Bora hawa. Nyie mwajivunia ufisadi mkubwa mnaoufanya. Mnjichotea pesa mtakavyoKweli mkakati kwa sababu kutegemea fedha za michango ya raia kwa kampeni hii hufiki popote . Chadema wapo hoi fedha hazitoki ndio maana kampeni kubwa watafanyia Dar pekee gharama ni ndogo. Poleni makamanda
Kwa pesa zip?Hy awamu ya kwanza ni majiji na kanda zote.Kisha wanaanza kutembea kwa barabara na herikopta kuingia kijijin. Watarudi tena kwenye majiji yote kwa mara nyingine
Aina ya simu unayotumia inakutambulisha wewe ni naniBora hawa. Nyie mwajivunia ufisadi mkubwa mnaoufanya. Mnjichotea pesa mtakavyo
Sent from my SM-J250F using JamiiForums mobile app
Yaani chadema,itafika wakati watakua kimya Kama siku mbili tatu wakipumua,wapo hoi kifedhaKweli mkakati kwa sababu kutegemea fedha za michango ya raia kwa kampeni hii hufiki popote . Chadema wapo hoi fedha hazitoki ndio maana kampeni kubwa watafanyia Dar pekee gharama ni ndogo. Poleni makamanda
Ni uhuru wa vyombo vya habari bwashee!ITV imejivua uITVCCM ? Imeanza kutumia weledi wa taaluma yao ya habari?!
sisiemu wamekimbia Mji ...Arusha kesho inakwenda kutoa UJUMBE kule NYAMAGANA wazee na vijana wanasema NZAGAMBA PAMBALUU
MMEKOSEA KUWAACHIA MAJERUHI KAZI NGUMU KAMA HIILI.
MAJERUHI WA RISASI NA MAJERUHI WA KONYAGI WOTE WAMEJAA SUMU, WANATEMA HASIRA BADALA YA SERA.
KAZI MNAYO!
Wako kwenye uzinduzi wa kampeni kwanza.Dah
Huu mkakati unakoelekea siyo kabisa,hii ni kampeni na siyo ziara.
Jambo ulisilolijua ni kwamba hata CCM wanategemea michango ya wananchi inayoitwa kodi, so its just a way of naming it and mode of collection.Kweli mkakati kwa sababu kutegemea fedha za michango ya raia kwa kampeni hii hufiki popote . Chadema wapo hoi fedha hazitoki ndio maana kampeni kubwa watafanyia Dar pekee gharama ni ndogo. Poleni makamanda
Subilini tuje tuamshe dude kisha mtatorokea polini nyumbu wa ufipa, setengeti inawasubirisisiemu wamekimbia Mji ...Arusha kesho inakwenda kutoa UJUMBE kule NYAMAGANA wazee na vijana wanasema NZAGAMBA PAMBALUU
Tunazo picha za lowasa akiwa Arusha 2015 tutafanya ulinganisho kwa weledi.mjitahidi msije kutoa tena visingiziosisiemu wamekimbia Mji ...Arusha kesho inakwenda kutoa UJUMBE kule NYAMAGANA wazee na vijana wanasema NZAGAMBA PAMBALUU
Best commentMMEKOSEA KUWAACHIA MAJERUHI KAZI NGUMU KAMA HIILI.
MAJERUHI WA RISASI NA MAJERUHI WA KONYAGI WOTE WAMEJAA SUMU, WANATEMA HASIRA BADALA YA SERA.
KAZI MNAYO!
Sisi tutawachangia nyie ibeni hazina kama kawaida yenu. Mpwa Dotto James Mungu wakati atawaumbua binafsiKweli mkakati kwa sababu kutegemea fedha za michango ya raia kwa kampeni hii hufiki popote . Chadema wapo hoi fedha hazitoki ndio maana kampeni kubwa watafanyia Dar pekee gharama ni ndogo. Poleni makamanda
Nali maneneo ga ngudu..magu.mpye ukunu Magufuli duhu nkoi.nahene Ngalo
Hamna mikakati wala mipangoMwenyekiti wa Chadema mh Freeman Mbowe amesema chama chao kinafanya kampeni za kimkakati na kitovu cha kampeni zao ni jiji la DSM.
Mbowe amesema mgombea urais wa CHADEMA kesho atakuwa jijini Arusha na keshokutwa atakuwa jijini Mwanza kwa shughuli za kampeni.
Source ITV habari
Maendeleo hayana vyama!
..mkononi kashika KVant...#MWAMBATUVUSHE, kiboko ya CCM ya Magufuli. [emoji1422][emoji1422][emoji1422][emoji1434][emoji1434][emoji1434]