Pre GE2025 Mbowe: Familia yangu imeniambia niachane na siasa

Pre GE2025 Mbowe: Familia yangu imeniambia niachane na siasa

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Mkalukungone mwamba

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2022
Posts
862
Reaction score
1,755
Kumekucha huko!

Bwana mkubwa Mbowe amedai kwamba familia yake imechoshwa na mambo yanayomkuta mzee wao sasa wamtaka apumzike na siasa na akafanye mambo mengine.

Hoooo! Sio mbinu ya kinamna ya kujikacha katika kuonyesha nia ya kuwania nafasi ya uwenyekiti wa CHADEMA?
======================

Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Freeman Mbowe amefunguka na kueleza kuwa Familia yake imemwambia aachane na siasa.

Soma Pia: Mwenyekiti CHADEMA Iringa: Mbowe ni role model, asiogope mtu yeyote hata we nje ya nchi

Nimekuwa na wakati mgumu na familia yangu, hakuna kipindi familia yangu imenikalia mguu pande kama kipindi hiki wananiambia baba inatosha, toka achana na siasa rudi nyumbani uendelee na maisha mengine.

Aidha sijapenda namna ambavyo makundi mbalimbali ndani ya chama chetu yanahasimiana kwa kukashifiana, kutukanana, kudhalilishana, na zaidi kusema uongo. Hii taasisi tumeijenga kwa uaminifu mkubwa hadi hapa tulipoifikisha.

Namatumaini yangu kila kiongozi wa chama chetu kama haimini mpaka leo kinachofanyika ndani ya chama chetu cha CHADEMA kina ukweli pengine yupo kwenye nyumba ambayo si sahihi. Tunapenda kusema ukweli chama hiki kinaongozwa kwa vikao, chama hiki akiongozwi na matamko ya mwenyekiti Mbowe.




 
Kumekucha huko!

Bwana mkubwa Mbowe amedai kwamba familia yake imechoshwa na mambo yanayomkuta mzee wao sasa wamtaka apumzike na siasa na akafanye mambo mengine.

Hoooo! Sio mbinu ya kinamna ya kujikacha katika kuonyesha nia ya kuwania nafasi ya uwenyekiti wa CHADEMA?
======================

Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Freeman Mbowe amefunguka na kueleza kuwa Familia yake imemwambia aachane na siasa.

Nimekuwa na wakati mgumu na familia yangu, hakuna kipindi familia yangu imenikalia mguu pande kama kipindi hiki wananiambia baba inatosha, toka achana na siasa rudi nyumbani uendelee na maisha mengine.



Sisi tunajua Mbowe anawachezesha sindima ccm
 
Kumekucha huko!

Bwana mkubwa Mbowe amedai kwamba familia yake imechoshwa na mambo yanayomkuta mzee wao sasa wamtaka apumzike na siasa na akafanye mambo mengine.

Hoooo! Sio mbinu ya kinamna ya kujikacha katika kuonyesha nia ya kuwania nafasi ya uwenyekiti wa CHADEMA?
======================

Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Freeman Mbowe amefunguka na kueleza kuwa Familia yake imemwambia aachane na siasa.

Nimekuwa na wakati mgumu na familia yangu, hakuna kipindi familia yangu imenikalia mguu pande kama kipindi hiki wananiambia baba inatosha, toka achana na siasa rudi nyumbani uendelee na maisha mengine.



Pumzika Mkuu,umefanya mengi yanatosha,watamalizia wengine!
 
Kumekucha huko!

Bwana mkubwa Mbowe amedai kwamba familia yake imechoshwa na mambo yanayomkuta mzee wao sasa wamtaka apumzike na siasa na akafanye mambo mengine.

Hoooo! Sio mbinu ya kinamna ya kujikacha katika kuonyesha nia ya kuwania nafasi ya uwenyekiti wa CHADEMA?
======================

Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Freeman Mbowe amefunguka na kueleza kuwa Familia yake imemwambia aachane na siasa.

Soma Pia: Mwenyekiti CHADEMA Iringa: Mbowe ni role model, asiogope mtu yeyote hata we nje ya nchi

Nimekuwa na wakati mgumu na familia yangu, hakuna kipindi familia yangu imenikalia mguu pande kama kipindi hiki wananiambia baba inatosha, toka achana na siasa rudi nyumbani uendelee na maisha mengine.

Aidha sijapenda namna ambavyo makundi mbalimbali ndani ya chama chetu yanahasimiana kwa kukashifiana, kutukanana, kudhalilishana, na zaidi kusema uongo. Hii taasisi tumeijenga kwa uaminifu mkubwa hadi hapa tulipoifikisha.

Namatumaini yangu kila kiongozi wa chama chetu kama haimini mpaka leo kinachofanyika ndani ya chama chetu cha CHADEMA kina ukweli pengine yupo kwenye nyumba ambayo si sahihi. Tunapenda kusema ukweli chama hiki kinaongozwa kwa vikao, chama hiki akiongozwi na matamko ya mwenyekiti Mbowe.




Mbowe ni kiongozi haswaa
 
Apumzike kwa sasa inatosha. Ila Lisu naye ajifunze kuchagua maneno ya kuongea. Anaongea sana hadi anakera
 
Kumekucha huko!

Bwana mkubwa Mbowe amedai kwamba familia yake imechoshwa na mambo yanayomkuta mzee wao sasa wamtaka apumzike na siasa na akafanye mambo mengine.

Hoooo! Sio mbinu ya kinamna ya kujikacha katika kuonyesha nia ya kuwania nafasi ya uwenyekiti wa CHADEMA?
======================

Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Freeman Mbowe amefunguka na kueleza kuwa Familia yake imemwambia aachane na siasa.

Soma Pia: Mwenyekiti CHADEMA Iringa: Mbowe ni role model, asiogope mtu yeyote hata we nje ya nchi

Nimekuwa na wakati mgumu na familia yangu, hakuna kipindi familia yangu imenikalia mguu pande kama kipindi hiki wananiambia baba inatosha, toka achana na siasa rudi nyumbani uendelee na maisha mengine.

Aidha sijapenda namna ambavyo makundi mbalimbali ndani ya chama chetu yanahasimiana kwa kukashifiana, kutukanana, kudhalilishana, na zaidi kusema uongo. Hii taasisi tumeijenga kwa uaminifu mkubwa hadi hapa tulipoifikisha.

Namatumaini yangu kila kiongozi wa chama chetu kama haimini mpaka leo kinachofanyika ndani ya chama chetu cha CHADEMA kina ukweli pengine yupo kwenye nyumba ambayo si sahihi. Tunapenda kusema ukweli chama hiki kinaongozwa kwa vikao, chama hiki akiongozwi na matamko ya mwenyekiti Mbowe.




Kuna habari fulani zikitaka kuletwa huwa zinaanzia mbali unapewa habari ya kukutayarisha na kukulainisha.

Ndiyo kama vile huwezi kuambiwa rais mpendwa kafariki huko London ghafla tu.

Inabidi uambiwe anaumwa mahututi kwa wiki moja hivi ujitayarishe na nchi ijitayarishe, kumbe huko mambo tayari.
 
Maana anaweza kuukumbuka huu ushauri wa familia akiwa amechelewa sana

Hawa akina Yeriko Nyerere wanapigania matumbo ya familia zao
 
Back
Top Bottom