Mbowe jiandae mtego unaelekea kukunasa

Mbowe jiandae mtego unaelekea kukunasa

Suzy Elias

JF-Expert Member
Joined
Nov 9, 2021
Posts
1,067
Reaction score
6,200
Ni suala la muda tu, mahangaiko yatarejea tena kama ilivyokuwa hapo jana kwa mwamba. Mbinu na mitego yote ipasayo kumnasa, i mikononi mwao na inangojea mtegwa anase.

Chiba juzi asingenasuliwa na kusepa kule Ulaya, leo hii angekuwa stendi ya Keko. Ana bahati yule mtu!

Maadui hawapendezwi na harakati mpya za kupinga na ushirika na wakosoaji wa bwana mkubwa. Mikakati imeshapangwa na imepangika. Ni umakini pekee ndiyo utafanya mwamba aweze kujinasua.

Na awamu hii mwamba akinasa, hiyo kurejea ni hadi 2026 huko ili kipindi cha kati hapa kusiwepo na usumbufu kwa wakuu kuipita njia ile iendayo pale Kaanani 2025.

Akili mkichwa, nilikuwepo.
 
Ni suala la muda tu, mahangaiko yatarejea tena kama ilivyokuwa hapo jana kwa mwamba. Mbinu na mitego yote ipasayo kumnasa, i mikononi mwao na inangojea mtegwa anase.

Chiba juzi asingenasuliwa na kusepa kule Ulaya, leo hii angekuwa stendi ya Keko. Ana bahati yule mtu!

Maadui hawapendezwi na harakati mpya za kupinga na ushirika na wakosoaji wa bwana mkubwa. Mikakati imeshapangwa na imepangika. Ni umakini pekee ndiyo utafanya mwamba aweze kujinasua.

Na awamu hii mwamba akinasa, hiyo kurejea ni hadi 2026 huko ili kipindi cha kati hapa kusiwepo na usumbufu kwa wakuu kuipita njia ile iendayo pale Kaanani 2025.

Akili mkichwa, nilikuwepo.
Weka picha wewe
 
Ni suala la muda tu, mahangaiko yatarejea tena kama ilivyokuwa hapo jana kwa mwamba. Mbinu na mitego yote ipasayo kumnasa, i mikononi mwao na inangojea mtegwa anase.

Chiba juzi asingenasuliwa na kusepa kule Ulaya, leo hii angekuwa stendi ya Keko. Ana bahati yule mtu!

Maadui hawapendezwi na harakati mpya za kupinga na ushirika na wakosoaji wa bwana mkubwa. Mikakati imeshapangwa na imepangika. Ni umakini pekee ndiyo utafanya mwamba aweze kujinasua.

Na awamu hii mwamba akinasa, hiyo kurejea ni hadi 2026 huko ili kipindi cha kati hapa kusiwepo na usumbufu kwa wakuu kuipita njia ile iendayo pale Kaanani 2025.

Akili mkichwa, nilikuwepo.
Chapa virungu wazushi mbowe na genge lake
 
Ni suala la muda tu, mahangaiko yatarejea tena kama ilivyokuwa hapo jana kwa mwamba. Mbinu na mitego yote ipasayo kumnasa, i mikononi mwao na inangojea mtegwa anase.

Chiba juzi asingenasuliwa na kusepa kule Ulaya, leo hii angekuwa stendi ya Keko. Ana bahati yule mtu!

Maadui hawapendezwi na harakati mpya za kupinga na ushirika na wakosoaji wa bwana mkubwa. Mikakati imeshapangwa na imepangika. Ni umakini pekee ndiyo utafanya mwamba aweze kujinasua.

Na awamu hii mwamba akinasa, hiyo kurejea ni hadi 2026 huko ili kipindi cha kati hapa kusiwepo na usumbufu kwa wakuu kuipita njia ile iendayo pale Kaanani 2025.

Akili mkichwa, nilikuwepo.
Pamoja na hayo,kwa nini umtambulishe mtu kwa jina la "Chiba"?
 
Kwahiyo wewe na uislam wako ukionyeshwa pesa tu unachanua😂😂🔥

Yule Hamza wa Salender bridge angekufyekelea mbali we msafwa!
Mimi sio Muislamu,Njombe Kuna Waislamu? Ila nawakubali Waislamu maana Huwa wanaleta Neema na wanajali Haki,hao wengine ni wapuuzi na Huwa sitaki kabisa wawe Wanaongoza Nchi.
 
Back
Top Bottom