Pre GE2025 Mbowe asishupaze shingo. Lissu anamwaga petroli kwenye mbao za CHADEMA huku akiwa ameshika kiberiti

Pre GE2025 Mbowe asishupaze shingo. Lissu anamwaga petroli kwenye mbao za CHADEMA huku akiwa ameshika kiberiti

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

G4N

JF-Expert Member
Joined
Apr 6, 2014
Posts
4,283
Reaction score
9,925
Ningelikuwa mshauri wa Mbowe ningemshauri awe mpole tu. Huku mitaani na mitandaoni kote watu wanayaamini maneno ya Lisu. Mbowe anaonekana ni mwizi, mlaghai, mra rushwa na king'ang'anizi wa madaraka.

Mbowe akishupaza shingo na kuendelea na msimamo wake, basi mbao za chadema zitagawanywa ama kupunguzwa na petroli (maneno) aliyobeba Lisu.

Bado nafasi ya kukinusuru chama ipo. Nayo ni Mbowe kujiondoa kwenye kinyangg'anyiro.

Huu ni ushauri tu kwa wenye saccos yao.
 
Ningelikuwa mshauri wa Mbowe ningemshauri awe mpole tu. Huku mitaani na mitandaoni kote watu wanayaamini maneno ya Lisu. Mbowe anaonekana ni mwizi, mlaghai, mra rushwa na king'ang'anizi wa madaraka.

Mbowe akishupaza shingo na kuendelea na msimamo wake, basi mbao za chadema zitagawanywa ama kupunguzwa na petroli (maneno) aliyobeba Lisu.

Bado nafasi ya kukinusuru chama ipo. Nayo ni Mbowe kujiondoa kwenye kinyangg'anyiro.

Huu ni ushauri tu kwa wenye saccos yao.
Anaongea msigwa ccm ndio anaongea lissu chadema
 
Yee apige kelele weee mchawi ni kura tu wakutane kwenye box baas !
 
Ningelikuwa mshauri wa Mbowe ningemshauri awe mpole tu. Huku mitaani na mitandaoni kote watu wanayaamini maneno ya Lisu. Mbowe anaonekana ni mwizi, mlaghai, mra rushwa na king'ang'anizi wa madaraka.

Mbowe akishupaza shingo na kuendelea na msimamo wake, basi mbao za chadema zitagawanywa ama kupunguzwa na petroli (maneno) aliyobeba Lisu.

Bado nafasi ya kukinusuru chama ipo. Nayo ni Mbowe kujiondoa kwenye kinyangg'anyiro.

Huu ni ushauri tu kwa wenye saccos yao.
Ushauri wa kinafiki huu, CCM na wapuuzi wengine naona wamepata cha kuandika kila saa kila dakika
 
Ningelikuwa mshauri wa Mbowe ningemshauri awe mpole tu. Huku mitaani na mitandaoni kote watu wanayaamini maneno ya Lisu. Mbowe anaonekana ni mwizi, mlaghai, mra rushwa na king'ang'anizi wa madaraka.

Mbowe akishupaza shingo na kuendelea na msimamo wake, basi mbao za chadema zitagawanywa ama kupunguzwa na petroli (maneno) aliyobeba Lisu.

Bado nafasi ya kukinusuru chama ipo. Nayo ni Mbowe kujiondoa kwenye kinyangg'anyiro.

Huu ni ushauri tu kwa wenye saccos yao.
shida ni kwamba watakaopiga kura kumchagua mwenyekiti siyo hao wa mitaani wala wamitandaon ni wajumbe ambao mbowe n watu wake wa karibu na fedha itafanya kazi hawezi kushindana na mbowe ingekuwa wanapiga kura hao wamitandaoni na itaani angeshinda lissu laki wajumbe tena ukijumlisha dola itamsaidia lisu kwishnei babujeiiiii
 
Mbowe hana cha kupoteza anaona kabisa siasa imemkataa na hana ushawishi wowote kwa wananchi wa kawaida ameamua kuchagua maokoto na sio mageuzi.. anaona nyota ya Lisu iking'aa na kuwaka majukwaani Lisu ana dhamira ya dhati kuleta ukombozi ndani ya taifa hili.
 
Kwa heshima yake na umri wake, Mbowe angetangaza kwenye uchaguzi huu hatogombea. Hiyo heshima ingemfata.
Hata akishinda kwa goli la mkono, Chadema itakuwa na mpasuko, na mambo yatabaki kuwa vilevile.

Msione ccm wanamshabikia Mbowe, hapo lazima wanafaidika naye, hao hawajawahi mpenda mtu, wasiofaidika naye. Wanajua akiingia TAL wataumbuka na mambo yao yatakuwa hadharani. Kushinda kwa Lissu ni msiba kwa fisiem.
 
Ningelikuwa mshauri wa Mbowe ningemshauri awe mpole tu. Huku mitaani na mitandaoni kote watu wanayaamini maneno ya Lisu. Mbowe anaonekana ni mwizi, mlaghai, mra rushwa na king'ang'anizi wa madaraka.

Mbowe akishupaza shingo na kuendelea na msimamo wake, basi mbao za chadema zitagawanywa ama kupunguzwa na petroli (maneno) aliyobeba Lisu.

Bado nafasi ya kukinusuru chama ipo. Nayo ni Mbowe kujiondoa kwenye kinyangg'anyiro.

Huu ni ushauri tu kwa wenye saccos yao.
Lakini pia ushindani wa ovyo hivi haufai. Bure kabisa!
 
tena ukijumlisha dola itamsaidia
Kweli..
Wanapanga kuingiza kura bandia kama kawaida yao...
 
Shida sio kura, shida nini kitaendelea baada ya kura? Hivi unadhani mbowe akishinda ushawishi wa chadema utabaki ule.ule wa mwanzo?. Ngoja tuone
Ndiyo kitu hawa chawa wa Mbowe hawaelewi,kwa vile wajumbe wapiga kura ni 1200 ni rahisi kuwahonga na wakamchagua tena,lakini huku uraiani Mbowe hana uungwaji mkono tena. Ni dhahiri Chadema itapata madiwani na wabunge wachache sana na pia kura za Urais zitakuwa kiduchu na ndiyo Chadema itaifuata CUF na NCCR Mageuzi. Athari za Mbowe kuendelea kuwa Mwenyekiti ni kubwa sana kuliko Lissu kuwa Mwenyekiti,sasa mwache Mbowe ang'ang'anie pride yake kwa gharama ya kuiua Chadema. Nimekaa pale👉
 
si busara mbowe kujiondoa sababu:lengo la chadema ni kuuonyesha umma kuwa hiki ni chama cha demokrasia hivyo kila mmoja ana nafasi ya kushiriki shughuli zote za kidemokraisa ikiwemo uchaguzi ,chadema endapo mbowe atalazimika kumruhusu lisu apite bila kupingwa CCm itakuwa imepata uhalali wa kuengua wagombea katika chaguzi mbali mbali za dola maana lisu atakuwa kama case study wakati yeye ndo tunamtegemea awe na nguvu ya kukemea hilo la kuenguana na kupita bila kupingwa,sasa basi mimi nachoona kama mbowe ana nia njema na chama,kwanza kabisa anapaswa kurusu uchaguzi uwe huru maana aache wajumbe wapige kura kwa nguvu ya ushawishi wa mgombea sio kwa kutuminia nguvu ya pesa hasa kwa upande wa wapiga kura wake maana kwa LiSU nguvu ya pesa hana na hata kama anayo hatafanya hivyo sababu sera yake katika uchaguzi huu ni kutokomeza rushwa ndani ya chama,pili mbowe atambue kwa kuwa ana nguvu ya wajumbe ambao ndio wapiga kura wake kwenye kinyang'anyiro cha kiti ,mwenzake ana nguvu ya wanachama wa kawaida ambao ndo wanakifanya chama kiwe chama kikuu cha upinzani kwa wingi wa wanachama na wapiga kura wengi ambao wanapokipigia kura hata kisipochukua dola ,kutokana na asilimia zilipatikana kinapata hata wabunge kadhaa na viti maalum,hivyo ushindi wa mbowe bila wanachama wengi chama ni mfu,na kama ccm ndio inafadhili katika hili pia baada ya ushindi wake basi akumbuke hatakuwa tishio tena itabakia amekamilisha malengo ya ccm ya kuiua chadema,ila akishinda kihalali basi umoja wa chama utakuwepo maana hakutakuwa na mpasuko zaidi ila kitakachotokea ni Lisu kubakia na mtaji wa watu wengi ambapo bado itakuwa tishio kwa mbowe japo atakuwa nguvu ya maamuzi katika chama lakini atakuwa anaulizia maoni ya lisu kuhusu hilo jambo ,na akisema amfukuze katika chama napo muyumbo wa chama hauwepukiki,japo wana msemo kuwa chama ni imara kuliko mtu lakini tumeona watu wenye ushawishi walivyofukuzwa chadema ya miaka hiyo haiko kama ilivyokuwa maana hata nguvu ya kumobilize mji kwa ajili ya maandamano haipo tena, hivyo ni, imani yangu kama hakutakuwa na maelewano baada ya uchaguzi huu basi chadema ,itaindokewa kuwa chama kikuu cha upinzani hatimae nakubakiwa kuwa chama chenye usajili wa kudumu basi.
 
Kwa heshima yake na umri wake, Mbowe angetangaza kwenye uchaguzi huu hatogombea. Hiyo heshima ingemfata.
Hata akishinda kwa goli la mkono, Chadema itakuwa na mpasuko, na mambo yatabaki kuwa vilevile.
Ndiyo maana suluhu ya mtanziko huu ni yeye kujiondoa. Maana hata akishinda kihalali/kiharamu bado chama hakitakuwa salama .
 
si busara mbowe kujiondoa sababu:lengo la chadema ni kuuonyesha umma kuwa hiki ni chama cha demokrasia hivyo kila mmoja ana nafasi ya kushiriki shughuli zote za kidemokraisa ikiwemo uchaguzi ,chadema endapo mbowe atalazimika kumruhusu lisu apite bila kupingwa CCm itakuwa imepata uhalali wa kuengua wagombea katika chaguzi mbali mbali za dola maana lisu atakuwa kama case study wakati yeye ndo tunamtegemea awe na nguvu ya kukemea hilo la kuenguana na kupita bila kupingwa,sasa basi mimi nachoona kama mbowe ana nia njema na chama,kwanza kabisa anapaswa kurusu uchaguzi uwe huru maana aache wajumbe wapige kura kwa nguvu ya ushawishi wa mgombea sio kwa kutuminia nguvu ya pesa hasa kwa upande wa wapiga kura wake maana kwa LiSU nguvu ya pesa hana na hata kama anayo hatafanya hivyo sababu sera yake katika uchaguzi huu ni kutokomeza rushwa ndani ya chama,pili mbowe atambue kwa kuwa ana nguvu ya wajumbe ambao ndio wapiga kura wake kwenye kinyang'anyiro cha kiti ,mwenzake ana nguvu ya wanachama wa kawaida ambao ndo wanakifanya chama kiwe chama kikuu cha upinzani kwa wingi wa wanachama na wapiga kura wengi ambao wanapokipigia kura hata kisipochukua dola ,kutokana na asilimia zilipatikana kinapata hata wabunge kadhaa na viti maalum,hivyo ushindi wa mbowe bila wanachama wengi chama ni mfu,na kama ccm ndio inafadhili katika hili pia baada ya ushindi wake basi akumbuke hatakuwa tishio tena itabakia amekamilisha malengo ya ccm ya kuiua chadema,ila akishinda kihalali basi umoja wa chama utakuwepo maana hakutakuwa na mpasuko zaidi ila kitakachotokea ni Lisu kubakia na mtaji wa watu wengi ambapo bado itakuwa tishio kwa mbowe japo atakuwa nguvu ya maamuzi katika chama lakini atakuwa anaulizia maoni ya lisu kuhusu hilo jambo ,na akisema amfukuze katika chama napo muyumbo wa chama hauwepukiki,japo wana msemo kuwa chama ni imara kuliko mtu lakini tumeona watu wenye ushawishi walivyofukuzwa chadema ya miaka hiyo haiko kama ilivyokuwa maana hata nguvu ya kumobilize mji kwa ajili ya maandamano haipo tena, hivyo ni, imani yangu kama hakutakuwa na maelewano baada ya uchaguzi huu basi chadema ,itaindokewa kuwa chama kikuu cha upinzani hatimae nakubakiwa kuwa chama chenye usajili wa kudumu basi.
Umenena vema kabisa mkuu,CCM wanalijua hili ndiyo maana wako upande wa Mbowe wakionyesha upendo kwake lakini wenyewe wakijua kuwa ndiyo wanailekeza Chadema qibla,kama Mbowe analijua hili labda kuna suprise amewaandalia CCM lakini kama ndiyo ameingia kichwa kichwa kusaidiwa hili sakata na CCM na TISS ndiyo ameimaliza Chadema
 
Back
Top Bottom