SI KWELI Mbowe apiga picha ikiwa na chupa ya Konyagi nyuma yake

Baada ya kuitathmini taarifa hii, tumebaini kuwa si ya kweli.
Hizo ni spinning brother. Kuna wapuuzi wameua wanajitahidi kubadilisha upepo
Haya mazezeta yamekosa vitu muhimu vya kuongea yanabaki kufikiria ujinga tu, Treni inawashinda huko badala ya kumsaidia Rias yanahangaika na Mbowe
 
Kila uzushi unaoleta kuhusu Mbowe unakanushwa, kwamba wewe umepewa kitengo cha kumuongelea Mbowe tu?
Anakula mshahara TGSS 4 kwa kumzushia Mbowe kila siku.
ni kitengo kabisa na jumapili mtu anawahi kanisani kiti cha mbele kutoa zaka na sadaka na mchango kwa watoto yatima kwa fedhs za kumzushia Mbowe.
 
Kwa iyo mwandishi unahis unatuondoa kwenye kuwaza watekwaji,watesi na wauaji Kwa picha ya kijinga hiv,,hiv mccvu Huwa hamna hata mwenye akili nzur inayoweza kuwaza namna ya kiteka akili za watu? Sasa ujinga gan huu? Tatzo nyimbo za iyena iyena anayejua kuomba vzur ndo anapewa kua kiongoz,, sitakaa niwe mwanachama wa Chama chochote Kwa kwel !!!
 
We naye NYERERE Kuna picha anapiga kabisa bia na safi kabisa Kwan Kuna tabu kumwagilia moyo na kinywaji kinachokuburudisha.

Au ulitaka mpk zingekuwa brand za nje maarufu ndo ungefurahi
 
Anakula mshahara TGSS 4 kwa kumzushia Mbowe kila siku.
ni kitengo kabisa na jumapili mtu anawahi kanisani kiti cha mbele kutoa zaka na sadaka na mchango kwa watoto yatima kwa fedhs za kumzushia Mbowe.
Halafu kuna watu wanaamini hii nchi itapiga hatua kwa watu wa aina hii, Hata Mungu anashangaa haya majitu yamepewa kibali kabisa cha kufanya haya maujinga na akiongozi mkuu anatambua uwepo wao kabisa na anasimama kuomba tuliombee Tiafa na yeye mwenyewe
 
watu wasiokunywa bhana sasa nini cha ajabu..😂
kwanza lime editiwa mmetukosea sana ilitakiwa iwe yenyewe kabisa hiyo picha hutumii hata dk moja kujua kuwa imekuwa edited!.

point chupa ni nyeupe na konyagi ni nyeupe hivyo ingesababisha vilivyonyuma vionekane!,sasa hapo havionekani! kazi mbovu kwelikweli jinga kabisa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…