Mbowe hana mpango mkakati mpya wa mabadiliko kwa uchaguzi wa 2025.

Mbowe hana mpango mkakati mpya wa mabadiliko kwa uchaguzi wa 2025.

Yoda

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2018
Posts
48,475
Reaction score
70,102
CHADEMA mkimchagua Mbowe awe mwenyekiti tena tegemeeni uchaguzi wa 2025 kuwa kama wa 2024, 2020 na 2019. Mbowe hana mbinu mpya au hamasa ya kushawishi mabadiliko ya uchaguzi 2025, Lissu ndio mtu sahihi wa kuongoza na kuleta mabadiliko mwakani.

Mbowe alifaa kuwa mwenyekiti enzi za JK ila sio katika zama hizi.
 
Back
Top Bottom