Lucas Mwashambwa
JF-Expert Member
- Jul 28, 2022
- 28,722
- 20,610
- Thread starter
- #81
Ni kweli anaona ukweli kuwa Mwamba Mbowe ni Jabali la siasa za Upinzani anayepaswa kupewa Maua yake na heshima ya kipekee kabisaMungu anakuona..😅😅😅
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kweli anaona ukweli kuwa Mwamba Mbowe ni Jabali la siasa za Upinzani anayepaswa kupewa Maua yake na heshima ya kipekee kabisaMungu anakuona..😅😅😅
Sasa na wewe kwa akili yako timamu Unaweza kumpa lissu uenyekiti wa chama? Embu acha utani wako hapa.ni kwa sababu anamzuwia lissu asipande juu kuja kuwapa ccm upinzani wa kweli. Mbowe ni underdog kwa ccm. Mwakani ni bora chadema ya mbowe isisimamishe mgombea urais imuunge mkono mgombea wa ccm na ccm iwaachie wabunge wawili na madiwani wawili watatu kama shukrani kwa mbowe kumdhibiti mbowe asipande juu kuja kuwa mpinzani original wa ccm
mbona yuko fresh tu? Sema nyie ccm mnamuogopa sana kuliko mbowe sleak smooth kwa siasa zenuSasa na wewe kwa akili yako timamu Unaweza kumpa lissu uenyekiti wa chama? Embu acha utani wako hapa.
Lissu hana uwezo wa kuongoza hata Familia yake tu .sasa ni vipi ataweza kuongoza chama kikuu cha upinzani Nchini?: Anachoweza lissu ni uropokaji tu.acha kumuingiza mbowe kingi ili hapo baadae akose hoja za kuwapa za uso, japo tayari mmeishammaliza kisayansi hana upinzani kwa chama chenu, mmemng'oa meno ya kisiasa bila ganzi hang'ati tena, hana makali. Nguli lissu ndilo jitu kubwa mnamuogopa kama jinamizi hamlali usingizi. Mmepata chansi kummalizia huko huko chadema. Ila mfahamu ya kuwa upinzani upo sana tu hata nje ya vyama vya siasa utaibuka kwingine msipodhania na utawapekesha puta nyie ccm mnaomuogopa lissu
CHADEMA haiwezi kuongozwa na mropokaji aina ya Lissumbona yuko fresh tu? Sema nyie ccm mnamuogopa sana kuliko mbowe sleak smooth kwa siasa zenu
uropokaji wake una athari kubwa sana kwa ccm ndio maana nyie ccm mnashadidia mbowe amdhibiti asipande juu kuja kuwapa wakati mgumu hususani wakati wa uchaguzi mkuuCHADEMA haiwezi kuongozwa na mropokaji aina ya Lissu
Kuna uwezekano mkubwa sana ukawa ni muathirika wa madawa ya kulevya.Jinga kuu la nchi. Mwamba na jabari ni kichwa lako kama k.......ndu. shetani na chizi. Mungu chukua hili lishetani haraka lichome Moto liteketee kabisa
Nenda umwambie aanzishe chama chake uone kama atapata mwanachama yeyote mwenye akili Timamu.uropokaji wake una athari kubwa sana kwa ccm ndio maana nyie ccm mnashadidia mbowe amdhibiti asipande juu kuja kuwapa wakati mgumu hususani wakati wa uchaguzi mkuu
sasa hata kama akianzisha chama huoni kuwa mpaka uchaguzi mkuu mwakani kitakuwa kina usajili wa muda na hakitaweza kushiriki vema uchaguzi huo? Sema ahamie chama kingine ili tu awabane mbavu huko, maana ni tishio kuu kwa siasa zenu kongweNenda umwambie aanzishe chama chake uone kama atapata mwanachama yeyote mwenye akili Timamu.
Mbona aligombea 2020 na akaishia kukataliwa na mamilioni ya watanzania?sasa hata kama akianzisha chama huoni kuwa mpaka uchaguzi mkuu mwakani kitakuwa kina usajili wa muda na hakitaweza kushiriki vema uchaguzi huo? Sema ahamie chama kingine ili tu awabane mbavu huko, maana ni tishio kuu kwa siasa zenu kongwe
Tena siyo kidogoVichwa vya Mwafrica kuna mahali vina matatizo..
kinara wa kampeni za mbowe humu awe lucas mwanshambwa akisaidiwa na malaria2Viva Mbowe Viva.
Wanaccm tumeungana kumpigia kampeni Mbowe. 2025 Mbowe achukue fomu kugombea urais wa Tanzania. Sisi wanaccm tumekubali kuwaachia chadema urais . Mbowe ni rais ajaye wa Tanzania.
mbona unajizima data Lucas? Ule ulikuwa ni uchaguzi au uchafuzi?Mbona aligombea 2020 na akaishia kukataliwa na mamilioni ya watanzania?
Ulikuwa ni uchaguzi ambao ulikuwa upo kwa mujibu wa sheria na kusimamiwa na sheria za uchaguzimbona unajizima data Lucas? Ule ulikuwa ni uchaguzi au uchafuzi?
Hakiba ❌ akiba ✅Hakiba ya maneno.View attachment 3182153