Mbowe hamaanishi anachokisema kwenye sakata la bandari

Mbowe hamaanishi anachokisema kwenye sakata la bandari

Bhisumbinyama

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2019
Posts
797
Reaction score
581
Mwenyekiti wa CHADEMA bwana Mbowe ameonesha na kuthibitisha kuwa sasa yeye ni mlamba asali ya Ikulu aliyekubuhu.

Hili limethibitika hivi karibuni alipojaribu kujadili sakata la bandari ambapo badala ya kujadili hoja iliyopo meza na faida na hasara zake kwa umma na nchi kwa ujumla yeye amejifanya kuwashambulia wazanzibar wawili ambao ni mhe. Rais na waziri Mbarawa.

Huku ni kutuhamisha kwenye agenda kijanja sana ambapo sasa watu wamehamia kwenye kujadili uzanzibar na utanganyika na rasilimali zilipo kila upande.

Aidhi limeibuka kundi linalowatetea wazanzibar huku hoja muhimu ikisahaulika ambapo sasa naona bwana jiniazi Mbowe the mmachame og atakuwa anajichekea huko aliko.

CHADEMA kuweni makini na mwenendo wa bwana yuleee kwani sasa anaonekana kutumikia asali aliyilambishwa badala ya maslahi ya taifa.

Bwana Mbowe ametukosea sana kwa kututoa kwenye hoja na kuleta ubaguzi wakati taifa liko kwenye mjadala muhimu sana.

Nawasilisha wakuu wangu.
 
Una akili timamu ? badala ya kujadili mlivyouzwa mnamjadili Mbowe !
Akili zimo mukichwa mkuu tena za kutosha. Ndo maana tunatahadharisha mwenendo wa mwenyekiti huyu kututoa kwenye reli kwa kutuletea mambo ya uzanzibar na utanganyika wakati mali zetu zikiwa katika mashaka makubwa.

Mahaba yake na asali ya ikulu anapaswa kutenganisha na maslahi ya nchi. Kama yeye amesoma Venezuela sisi tulipiga buku Cuba.
 
Hiyo akili yako ndiyo inakuvusha barabara za mwendokasi??
 
Hiyo akili yako ndiyo inakuvusha barabara za mwendokasi??
Muulize mbowe na siasa zake za ukanda hadi kuna siku yule chizi wa Canada aliatamani siku moja atawale Arusha .Watanzania tuliingizwa chaka kuruhusu hawa wahuni wenye shule ndogo kupewe jukumu la kuongoza siasa mmbadala
 
Mwenyekiti wa CHADEMA bwana Mbowe ameonesha na kuthibitisha kuwa sasa yeye ni mlamba asali ya Ikulu aliyekubuhu.
Hili limethibitika hivi karibuni alipojaribu kujadili sakata la bandari ambapo badala ya kujadili hoja iliyopo meza na faida na hasara zake kwa umma na nchi kwa ujumla yeye amejifanya kuwashambulia wazanzibar wawili ambao ni mhe. Rais na waziri Mbarawa.
Huku ni kutuhamisha kwenye agenda kijanja sana ambapo sasa watu wamehamia kwenye kujadili uzanzibar na utanganyika na rasilimali zilipo kila upande.
Aidhi limeibuka kundi linalowatetea wazanzibar huku hoja muhimu ikisahaulika ambapo sasa naona bwana jiniazi Mbowe the mmachame og atakuwa anajichekea huko aliko.
CHADEMA kuweni makini na mwenendo wa bwana yuleee kwani sasa anaonekana kutumikia asali aliyilambishwa badala ya maslahi ya taifa.
Bwana Mbowe ametukosea sana kwa kututoa kwenye hoja na kuleta ubaguzi wakati taifa liko kwenye mjadala muhimu sana.
Nawasilisha wakuu wangu.
madalali wa mwarabu muuza watumwa weusi hamuwezi kujibu hoja za mbowe sanasana nendeni mkashangilie huku mkabinua makalio huko dubai kwa kuuza bandari.
 
Muulize mbowe na siasa zake za ukanda hadi kuna siku yule chizi wa Canada aliatamani siku moja atawale Arusha .Watanzania tuliingizwa chaka kuruhusu hawa wahuni wenye shule ndogo kupewe jukumu la kuongoza siasa mmbadala
Madalali ya mwarabu muuza watumwa yamechanganyikiwa baada ya bwana wao wa dubai kupingwa kila kona ya nchi.
 
Akili zimo mukichwa mkuu tena za kutosha. Ndo maana tunatahadharisha mwenendo wa mwenyekiti huyu kututoa kwenye reli kwa kutuletea mambo ya uzanzibar na utanganyika wakati mali zetu zikiwa katika mashaka makubwa.
Mahaba yake na asali ya ikulu anapaswa kutenganisha na maslahi ya nchi. Kama yeye amesoma Venezuela sisi tulipiga buku Cuba.
Acha upumbavu wa kupiganiwa, wewe mtoa hoja umefanya push back gani ?au umekimbilia humu kuja kulalama badala ya kufanya streets battle kama unaona bandari yako inauzwa, chukua bango lako na nenda pale bungeni ukapush back, achana na Mr.Mbowe ,elewa amekaa jela more than 200days wakati wewe umefwata mkia wako, Pakistan, leader wa opposition anakuwa arrest watu wanahamishia battles mitaani, Senegalese hivyo hivyo, watanzania wanapigana ndani ya social networks
 
Mwenyekiti wa CHADEMA bwana Mbowe ameonesha na kuthibitisha kuwa sasa yeye ni mlamba asali ya Ikulu aliyekubuhu.
Hili limethibitika hivi karibuni alipojaribu kujadili sakata la bandari ambapo badala ya kujadili hoja iliyopo meza na faida na hasara zake kwa umma na nchi kwa ujumla yeye amejifanya kuwashambulia wazanzibar wawili ambao ni mhe. Rais na waziri Mbarawa.
Huku ni kutuhamisha kwenye agenda kijanja sana ambapo sasa watu wamehamia kwenye kujadili uzanzibar na utanganyika na rasilimali zilipo kila upande.
Aidhi limeibuka kundi linalowatetea wazanzibar huku hoja muhimu ikisahaulika ambapo sasa naona bwana jiniazi Mbowe the mmachame og atakuwa anajichekea huko aliko.
CHADEMA kuweni makini na mwenendo wa bwana yuleee kwani sasa anaonekana kutumikia asali aliyilambishwa badala ya maslahi ya taifa.
Bwana Mbowe ametukosea sana kwa kututoa kwenye hoja na kuleta ubaguzi wakati taifa liko kwenye mjadala muhimu sana.
Nawasilisha wakuu wangu.
Sijaelewa ulitaka kusemaje? Bandari wauze wengine uje umchafue mwingine? Akili zipo sawasawa kweli au umekunywa smart gin??
 
Back
Top Bottom