Mbowe jiandae mtego unaelekea kukunasa

Mbowe jiandae mtego unaelekea kukunasa

Mwamba na Chiba waliwekwa ndani mwarabu atapewa kibali cha kuwapakuwa watanganyika
 
Ni suala la muda tu, mahangaiko yatarejea tena kama ilivyokuwa hapo jana kwa mwamba. Mbinu na mitego yote ipasayo kumnasa, i mikononi mwao na inangojea mtegwa anase.

Chiba juzi asingenasuliwa na kusepa kule Ulaya, leo hii angekuwa stendi ya Keko. Ana bahati yule mtu!

Maadui hawapendezwi na harakati mpya za kupinga na ushirika na wakosoaji wa bwana mkubwa. Mikakati imeshapangwa na imepangika. Ni umakini pekee ndiyo utafanya mwamba aweze kujinasua.

Na awamu hii mwamba akinasa, hiyo kurejea ni hadi 2026 huko ili kipindi cha kati hapa kusiwepo na usumbufu kwa wakuu kuipita njia ile iendayo pale Kaanani 2025.

Akili mkichwa, nilikuwepo.
Hao mbwa hawana ubavu ni mashosti tu kwa mbowe Tanganyika ni kubwa kuliko hao wazenji vichwa panzi
 
Ni suala la muda tu, mahangaiko yatarejea tena kama ilivyokuwa hapo jana kwa mwamba. Mbinu na mitego yote ipasayo kumnasa, i mikononi mwao na inangojea mtegwa anase.

Chiba juzi asingenasuliwa na kusepa kule Ulaya, leo hii angekuwa stendi ya Keko. Ana bahati yule mtu!

Maadui hawapendezwi na harakati mpya za kupinga na ushirika na wakosoaji wa bwana mkubwa. Mikakati imeshapangwa na imepangika. Ni umakini pekee ndiyo utafanya mwamba aweze kujinasua.

Na awamu hii mwamba akinasa, hiyo kurejea ni hadi 2026 huko ili kipindi cha kati hapa kusiwepo na usumbufu kwa wakuu kuipita njia ile iendayo pale Kaanani 2025.

Akili mkichwa, nilikuwepo.



Sijui hili jambo wewe linakuhusu nini:

  • Ni Baba ako?
  • Ni mume wako?

Shida yako nini? Ana washauri, utashi, yeye ndo aliwekwa kizuizini, yeye ndo anaendelea na yale yale mambo yake, ni mtu mzima?

SHIDA yako NINI?
 
Acha kutisha watu. Wewe kama unaogopa jela kimpango wako. Wengine wamechagua kufa kishujaa kuliko kufa kibwege
 
Ni suala la muda tu, mahangaiko yatarejea tena kama ilivyokuwa hapo jana kwa mwamba. Mbinu na mitego yote ipasayo kumnasa, i mikononi mwao na inangojea mtegwa anase.

Chiba juzi asingenasuliwa na kusepa kule Ulaya, leo hii angekuwa stendi ya Keko. Ana bahati yule mtu!

Maadui hawapendezwi na harakati mpya za kupinga na ushirika na wakosoaji wa bwana mkubwa. Mikakati imeshapangwa na imepangika. Ni umakini pekee ndiyo utafanya mwamba aweze kujinasua.

Na awamu hii mwamba akinasa, hiyo kurejea ni hadi 2026 huko ili kipindi cha kati hapa kusiwepo na usumbufu kwa wakuu kuipita njia ile iendayo pale Kaanani 2025.

Akili mkichwa, nilikuwepo.
Hakuna vitisho ambavyo Mbowe hajavipata , hiki chako ni upuuzi mtupu
 
Unataka kutudanganya Lissu anaogopa jela zao?!

Au Mbowe?

Hapana, siamini hiki ulichoandika.
 
Umeandika kana kwamba ni kitu unachofurahia wenzako kupata mahangaiko.

Iwe kukaa jela/sero au kuumizwa na mambo ya wengine yote ni mahangaiko

Kifupi maisha bila mahangaiko hayana utimilifu.
Inawezekana pia ukawa sahihi.
Lakini sentensi ya awali ina maana kubwa kwa mwandishi. Vinginevyo maneno yangu yataabaki kama yalivyo.
 
Ni suala la muda tu, mahangaiko yatarejea tena kama ilivyokuwa hapo jana kwa mwamba. Mbinu na mitego yote ipasayo kumnasa, i mikononi mwao na inangojea mtegwa anase.

Chiba juzi asingenasuliwa na kusepa kule Ulaya, leo hii angekuwa stendi ya Keko. Ana bahati yule mtu!

Maadui hawapendezwi na harakati mpya za kupinga na ushirika na wakosoaji wa bwana mkubwa. Mikakati imeshapangwa na imepangika. Ni umakini pekee ndiyo utafanya mwamba aweze kujinasua.

Na awamu hii mwamba akinasa, hiyo kurejea ni hadi 2026 huko ili kipindi cha kati hapa kusiwepo na usumbufu kwa wakuu kuipita njia ile iendayo pale Kaanani 2025.

Akili mkichwa, nilikuwepo.
Kongole nyingi mno ziende kwa watu wote walioguswa na sakata hili la bandari zetu Nchi hii kwa sasa inawahitaji mno watu wote wenye kariba hizo kwa ajili ya ulinzi wa rasilimali za taifa letu.
 
Back
Top Bottom