Mbowe haraka atimuliwe ndani ya CHADEMA

Mbowe haraka atimuliwe ndani ya CHADEMA

Mwamuzi wa Tanzania

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2020
Posts
15,486
Reaction score
45,256
Mikakati ya Mbowe kumwengua Lissu kwenye nyadhifa ya vice chairman haikuwa bahati mbaya. Ilikuwa planned vizuri, na mwishowe angefukuzwa uanachama kwa hisani ya chama kile kilichofadhili kampeni na uchaguzi wa majuzi.

Kumbakisha Mbowe CHADEMA ni hatari sana. Ni heri aondoke na siri za zamani tu huku mikakati ya sasa ibaki kuwa siri za ndani.

Mimi sili Simba, mamba wala chui ila akitaka kunila Mimi na nikapona nyama yake naila vizuri sana.
 
Naweza nikasema FAB nikama (nzi) aliyetua kwenye korodani mamuzi yatakuwa yako eitha utamfukuza kwa kumchapa kofi au uta mtoa taratibu
 
Uchaguzi umeisha Ila km bado veggies hamjakubali matokeo hivi..!!
 
Mikakati ya Mbowe kumwengua Lissu kwenye nyadhifa ya vice chairman haikuwa bahati mbaya. Ilikuwa planned vizuri, na mwishowe angefukuzwa uanachama kwa hisani ya chama kile kilichofadhili kampeni na uchaguzi wa majuzi.

Kumbakisha Mbowe CHADEMA ni hatari sana. Ni heri aondoke na siri za zamani tu huku mikakati ya sasa ibaki kuwa siri za ndani.

Mimi sili Simba, mamba wala chui ila akitaka kunila Mimi na nikapona nyama yake naila vizuri sana.
MODs ikiwezekana liamzishwe jukwaa maalum hapa JF ili nyuzi kama hizi ziwe zinawekwa humo. Linaweza kuitwa Jukwaa la Milembe, ama la Viazi, ama hata la Ndezi, ili wale wenye kutumia vibaya uhuru wa kutoa, maoni, nyuzi zao zikusanywe hapo.

Itakuwa ni kama "recycle bin" katika matumizi ya kompyuta.
 
Back
Top Bottom