mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 42,209
- 51,004
Time will tell, atafloat yule jamaa hatari
We lako limebonyea bonyea kabisa mkuu halifai hata kuundwa upyaMagufuli dish limeyumba,ila lisuu dish limeng'oka kabisa[emoji124][emoji124][emoji124][emoji124]
Sent from my SM-G928F using JamiiForums mobile app
We lako limebonyea bonyea kabisa mkuu halifai hata kuundwa upya
Wewe jamaa kweli kiazi.!! Yaani kweli Mbowe aweze kumsafisha Lowassa ambaye alichafuka kila siku sehemu then ashindwe kuwa na confidence na Lissu ambaye hana makando makando ya rushwa na sifa zingine mbaya kwenye jamii.Ndugu zangu,
Napenda kumshukuru Mungu kwa kunipa siku ya leo.
Katika uchaguzi ambao niliufuatilia kwa karibu kubwa sana tangia nianze kufuatilia siasa na wanasiasa, basi ulikuwa ule wa 2015. Ulikuwa uchaguzi wa kipekee sana kuwahi kutokea hapa nchini, na ulikuwa uchaguzi mgumu sana kwa Chama Cha Mapinduzi (CCM), ila CCM walicheza karata kubwa sana ya kumweka Mh. Magufuli. Kwa kutumia rekodi za nyuma za umahili wake wa uchapazi kazi katika kila wizara aliyoteuliwa, ilinifanya kura yangu nimpe huyu ndugu. Na kama CCM wangempitisha Membe, basi kura yangu ingeenda kwa Mh. Lowasa. Na itachukua miaka mingi sana kuwa na uchaguzi kama ule.
Kamari ambayo waliicheza Ukawa, hasa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kwa kumkaribisa Mh. Lowasa (), Mh. Mbowe alikuwa na furaha mno na confidence kubwa sana huku alikuwa anajua kabisa Lowasa anaenda kuingia Ikulu, kulingana na nyota ya siasa amabayo Lowasa alikuwa nayo ambayo ilisababishwa na kuwa na maandalizi ya muda mrefu kwa nafasi hii kubwa kabisa katika kulitumikia taifa. Kama ukisikia mafuriko ya watu kipindi cha Mh. Lowasa, basi yalikuwa mafuriko kwelikweli, Tundulisu hawezi hata kumfikia nusu yake ( )
().
Kipindi hiki naona kama Mh. Mbowe hana ile confidence kabisa ambayo aliyokuwa nayo 2015 kipindi cha Mh. Lowasa (). Kwa kutumia uwezo wangu, ambao amenipa mwenyezi Mungu wa kusoma saikolojia ya mtu, yafuatayo yanaweza kuwa ndio sababu ya Mh. Mbowe kuloose confidence kabisa kuelekea uchaguzi mkuu, yaani hajui kinachoenda kutokea. TL alipokuwa Arusha kusaka wadhamini, wananchi walimtaka Mbowe aongee, Mbowe akaja na hakusema chapuo lolote kwa TL, badala yake alitaja kauli mbiu tu ( ). Kwa jambo hili kwangu linaweza kubeba hoja zifuatazo:
Namalizia nakusema, Mh. Mbowe hana confidence kabisa kwenye uchaguzi huu, japokuwa wengine wanaonekana wanayo, ila ni tofauti sana na huyu ndugu, anajua kabisa Lisu hawezi kuifikia level ya Lowasa, hata nusu yake hawezi, ila ataleta upinzani angalau kidogo tu.
- Mbowe alikuwa anajua kabisa kuwa watu walikuwa wanamtaka Tundulisu ili aweze kupeperusha bendera ya uraisi Chadema kwa sababu ya lile tukio la mashambulizi dhidi yake ili kulenga kura za huruma ya wananchi, ila bado najiuliza kwa nini aliamua naye kutangaza nia, baadae akaacha?
- Au Mbowe aliogopa aibu ya kushindwa na Lisu, maana asilimia kubwa ya wajumbe walikuwa wanataka Lisu apeperushe bendera?
- Kuna uwezekano Mh. Mbowe alikuwa anajua kabisa, Tundulisu hana uwezo wa kupambana na Magufuli, ila kura atakazopata zitakuwa za huruma ya wananchi, ila kwakuwa mkutano mkuu ulikuwa unamtaka TL, basi hakuwa na namna yoyote zaida ya kuunga mkono
Asante,
Nawasilisha
Kejuu
Hutataki chama chenu kifutike ndio maana tunawapa ushauri mapema mumuweke pembeni huyo jamaa, imekua kinyume na matarahio mlitegemea angekuja kuleta hamshahamsha na imani ya chadema kwa wananchi lakini mgombea amekua kituko, anaongea vitu nonesense kabisa, amepitwa na wakati tupo kwenye zama za kujitoa kwenye utegemezi, yeye anakuja na sera za kupigia magoti mataifa makubwa. Jamaa anawaulia chama anafanya chadema inazidi kuonekana ni hovyo kuliko hata hile 2015. Na mgombea mwenza ndio kapoa kama kapigwa shoti, chadema mmetoa boko.Kama amechacha kwa nini mnawehuka humu kila saa kuanzisha thread zinazomuhusu???? Kawashika pabaya na bado nawaambia!!! Lazima mtembee uchi nyie lumumba hadi ifike october
Na kwanini isiwe kondoo kwa mbwa mwitu? hiyo ni kejeri but anyway....
We popoma kweli, ilikuwaje sasa alikuwa anapeperusha bendera ya CDM?Wewe jamaa kweli kiazi.!! Yaani kweli Mbowe aweze kumsafisha Lowassa ambaye alichafuka kila siku sehemu then ashindwe kuwa na confidence na Lissu ambaye hana makando makando ya rushwa na sifa zingine mbaya kwenye jamii.
Acha uchizi wewe, tafuta dawa zako umeze kwanza.
Mngekuwa hamtaki Chama Chetu kife mngefanya biashara ya kununua madiwani na wabunge wa Chama chetu????? Semeni mnaweweseka tu maana mipango yenu yote imekufaHutataki chama chenu kifutike ndio maana tunawapa ushauri mapema mumuweke pembeni huyo jamaa, imekua kinyume na matarahio mlitegemea angekuja kuleta hamshahamsha na imani ya chadema kwa wananchi lakini mgombea amekua kituko, anaongea vitu nonesense kabisa, amepitwa na wakati tupo kwenye zama za kujitoa kwenye utegemezi, yeye anakuja na sera za kupigia magoti mataifa makubwa. Jamaa anawaulia chama anafanya chadema inazidi kuonekana ni hovyo kuliko hata hile 2015. Na mgombea mwenza ndio kapoa kama kapigwa shoti, chadema mmetoa boko.
HAWA JAMAA HUWA HAWANA WASHAULI WAZURI, NDO MAANA WAKINA PROF. BAREGU WALISHAMWAGA MANYANGAHutataki chama chenu kifutike ndio maana tunawapa ushauri mapema mumuweke pembeni huyo jamaa, imekua kinyume na matarahio mlitegemea angekuja kuleta hamshahamsha na imani ya chadema kwa wananchi lakini mgombea amekua kituko, anaongea vitu nonesense kabisa, amepitwa na wakati tupo kwenye zama za kujitoa kwenye utegemezi, yeye anakuja na sera za kupigia magoti mataifa makubwa. Jamaa anawaulia chama anafanya chadema inazidi kuonekana ni hovyo kuliko hata hile 2015. Na mgombea mwenza ndio kapoa kama kapigwa shoti, chadema mmetoa boko.
Halafu sio za kuchangia
Mngekuwa hamtaki Chama Chetu kife mngefanya biashara ya kununua madiwani na wabunge wa Chama chetu????? Semeni mnaweweseka tu maana mipango yenu yote imekufa
Mngekuwa hamtaki Chama Chetu kife mngefanya biashara ya kununua madiwani na wabunge wa Chama chetu????? Semeni mnaweweseka tu maana mipango yenu yote imekufa
Unafananisha Nyarandu aliyehama baada ya nyie kumkataza kwenda kumpa pole ndugu yake Lissu aliyekuwa kitandani Nairobi na hao wahuni kina Lijuakali, Silinde na wengineo mliowanunua Kama Yuda alivyonunuliwa kwa vipande 30???So, Nyalandu aliyehamia kwenu mlimununua?
Unafananisha Nyarandu aliyehama baada ya nyie kumkataza kwenda kumpa pole ndugu yake Lissu aliyekuwa kitandani Nairobi na hao wahuni kina Lijuakali, Silinde na wengineo mliowanunua Kama Yuda alivyonunuliwa kwa vipande 30???
Nani hataki Unafiki??? Lijuakali???? Mtu ambaye hata wajumbe wa CCM wamemtosa na kumpiga chini kwenye ubunge hadi udiwani ndo unakuja kuleta maneno humu hataki unafiki????? Kama hadi Chama chako Mfu mmemuona hafai mie nimuonaje kuwa yeye ni mtu wa maana???Haujui kwamba kuna watu huwa hawataki unafiki mnaoufanyaga. Me nlisafiri mpaka Ifakara kuthibitisha maneno ya Lijua kuhusu ile Chadema investment, Mh. Lijua kwenye clip yake, aliitaja treckta fulani hivi aina ya John deere, ambalo lilikamatwa kwenye mashamba kule Ifakara, ambalo lilikuwa limenunuliwa na Mwenyekiti kwa hela za ruzuku alizokwapua mpaka leo hii hizo pesa hajarudisha. Kama huamini, nenda kituo cha polisi Ifakara utailikuta. Ndugu yangu, watu huwa hawasemi tu, huwa wanadata mkononi, shauli zako.
Hao wazee walishauri sana lakini jamaa hawaelewi wakaamaua kubwaga , sasa wanawachora tuu.. na wagombea wao.HAWA JAMAA HUWA HAWANA WASHAULI WAZURI, NDO MAANA WAKINA PROF. BAREGU WALISHAMWAGA MANYANGA
Wewe baki na akili yako hiyo, ipo siku utakuja kujua mkuuNani hataki Unafiki??? Lijuakali???? Mtu ambaye hata wajumbe wa CCM wamemtosa na kumpiga chini kwenye ubunge hadi udiwani ndo unakuja kuleta maneno humu hataki unafiki????? Kama hadi Chama chako Mfu mmemuona hafai mie nimuonaje kuwa yeye ni mtu wa maana???
Eti Mwenyekiti anakwapua hela za ruzuku!!! Hao PCCB wamefikia wapi juu ya huo uchunguzi????
Sikiliza we kilaza( CCM mmeishiwa hoja) nyie vijana wa CCM wa leo ni tofauti na sie tuliokuwa CCM zamani tuliokuwa tunaweza kujenga hoja. Huwezi kuja kuleta hoja humu kwa mambo ambayo yanawadhalilisha. Unaanzaje kusema kuwa Mbowe anatumia hela vibaya wakati hata ripoti ya CAG haijatamka hilo. Kama mkaguzi official hajaliona hilo wewe ni nani useme kuna icho kitu?????
Niambie umetumia kipimo gani kwa Lijuakali kusema hataki unafiki??? Mtu ambaye hadi nyie CCM mmempiga spana kuanzia ubunge hadi udiwani????Wewe baki na akili yako hiyo, ipo siku utakuja kujua mkuu