Mbowe atambue hata yeye ikibainika anachukua Rushwa anaweza kufukuzwa Uanachama. Asidhani hakuna wenye uthubutu wa kufanya hivyo

Mbowe atambue hata yeye ikibainika anachukua Rushwa anaweza kufukuzwa Uanachama. Asidhani hakuna wenye uthubutu wa kufanya hivyo

Robert Heriel Mtibeli

JF-Expert Member
Joined
Mar 24, 2018
Posts
28,297
Reaction score
68,017
Mpo salama!

Tumeona kinachotokea Korea ya Kusini. Rais wa Korea Kusini alivyowajibishwa.

Mbowe asidhani kuwa kwa vile yeye ni mwenyekiti hawezi kuchukuliwa hatua zozote ikiwa itabainika anachukua Rushwa au kutoa Rushwa

CHADEMA kama cha cha Demokrasia lazima kifikie hatua na kuwa na watu wenye uthubutu wa kuwawajibisha Mpaka wale viongozi wa juu kabisa WA chama ambao sio waadilifu.

CHADEMA hakipaswi kuwa na viongozi waoga(wanaoogopa Kusema ukweli) wanaowalindia viongozi makosa Yao na kuiita hiyo ni BUSARA.

Hakunaga Busara yoyote ya kuficha maovu kwa mtu yeyote. Kufichiana maovu ni sehemu ya uovu.

Mbowe lazima ajue Mawazo aliyonayo kuhusu kuwawajibisha baadhi ya WanaCHADEMA ambao wamekengeuka Basi hata yeye wapo watu ndani ya CHADEMA wenye uthubutu wa kumuwajibisha pale anapokengeuka.

Lisu ni Kati ya Wachache wenye uwezo na uthubutu wa kumuwajibisha yeyote ndani ya CHADEMA na yeye yupo tayari kuwajibishwa ikiwa amevunja sheria.

Ni hayo tuu!
 
Mwenyekiti Mkapa Mbowe yupo akaja Kikwete Mbowe yupo😀😀😀😀 akaja Magufuli Mbowe yupoooooooo akaja Samia Mbowe yupooooo Kuna ka msamiati ka kung'atuka kwa Mbowe hakapo unaondoka unamuachia nani
 
FB_IMG_17363591092712717.jpg
 
Tatizo la Mbowe anasahau kwamba hiyo sio kampuni binafsi icho ni chama ni mali ya Umma ndo maana anapewa ruzuku ambayo ni kodi za wananchi ambao wengine sio wanachama wa chadema au CCM hiyo sio mali yake ni mali ya Umma
 
Mwenyekiti Mkapa Mbowe yupo akaja Kikwete Mbowe yupo😀😀😀😀 akaja Magufuli Mbowe yupoooooooo akaja Samia Mbowe yupooooo Kuna ka msamiati ka kung'atuka kwa Mbowe hakapo unaondoka unamuachia nani
Mkuu chukua maua yako 💐💐💐💐
 
Mzee wa Mama Tanzania,aliliwa muda na wakuja mwisho akapoteza uongozi na uanachama.

Lissu kaja wakati mbaya sana kwa upande wa Mbowe.
 
Sasa mkuu, baba mwenye mali atafukuzwaje? Wapangaji ndiyo hufukuzwa
 
Vyovyote vile mbowe atakavyo amua watu wataruka nae kwa staili hiyo hiyo.
Namkumbusha tu kwamba pamoja na Uchaguzi wa TLS kuingiliwa na kusapotiwa na dora ila Mwambukusi ndie aliyeibuka mshindi hivyo pesa za sa100 hazitamfikisha popote pale siku ya anguko lake.
 
Mpo salama!

Tumeona kinachotokea Korea ya Kusini. Rais wa Korea Kusini alivyowajibishwa.

Mbowe asidhani kuwa kwa vile yeye ni mwenyekiti hawezi kuchukuliwa hatua zozote ikiwa itabainika anachukua Rushwa au kutoa Rushwa

CHADEMA kama cha cha Demokrasia lazima kifikie hatua na kuwa na watu wenye uthubutu wa kuwawajibisha Mpaka wale viongozi wa juu kabisa WA chama ambao sio waadilifu.

CHADEMA hakipaswi kuwa na viongozi waoga(wanaoogopa Kusema ukweli) wanaowalindia viongozi makosa Yao na kuiita hiyo ni BUSARA.

Hakunaga Busara yoyote ya kuficha maovu kwa mtu yeyote. Kufichiana maovu ni sehemu ya uovu.

Mbowe lazima ajue Mawazo aliyonayo kuhusu kuwawajibisha baadhi ya WanaCHADEMA ambao wamekengeuka Basi hata yeye wapo watu ndani ya CHADEMA wenye uthubutu wa kumuwajibisha pale anapokengeuka.

Lisu ni Kati ya Wachache wenye uwezo na uthubutu wa kumuwajibisha yeyote ndani ya CHADEMA na yeye yupo tayari kuwajibishwa ikiwa amevunja sheria.

Ni hayo tuu!
JF keyboard warriors wanafurahisha kweli! Wewe wa kumtisha Mbowe kweli? Ahahahahaha!!!!
 
JF keyboard warriors wanafurahisha kweli! Wewe wa kumtisha Mbowe kweli? Ahahahahaha!!!!
Kwani Mbowe ye nani? Yupo juu ya katiba au?
Kuna kitu kinaitwa NYAKATI, zikishatimu kila kitu kinaenda mrama
 
Kwani Mbowe ye nani? Yupo juu ya katiba au?
Kuna kitu kinaitwa NYAKATI, zikishatimu kila kitu kinaenda mrama
Ahahahahaha! Kujenga taasisi sio sawa na kujenga banda la kuku jombaa! Ingelikuwa hivyo, hivyo vyama vingine navyo vingelikuwa na "nguvu" kama Chadema. Nguvu ya Chadema ni Mbowe aliyekijenga na sio wewe "wakuja" baada ya Mbowe kukijenga chama! Ahahahahaha!!!
 
Back
Top Bottom