Eeeeeee wakizuiliwa kufanya kampeni nchi nzima siitakuwa balaaaaaa!!! Labda kulipa fine ya pesaChama cha Demokrasia Makini Wapeleke malalamiko Tume ya maadili officially kwa hicho mbowe alichotamka ili Chadema wachukuliwe hatua officially ikiwemo kuzuiwa kufanya kampeni kama chama nchi nzima