Pre GE2025 Mbowe: Kipindi cha Magufuli biashara zangu ziliharibika nikaomba likizo kutoka Chadema ili niweke mambo yangu sawa wenzangu wakanikatalia

Pre GE2025 Mbowe: Kipindi cha Magufuli biashara zangu ziliharibika nikaomba likizo kutoka Chadema ili niweke mambo yangu sawa wenzangu wakanikatalia

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
chadema noma ,MUDA huu mbowe kabananishwa clouds na power breakfast show

Kunakikao Cha kamati kuu, kipo kinaendeshwa MUDA huu na LISU ....nimecheka sana
Isije ikawa alikuwa anakwepa hicho kikao ndio maana akajifanya kuwa na hicho kipindi.
 
Isije ikawa alikuwa anakwepa hicho kikao ndio maana akajifanya kuwa na hicho kipindi.
Alikuwa ana tafuta huruma kitaa mana kura ya maoni nchi zima inamchanganya

Nawasiwasi hata power breakfast ilikuwa kama yamchongo hivi
 
Baharia mzuri hujulikana wakati wa dhoruba.

Wale vibaraka wanaopigiwa chapuo walikimbia Nchi wakati wa dhoruba na baada ya Uchaguzi eti wanaogopa kufungwa ila mwamba alikaa jela miezi ya kutosha.

Amerekebisha chombo,dhoruba imetoa ndio waliokimbia Wanataka kumtoa nahodha eti amechoka.

Huu ujinga unaweza fanyika Chadema tuu.
 
Back
Top Bottom