The Assassin
JF-Expert Member
- Oct 30, 2018
- 4,942
- 20,077
Mwenyekiti wa Chadema bwana Mbowe amesema chama chao cha chadema hakina ukomo wa madaraka na watu wasiwalazimishe kua kama CCM ana ACT wazalendo wenye ukomo wa Madaraka.
Mbowe anasema ukomo wa madaraka kwenye chama chao ni pale wanapofanya uchaguzi kila baada ya miaka 5 hivyo kama kiongozi anachaguliwa tena kwenye kila uchaguzi hilo halina shida ila kama wanachama watamkataa basi huo ndio ukomo wake unakua umefika.
Mbowe anasema chadema wasilazimishwe kua kama ccm ama act kuweka ukomo ama term limit ya viongozi, kiongozi atawale hadi pale wananchi watakapomchoka wenyewe.
Mbowe anasema ukomo wa madaraka kwenye chama chao ni pale wanapofanya uchaguzi kila baada ya miaka 5 hivyo kama kiongozi anachaguliwa tena kwenye kila uchaguzi hilo halina shida ila kama wanachama watamkataa basi huo ndio ukomo wake unakua umefika.
Mbowe anasema chadema wasilazimishwe kua kama ccm ama act kuweka ukomo ama term limit ya viongozi, kiongozi atawale hadi pale wananchi watakapomchoka wenyewe.