Mbowe atoke ili John Mrema na Benson Kigaila waishije?

Mbowe atoke ili John Mrema na Benson Kigaila waishije?

Musachawenyu

Member
Joined
Aug 6, 2020
Posts
84
Reaction score
109
Toka John Mrema ahitimu elimu ya Ualimu na kupata Gentlemen pass hajawahi kuwa na maisha nje ya Chadema au siasa.

Gari ya kwanza kumiliki Mbowe alimpa zawadi ya Nissan Safari ambayo ilikuwa Mali ya Chadema.

Kapata mke kupitia posho za chadema. Kajenga kupitia pesa ambazo anahongwa na Mbowe kuendelea kuwa Chawa wake promax.

Yuko tayari kuwekea watu sumu boss wake awe tayari kuendelea kuwa Mwenyekiti wa Chama kwa maslahi yake na ya familia yake. Hana ushawishi wowote ila anafaidika na rasilimali za Chadema.

Kadharika kwa Benson Kigaola, Naibu Katibu Mkuu na Chawa lialia.

Huyu analala ubavuni kwa mbunge mmoja wa wale Covid 19 ambaye ni mke wake. Huku wanapiga kelele wamewafukuza huku chawa anakula kuku zinazotokaka na mshahara wa kibunge wa huyo Covid 19.

Ni unafiki tu wanaofanya huku wakiangalia maslahi binafsi.

Hawa wote hawampiganii mbowe sababu wanampenda, bali maslahi yao ya maisha.

Hivyo Lissu ategemee vita kubwa sana toka kwa hawa machawa wakuu wakifuatiwa na vichawa vikina Yerico.

Pia soma
 
Toka John Mrema ahitimu elimu ya Ualimu na kupata Gentlemen pass hajawahi kuwa na maisha nje ya Chadema au siasa.

Gari ya kwanza kumiliki Mbowe alimpa zawadi ya Nissan Safari ambayo ilikuwa Mali ya Chadema.

Kapata mke kupitia posho za chadema. Kajenga kupitia pesa ambazo anahongwa na Mbowe kuendelea kuwa Chawa wake promax.

Yuko tayari kuwekea watu sumu boss wake awe tayari kuendelea kuwa Mwenyekiti wa Chama kwa maslahi yake na ya familia yake. Hana ushawishi wowote ila anafaidika na rasilimali za Chadema.

Kadharika kwa Benson Kigaola, Naibu Katibu Mkuu na Chawa lialia.

Huyu analala ubavuni kwa mbunge mmoja wa wale Covid 19 ambaye ni mke wake. Huku wanapiga kelele wamewafukuza huku chawa anakula kuku zinazotokaka na mshahara wa kibunge wa huyo Covid 19.

Ni unafiki tu wanaofanya huku wakiangalia maslahi binafsi.

Hawa wote hawampiganii mbowe sababu wanampenda, bali maslahi yao ya maisha.

Hivyo Lissu ategemee vita kubwa sana toka kwa hawa machawa wakuu wakifuatiwa na vichawa vikina Yerico.

Pia soma
Mrema Chawa ni shida hata zile press release huwa anaandukiwaga ,huyu benson ndi kabisa shida alise kuwa hajui kama mke wake ni mbunge ?🙆‍♂️🙆‍♂️🙆‍♂️
 
I don't fancy Mrema and Kigaila.

But this is cheap politics in it's crudest forms of aggrandized lunacy and diabolical slander.​
 
Mrema Chawa ni shida hata zile press release huwa anaandukiwaga ,huyu benson ndi kabisa shida alise kuwa hajui kama mke wake ni mbunge ?🙆‍♂️🙆‍♂️🙆‍♂️
Uko sahihi.

Benson alidisco UDSM, akawa anajitafuta kupitia tuition za mitaani. Baadae akajiingiza kwenye siasa, toka mwaka 1999 yuko kwenye sekretariet ya Chadema.

Zaidi ya kupigania ugali hapo hana lolote
 
Ila n
I don't fancy Mrema and Kigaila.

But this is cheap politics in it's crudest forms of aggrandized lunacy and diabolical slander.​

I don't fancy Mrema and Kigaila.

But this is cheap politics in it's crudest forms of aggrandized lunacy and diabolical slander.​
It's not cheap politics. It's the reality of their lives.

Ni kama Mwl. Nyerere alivyowahi sema wote waliokuwa wanamshauri aendelee kusalia madarakani kuwa nchi inamhitaji kumbe wanafanya hivyo kwa maslahi yao wenyewe.
 
Uko sahihi.

Benson alidisco UDSM, akawa anajitafuta kupitia tuition za mitaani. Baadae akajiingiza kwenye siasa, toka mwaka 1999 yuko kwenye sekretariet ya Chadema.

Zaidi ya kupigania ugali hapo hana lolote
Kwa hivyo maendeleo yote chadema mnayosema imepiga kayapigisha lissu na msigwa?
 
Toka John Mrema ahitimu elimu ya Ualimu na kupata Gentlemen pass hajawahi kuwa na maisha nje ya Chadema au siasa.

Gari ya kwanza kumiliki Mbowe alimpa zawadi ya Nissan Safari ambayo ilikuwa Mali ya Chadema.

Kapata mke kupitia posho za chadema. Kajenga kupitia pesa ambazo anahongwa na Mbowe kuendelea kuwa Chawa wake promax.

Yuko tayari kuwekea watu sumu boss wake awe tayari kuendelea kuwa Mwenyekiti wa Chama kwa maslahi yake na ya familia yake. Hana ushawishi wowote ila anafaidika na rasilimali za Chadema.

Kadharika kwa Benson Kigaola, Naibu Katibu Mkuu na Chawa lialia.

Huyu analala ubavuni kwa mbunge mmoja wa wale Covid 19 ambaye ni mke wake. Huku wanapiga kelele wamewafukuza huku chawa anakula kuku zinazotokaka na mshahara wa kibunge wa huyo Covid 19.

Ni unafiki tu wanaofanya huku wakiangalia maslahi binafsi.

Hawa wote hawampiganii mbowe sababu wanampenda, bali maslahi yao ya maisha.

Hivyo Lissu ategemee vita kubwa sana toka kwa hawa machawa wakuu wakifuatiwa na vichawa vikina Yerico.

Pia soma
Mbowe anamhonga vipi John Mrema? Ili iweje? Ondoeni uduanzi wenu. Mmeshagundua kuwa upuuzi wenu wa kumshambulia Lissu umeshitukiwa, sasa mmeamua kujigawa wengine mmehamia upande mwingine ili kushambulia upande wa Mbowe
 
Toka John Mrema ahitimu elimu ya Ualimu na kupata Gentlemen pass hajawahi kuwa na maisha nje ya Chadema au siasa.

Gari ya kwanza kumiliki Mbowe alimpa zawadi ya Nissan Safari ambayo ilikuwa Mali ya Chadema.

Kapata mke kupitia posho za chadema. Kajenga kupitia pesa ambazo anahongwa na Mbowe kuendelea kuwa Chawa wake promax.

Yuko tayari kuwekea watu sumu boss wake awe tayari kuendelea kuwa Mwenyekiti wa Chama kwa maslahi yake na ya familia yake. Hana ushawishi wowote ila anafaidika na rasilimali za Chadema.

Kadharika kwa Benson Kigaola, Naibu Katibu Mkuu na Chawa lialia.

Huyu analala ubavuni kwa mbunge mmoja wa wale Covid 19 ambaye ni mke wake. Huku wanapiga kelele wamewafukuza huku chawa anakula kuku zinazotokaka na mshahara wa kibunge wa huyo Covid 19.

Ni unafiki tu wanaofanya huku wakiangalia maslahi binafsi.

Hawa wote hawampiganii mbowe sababu wanampenda, bali maslahi yao ya maisha.

Hivyo Lissu ategemee vita kubwa sana toka kwa hawa machawa wakuu wakifuatiwa na vichawa vikina Yerico.

Pia soma
Nilisema humu kuwa John Mrema amejibanza kwenye ukurugenzi wa chama tena mambo ya sera na itifaki huku akiwa hana la maana ndani ya chama. Anazidiwa hata na Kileo ambae anafanya vikao. Yeye anachojua ni kuita press kutoa maelekezo ambayo yanaishia kwenye dawati lake. Hawa ndiyo wanasema Mwamba tuvushe tena.
 
Nilisema humu kuwa John Mrema amejibanza kwenye ukurugenzi wa chama tena mambo ya sera na itifaki huku akiwa hana la maana ndani ya chama. Anazidiwa hata na Kileo ambae anafanya vikao. Yeye anachojua ni kuita press kutoa maelekezo ambayo yanaishia kwenye dawati lake. Hawa ndiyo wanasema Mwamba tuvushe tena.
John Mrema hajawahi shinda haya uenyekiti wa kata wa chama chake. Yeye ni kuwa chawa wa kuteuliwa tu basi. Nje ya chadema hana maisha mengine. Ni kama rafiki yake waitara nje ya ubunge atakuwa mlevi wa gongo.
 
Hata huyo mfugs mayai unadhani anapata faida kwenye mayai?

Anategemea hela ya Mbowe.

Niliwahi kuambiwa watu wanene wote akili huwa hawana, nikawa nabisha nikidhani Boni Yai ana akili.
 
Hata huyo mfugs mayai unadhani anapata faida kwenye mayai?

Anategemea hela ya Mbowe.

Niliwahi kuambiwa watu wanene wote akili huwa hawana, nikawa nabisha nikidhani Boni Yai ana akili.
Kama una akili huwezi nenepa hovyo
 
Back
Top Bottom