Pre GE2025 Mbowe: Historia yangu inajieleza sihitaji kujinadi! Chama hakijajengwa na fedha za wizi

Pre GE2025 Mbowe: Historia yangu inajieleza sihitaji kujinadi! Chama hakijajengwa na fedha za wizi

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Cute Wife

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2023
Posts
1,906
Reaction score
5,000
Wakuu,

Mambo yazidi kuwa moto! Kila CHADEMA mnavyojitahidi kutuaminisha mpo sawa mnakuja kuharibu.

Pia soma: Kuelekea 2025 - Freeman Mbowe: Nitatoa uamuzi wa kugombea Uenyekiti siku ya Jumamosi saa 5 asubuhi

Mbowe kasema hana haja ya kujieleza historia yake inajieleza, na kuwa chama hakijajengwa kwa fedha za wizi kutoka mashirika ya serikali bali ni kwa wanachama kujitoa. Na pia kama wanaona ni kweli ameleta fedha nyingi mpaka wanasema analeta pesa peke yake basi na wao wapeleke hizo fedha kama ni rahisi.

Mambo ni moto :BearLaugh: :BearLaugh: :BearLaugh:

 
Linapokuja jambo la kutembeza spana, Lissu huwa haangalii usoni.
🤣🤣🤣🤣

Kwa maneno yake inaonyesha wazi kuwa hatoki!

Na inaonyesha spana mnazompiga kwenye mitandao ya jamii anazisoma!

Na inaonyesha kuwa zinamuuza kweli kwelikweli!
 
Pamoja na ujanja wote Freeman anazingua sana...
Wakuu somesheni watoto....
 
Kizuri chajiuza kibaya chajitembeza.
Mbowe is very smart,intelligent, humble full of prudence.
Lisu nampenda ila hana busara hata kidogo.
Lissu angekuwa hana busara na ana mdomo mchafu muda huu angekuwa jela.
 
Wakuu,

Mambo yazidi kuwa moto! Kila CHADEMA mnavyojitahidi kutuaminisha mpo sawa mnakuja kuharibu.

Mbowe kasema hana haja ya kujieleza historia yake inajieleza, na kuwa chama hakijajengwa kwa fedha za wizi kutoka mashirika ya serikali bali ni kwa wanachama kujitoa. Na pia kama wanaona ni kweli ameleta fedha nyingi mpaka wanasema analeta pesa peke yake basi na wao wapeleke hizo fedha kama ni rahisi.

Mambo ni moto :BearLaugh: :BearLaugh: :BearLaugh:

View attachment 3179606
Safi sana Mbowe tupo nyuma yako na huhitaji kupiga kampeni yoyote mambo yako yanaeleweka hata na watoto wadogo.
 
Wakuu,

Mambo yazidi kuwa moto! Kila CHADEMA mnavyojitahidi kutuaminisha mpo sawa mnakuja kuharibu.

Mbowe kasema hana haja ya kujieleza historia yake inajieleza, na kuwa chama hakijajengwa kwa fedha za wizi kutoka mashirika ya serikali bali ni kwa wanachama kujitoa. Na pia kama wanaona ni kweli ameleta fedha nyingi mpaka wanasema analeta pesa peke yake basi na wao wapeleke hizo fedha kama ni rahisi.

Mambo ni moto :BearLaugh: :BearLaugh: :BearLaugh:

View attachment 3179606
Hivi tuseme ukweli mwenye kuonyeshwa ana uchungu na chama nani katika hawa tumwombee?
 
Kamanda wa anga upo sahihi 100%, CDM bado inakujitaji kuliko wewe unavyoihitaji.
 
Back
Top Bottom