Mbowe hapedwi na CCM kwasababu ni CEO mzuri

Mbowe hapedwi na CCM kwasababu ni CEO mzuri

Sasa mbona na nyie mnaumia mkisikia form n moja kule ccm
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Kuwa serious basi mkuu, yaani chadema waumie nyie ku print form moja! Ajabu sana hii. Chadema wataumia kwa mambo ya kitaifa kama katiba na tume ya uchaguzi ambayo mmeipiga rangi kwa kuongezea neno huru. Mambo yenu ya ndani hayawahusu Chadema ndiyo maana mlimpitisha mtu kama Jiwe kugombea urais na wala Chadema hawakusema lolote.
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Kuwa serious basi mkuu, yaani chadema waumie nyie ku print form moja! Ajabu sana hii. Chadema wataumia kwa mambo ya kitaifa kama katiba na tume ya uchaguzi ambayo mmeipiga rangi kwa kuongezea neno huru. Mambo yenu ya ndani hayawahusu Chadema ndiyo maana mlimpitisha mtu kama Jiwe kugombea urais na wala Chadema hawakusema lolote.
Ngoja mke wa mbowe miss Erythrocyte aje akupe muongozo
 
Back
Top Bottom