Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 69,329
- 164,730
Wakati ccm ni gunia la kinyesi ghafichadema ni gunia la tumbaku walah!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wakati ccm ni gunia la kinyesi ghafichadema ni gunia la tumbaku walah!
Wakati ccm ni gunia la kinyesi ghafichadema ni gunia la tumbaku walah!
Njombe ipi isiyokuwa na Waislamu?Mimi sio Muislamu,Njombe Kuna Waislamu? Ila nawakubali Waislamu maana Huwa wanaleta Neema na wanajali Haki,hao wengine ni wapuuzi na Huwa sitaki kabisa wawe Wanaongoza Nchi.
Minimemuelewa kama ameleta taarifa ili kumsanua MboweKwa hiyo unasapoti udhalimu?, Unajua Kuna watu hawaogopi, na kumbuka njia zao waovu Zina mwisho.
Njia zote zina mwisho. Hata wale wasemao wema hawafi watakufa tu.Kwa hiyo unasapoti udhalimu?, Unajua Kuna watu hawaogopi, na kumbuka njia zao waovu Zina mwisho.
Alaa Kwa hiyo Njombe Kuna Waislamu? Wasafwa Kuna Waislamu?Njombe ipi isiyokuwa na Waislamu?
Wewe ni msafwa 🤣🤣
Mjaze mwenyekiti wako ujinga,we ubakie uraiani yeye awe JELA.Jela wamejengewa Wanaume wa Ukweli - Nelson Mandela
Hao mbwa hawana ubavu ni mashosti tu kwa mbowe Tanganyika ni kubwa kuliko hao wazenji vichwa panziNi suala la muda tu, mahangaiko yatarejea tena kama ilivyokuwa hapo jana kwa mwamba. Mbinu na mitego yote ipasayo kumnasa, i mikononi mwao na inangojea mtegwa anase.
Chiba juzi asingenasuliwa na kusepa kule Ulaya, leo hii angekuwa stendi ya Keko. Ana bahati yule mtu!
Maadui hawapendezwi na harakati mpya za kupinga na ushirika na wakosoaji wa bwana mkubwa. Mikakati imeshapangwa na imepangika. Ni umakini pekee ndiyo utafanya mwamba aweze kujinasua.
Na awamu hii mwamba akinasa, hiyo kurejea ni hadi 2026 huko ili kipindi cha kati hapa kusiwepo na usumbufu kwa wakuu kuipita njia ile iendayo pale Kaanani 2025.
Akili mkichwa, nilikuwepo.
Ni suala la muda tu, mahangaiko yatarejea tena kama ilivyokuwa hapo jana kwa mwamba. Mbinu na mitego yote ipasayo kumnasa, i mikononi mwao na inangojea mtegwa anase.
Chiba juzi asingenasuliwa na kusepa kule Ulaya, leo hii angekuwa stendi ya Keko. Ana bahati yule mtu!
Maadui hawapendezwi na harakati mpya za kupinga na ushirika na wakosoaji wa bwana mkubwa. Mikakati imeshapangwa na imepangika. Ni umakini pekee ndiyo utafanya mwamba aweze kujinasua.
Na awamu hii mwamba akinasa, hiyo kurejea ni hadi 2026 huko ili kipindi cha kati hapa kusiwepo na usumbufu kwa wakuu kuipita njia ile iendayo pale Kaanani 2025.
Akili mkichwa, nilikuwepo.
chadema ni gunia la tumbaku walah!
Ni sahihi nami nimejifunza hilo kwake.Mara nyingi Suzy Elias habahatishagi na huenda upo ukweli.
Hakuna vitisho ambavyo Mbowe hajavipata , hiki chako ni upuuzi mtupuNi suala la muda tu, mahangaiko yatarejea tena kama ilivyokuwa hapo jana kwa mwamba. Mbinu na mitego yote ipasayo kumnasa, i mikononi mwao na inangojea mtegwa anase.
Chiba juzi asingenasuliwa na kusepa kule Ulaya, leo hii angekuwa stendi ya Keko. Ana bahati yule mtu!
Maadui hawapendezwi na harakati mpya za kupinga na ushirika na wakosoaji wa bwana mkubwa. Mikakati imeshapangwa na imepangika. Ni umakini pekee ndiyo utafanya mwamba aweze kujinasua.
Na awamu hii mwamba akinasa, hiyo kurejea ni hadi 2026 huko ili kipindi cha kati hapa kusiwepo na usumbufu kwa wakuu kuipita njia ile iendayo pale Kaanani 2025.
Akili mkichwa, nilikuwepo.
Inawezekana pia ukawa sahihi.Umeandika kana kwamba ni kitu unachofurahia wenzako kupata mahangaiko.
Iwe kukaa jela/sero au kuumizwa na mambo ya wengine yote ni mahangaiko
Kifupi maisha bila mahangaiko hayana utimilifu.
Kongole nyingi mno ziende kwa watu wote walioguswa na sakata hili la bandari zetu Nchi hii kwa sasa inawahitaji mno watu wote wenye kariba hizo kwa ajili ya ulinzi wa rasilimali za taifa letu.Ni suala la muda tu, mahangaiko yatarejea tena kama ilivyokuwa hapo jana kwa mwamba. Mbinu na mitego yote ipasayo kumnasa, i mikononi mwao na inangojea mtegwa anase.
Chiba juzi asingenasuliwa na kusepa kule Ulaya, leo hii angekuwa stendi ya Keko. Ana bahati yule mtu!
Maadui hawapendezwi na harakati mpya za kupinga na ushirika na wakosoaji wa bwana mkubwa. Mikakati imeshapangwa na imepangika. Ni umakini pekee ndiyo utafanya mwamba aweze kujinasua.
Na awamu hii mwamba akinasa, hiyo kurejea ni hadi 2026 huko ili kipindi cha kati hapa kusiwepo na usumbufu kwa wakuu kuipita njia ile iendayo pale Kaanani 2025.
Akili mkichwa, nilikuwepo.