidai ni Siri!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Lilikuwa kosa Maridhiano hayawezi kuwa kati ya vyama viwili. Hata yangekuwa mazuri yasingewakilisha maoni ya Watanzania wote na wadau muhimu.

Maridhiano halisi ni kama tume ya Warioba ilivyopita na kukusanya maoni ya wananchi na wadau wote muhimu ili kuja na katiba mpya.

..tatizo ni Samia na Ccm.

..maridhiano kati ya Ccm na Cdm yameshindikana.

..maridhiano na wadau wengine wote kupitia kikosi kazi yameshindikana.

..Miswada iliyopelekwa bungeni imepuuza mapendekezo ya kikosi kazi.

..Samia na Ccm ndio wasiotaka maridhiano.
 
Wakati wa dikteta dhalimu mtu wa kwanza kabisa kufanyiwa ukatili alikua Ben Saanane , hapa ndio maridhiano yalitakiwa yaanzie.

Ilitakiwa iundwe independent inquiry commission kuchunguza mauaji ya kijana huyu au whereabouts zake maana kama alitenda kosa basi mahakama zipo za kumhukumu na kama ni kuhoji PhD ni kosa tujue.
Nakubaliana na wewe kabisa kwenye hilo. Lakini wakati mengine yanaendelea Tundu Lissu alifungulia bomba la matusi dhidi ya Rais Samia. Aliwahi kufananisha akili za Samia na matope.

Unaendeleaje na maridhiano na watu vichaa kama Lissu?
 
Nakubaliana na wewe kabisa kwenye hilo. Lakini wakati mengine yanaendelea Tundu Lissu alifungulia bomba la matusi dhidi ya Rais Samia. Aliwahi kufananisha akili za Samia na matope.

Unaendeleaje na maridhiano na watu vichaa kama Lissu?
Lissu alikua ana demand pesa zake za kiinua mgongo na gharama za matibabu walisokua wanasuasua kumpa.

Luckily Ndugai aliyemuita Lissu mtoro wa vikao bungeni na kusema hana taarifa zake alipo wakati dunia nzima inajua yupo kitandani haikua fair karma served him well.
 
Ccm walipewa nafasi ya maridhiano wakaichezea sasa tukutane barabarani, Mbowe alijaribu kutumia busara imeshindikana
 
Aliyeridhiana na CCM ni Freeman Mbowe na aliyegeukwa ni Yeye mwenyewe Mbowe kwa Sababu yeye ndio anajua walichoridhiana

Mbowe aliombwa awe anatoa taarifa ya Wanachojadili kwenye Maridhiano lakini alikataa akidai ni Siri na Kwamba taarifa itatolewa kwa pamoja mwishoni

Sasa leo analia nini ikiwa Maridhiano yalikuwa ni Siri yao?

Ni mjinga tu ndiye ataandamana

Mlale Unono!
Nasikia, alipewa billion tatu Tshs, sasa, zimeisha anasema maandamano.
 
Maridhiano ni two way traffic au give and take. Hakuna "winner takes all".

Tuliona kesi za wana CDM zikifutwa kwenye Mahakama mbalilmbali, tuliona waliokuwa ukimbizini Canada na Belgium wakirudi nchini, tuliona mikutano ya kisiasa ikirudi.

Sasa unaposema maridhiano hayakuwahi kutokea una maana gani?. Yaani bado tupo enzi za DIKTETA wa Chato?

Tuwe wakweli, mara nyingine CDM mnadhani muna UMUHIMU kuliko Watanzania wengine
Ile kesi ya mchongo ya Mboye ?
 
Back
Top Bottom