mbowe awasifu askar police kwakutenda haki

mbowe awasifu askar police kwakutenda haki

kilombero yetu

JF-Expert Member
Joined
May 6, 2011
Posts
1,004
Reaction score
117
walinikamata hawakuninyanyasa hawakunipiga walakunifanyia kitendo kibaya chochote,walinilinda wakithamini uongoz wangu kwa taifa letu,alisema mbowe kwenye taharifa ya habar ya itv .


jaman tumuunge mkono mwenyekiti mbowe kuwapongeza askari
 
aisifiaye mvua................... hongera kamanda kova na vijana wako kwa ustaarabu mliouonyesha ................. onyesheni hivyo hivyo hata kwa raia wengine wasio na nafasi kubwa katika jamii......................
 
Hapo ndipo nnapo wapendea polisi wa Tanzania, wanakusweka ndani halafu wanakupa "shikamoo Mzee".
 
Hapo ndipo nnapo wapendea polisi wa Tanzania, wanakusweka ndani halafu wanakupa "shikamoo Mzee".
inaelekea huna mume we sa hv unachangia, wakat wenzako wako na waume zao! Kwel mcharuko
 
Ni limbukeni mkubwa huyo jianaume zima na ushungi kichwani,Gamba la siku zote,haya sasa nenda ofisi za CCM ukachukue posho mana umeshamaliza ulichotumwa na limbukeni mwenzako NAPE
 
Hapo ndipo nnapo wapendea polisi wa Tanzania, wanakusweka ndani halafu wanakupa "shikamoo Mzee".

upo sahihi embu ona mtu wa kawaida aliyekamatwa kwa kosa hata kama la kijinga uone kama kama kuna mtu atakuja kukupa hiyo shikamoo.
 
Hata mimi nilishaambiwa na mtu wa karibu kuwa unyanyasaji wa polisi kwa mahabusu haupo labda mahabusi wenyewe kwa wenyewe tu.
 
Jamani hivi kweli wewe ni mwanaume???????????????
 
Back
Top Bottom