Lilikuwa kosa Maridhiano hayawezi kuwa kati ya vyama viwili. Hata yangekuwa mazuri yasingewakilisha maoni ya Watanzania wote na wadau muhimu.
Maridhiano halisi ni kama tume ya Warioba ilivyopita na kukusanya maoni ya wananchi na wadau wote muhimu ili kuja na katiba mpya.
Nakubaliana na wewe kabisa kwenye hilo. Lakini wakati mengine yanaendelea Tundu Lissu alifungulia bomba la matusi dhidi ya Rais Samia. Aliwahi kufananisha akili za Samia na matope.Wakati wa dikteta dhalimu mtu wa kwanza kabisa kufanyiwa ukatili alikua Ben Saanane , hapa ndio maridhiano yalitakiwa yaanzie.
Ilitakiwa iundwe independent inquiry commission kuchunguza mauaji ya kijana huyu au whereabouts zake maana kama alitenda kosa basi mahakama zipo za kumhukumu na kama ni kuhoji PhD ni kosa tujue.
Lissu alikua ana demand pesa zake za kiinua mgongo na gharama za matibabu walisokua wanasuasua kumpa.Nakubaliana na wewe kabisa kwenye hilo. Lakini wakati mengine yanaendelea Tundu Lissu alifungulia bomba la matusi dhidi ya Rais Samia. Aliwahi kufananisha akili za Samia na matope.
Unaendeleaje na maridhiano na watu vichaa kama Lissu?
Nasikia, alipewa billion tatu Tshs, sasa, zimeisha anasema maandamano.Aliyeridhiana na CCM ni Freeman Mbowe na aliyegeukwa ni Yeye mwenyewe Mbowe kwa Sababu yeye ndio anajua walichoridhiana
Mbowe aliombwa awe anatoa taarifa ya Wanachojadili kwenye Maridhiano lakini alikataa akidai ni Siri na Kwamba taarifa itatolewa kwa pamoja mwishoni
Sasa leo analia nini ikiwa Maridhiano yalikuwa ni Siri yao?
Ni mjinga tu ndiye ataandamana
Mlale Unono!
Ile kesi ya mchongo ya Mboye ?Maridhiano ni two way traffic au give and take. Hakuna "winner takes all".
Tuliona kesi za wana CDM zikifutwa kwenye Mahakama mbalilmbali, tuliona waliokuwa ukimbizini Canada na Belgium wakirudi nchini, tuliona mikutano ya kisiasa ikirudi.
Sasa unaposema maridhiano hayakuwahi kutokea una maana gani?. Yaani bado tupo enzi za DIKTETA wa Chato?
Tuwe wakweli, mara nyingine CDM mnadhani muna UMUHIMU kuliko Watanzania wengine