Mbowe kuachiwa Huru: Leo mshitaki, mshitakiwa na refa, wote wanasherehekea

Mbowe kuachiwa Huru: Leo mshitaki, mshitakiwa na refa, wote wanasherehekea

Lububi

JF-Expert Member
Joined
May 3, 2013
Posts
2,158
Reaction score
3,808
Michezo ya kisiasa huwa iko complex kiasi kwamba huzalisha conspiracies nyingi. Kwa bahati mbaya na kwa heshma ya msemo wa "the majority are always not right" huwa tunaangalia kile tu tunaona(patent).

Mi kwa mtazamo wangu

1. Serkali na CCM kama chama tawala ndo washindi No moja katika sakata hili maana wameweza kuzima joto la baada ya uchaguzi wa 2020 kwa namna ulivyofanyika.

Pia wakazima vuguvugu la katiba mpya wakat wa kipindi kigumu cha mpito kwa rais aliyeko madarakan. Na zaidi morale ya kudai katiba mpya iko chini, ongezea na hali ya wananchi tulivyo hoi kifikra na kiuchumi.

Itafika 2025 hakuna hata kiraka cha katiba mpya wala katiba yenyewe. CCM wameshapata uhakikisho wa kuendesha nchi na chaguz kwa namna ile ile. Kiufup ccm wamei "contain" nchi kwa ufanis mkubwa. Alichoanzisha sabaya na uncle magu kimewalipa!
Pia kelele za ndan na nje dhidi ya serkali na chama zitapoa. Mission accomplished!

2. Mshindi wa pili ni waliokuwa ndan. Mzee Mbowe na wenzake. Wamepewa uhuru wao kujumuika na familia zao na jamii.
HATA HIVYO KUPEWA UNACHOSTAHILI SI KUPATA! Kisheria mawakili wameifanya kaz yao vzuri.

Hata hivyo nahis walikuwa wakipambana kupiga deadsnake! Wakijua Mbowe anatakiwa kushinda kesi na upande wa 2 wakijua mbowe alitakiwa kufungwa gavana ya kisiasa kwa muda flan ambao ulishatosha!

3. Mshindi wa tatu ni jaji na timu yake kimahakama. Hii kesi ilikuwa kubwa kwa sababu ya jamii na wahusika. Hukumu ya jaji huyu ilikuwa au jaji maarufu katika kutoa haki au awe jaji wa ovyo katika historia.

Ni kesi yenye precedent muhim. Kesi kuishia hajaihukum amepumua na posho kashakula ya kutosha. Amemaliza vizuri. Kama angefikishwa mwisho huenda angepatwa na stress za kunawa mikono mtu asulubiwe!

Kwahiyo kila upande unasherehekea kwa namna yake! Kila upande una ushindi mkononi.
 
Umetengeneza hii mindgame ili tuamini hiki ulichosema kuwa ndio hivyo.

Tunaufahamu wa kutosha na hiki kilichofanyika. Kwa ujumla ule uwezo wa serekali kutengeneza matukio complex umeisha ndio maana wametengeneza kesi ya kitoto mno.
 
Ccm ni washinde KWA kuwa wamezuia katiba mpya?? Dah hii hatari Sana

Ccm wameicontain nchi kwa kuwafanya watu masikini zaidi ? Sawa bana

Munga ataingilia kati
 
Kwa upande wa jaji sio kweli,jaji hakuwa na dhamira nzuri
Ukisoma btn lines mleta uzi kaeleza vizuri kuwa jaji angenawa mikono ili mtu afungwe...hii inamaanisha angeiachia serikali imhukumu Mbowe ilihali hana hatia
 
Michezo ya kisiasa huwa iko complex kiasi kwamba huzalisha conspiracies nyingi. Kwa bahati mbaya na kwa heshma ya msemo wa "the majority are always not right" huwa tunaangalia kile tu tunaona(patent).

Mi kwa mtazamo wangu

1. Serkali na ccm kama chama tawala ndo washindi No moja katika sakata hili maana wameweza kuzima joto la baada ya uchaguzi wa 2020 kwa namna ulivyofanyika.

Pia wakazima vuguvugu la katiba mpya wakat wa kipindi kigumu cha mpito kwa rais aliyeko madarakan. Na zaid morale ya kudai katiba mpya iko chini, ongezea na hali ya wananchi tulivyo hoi kifikra na kiuchumi.

Itafika 2025 hakuna hata kiraka cha katiba mpya wala katiba yenyewe. Ccm wameshapata uhakikisho wa kuendesha nchi na chaguz kwa namna ile ile. Kiufup ccm wamei "contain" nchi kwa ufanis mkubwa. Alichoanzisha sabaya na uncle magu kimewalipa!
Pia kelele za ndan na nje dhidi ya serkali na chama zitapoa. Mission accomplished!

2. Mshindi wa pili ni waliokuwa ndan. Mzee Mbowe na wenzake. Wamepewa uhuru wao kujumuika na familia zao na jamii.
HATA HIVYO KUPEWA UNACHOSTAHILI SI KUPATA! Kisheria mawakili wameifanya kaz yao vzuri.

Hata hivyo nahis walikuwa wakipambana kupiga deadsnake! Wakijua Mbowe anatakiwa kushinda kesi na upande wa 2 wakijua mbowe alitakiwa kufungwa gavana ya kisiasa kwa muda flan ambao ulishatosha!

3. Mshindi wa tatu ni jaji na timu yake kimahakama.
Hii kesi ilikuwa kubwa kwa sababu ya jamii na wahusika. Hukumu ya jaji huyu ilikuwa au jaji maarufu katika kutoa haki au awe jaji wa ovyo katika historia.

Ni kesi yenye precedent muhim. Kesi kuishia hajaihukum amepumua na posho kashakula ya kutosha. Amemaliza vizuri. Kama angefikishwa mwisho huenda angepatwa na stress za kunawa mikono mtu asulubiwe!

Kwahiyo kila upande unasherehekea kwa namna yake! Kila upande una ushindi mkononi.
Kila mtu atasema lake, cha muhimu mzee mbowe kafutiwa mashtaka bila mashart yoyote.
Hayo mengine endeleeni kupiga poyoyo.
 
Michezo ya kisiasa huwa iko complex kiasi kwamba huzalisha conspiracies nyingi. Kwa bahati mbaya na kwa heshma ya msemo wa "the majority are always not right" huwa tunaangalia kile tu tunaona(patent).

Mi kwa mtazamo wangu

1. Serkali na ccm kama chama tawala ndo washindi No moja katika sakata hili maana wameweza kuzima joto la baada ya uchaguzi wa 2020 kwa namna ulivyofanyika.

Pia wakazima vuguvugu la katiba mpya wakat wa kipindi kigumu cha mpito kwa rais aliyeko madarakan. Na zaid morale ya kudai katiba mpya iko chini, ongezea na hali ya wananchi tulivyo hoi kifikra na kiuchumi.

Itafika 2025 hakuna hata kiraka cha katiba mpya wala katiba yenyewe. Ccm wameshapata uhakikisho wa kuendesha nchi na chaguz kwa namna ile ile. Kiufup ccm wamei "contain" nchi kwa ufanis mkubwa. Alichoanzisha sabaya na uncle magu kimewalipa!
Pia kelele za ndan na nje dhidi ya serkali na chama zitapoa. Mission accomplished!

2. Mshindi wa pili ni waliokuwa ndan. Mzee Mbowe na wenzake. Wamepewa uhuru wao kujumuika na familia zao na jamii.
HATA HIVYO KUPEWA UNACHOSTAHILI SI KUPATA! Kisheria mawakili wameifanya kaz yao vzuri.

Hata hivyo nahis walikuwa wakipambana kupiga deadsnake! Wakijua Mbowe anatakiwa kushinda kesi na upande wa 2 wakijua mbowe alitakiwa kufungwa gavana ya kisiasa kwa muda flan ambao ulishatosha!

3. Mshindi wa tatu ni jaji na timu yake kimahakama.
Hii kesi ilikuwa kubwa kwa sababu ya jamii na wahusika. Hukumu ya jaji huyu ilikuwa au jaji maarufu katika kutoa haki au awe jaji wa ovyo katika historia.

Ni kesi yenye precedent muhim. Kesi kuishia hajaihukum amepumua na posho kashakula ya kutosha. Amemaliza vizuri. Kama angefikishwa mwisho huenda angepatwa na stress za kunawa mikono mtu asulubiwe!

Kwahiyo kila upande unasherehekea kwa namna yake! Kila upande una ushindi mkononi.
Mshindi ni no 3 amepiga per diem za kutosha na bado kesi imeishia njiani
 
Michezo ya kisiasa huwa iko complex kiasi kwamba huzalisha conspiracies nyingi. Kwa bahati mbaya na kwa heshma ya msemo wa "the majority are always not right" huwa tunaangalia kile tu tunaona(patent).

Mi kwa mtazamo wangu

1. Serkali na ccm kama chama tawala ndo washindi No moja katika sakata hili maana wameweza kuzima joto la baada ya uchaguzi wa 2020 kwa namna ulivyofanyika.

Pia wakazima vuguvugu la katiba mpya wakat wa kipindi kigumu cha mpito kwa rais aliyeko madarakan. Na zaid morale ya kudai katiba mpya iko chini, ongezea na hali ya wananchi tulivyo hoi kifikra na kiuchumi.

Itafika 2025 hakuna hata kiraka cha katiba mpya wala katiba yenyewe. Ccm wameshapata uhakikisho wa kuendesha nchi na chaguz kwa namna ile ile. Kiufup ccm wamei "contain" nchi kwa ufanis mkubwa. Alichoanzisha sabaya na uncle magu kimewalipa!
Pia kelele za ndan na nje dhidi ya serkali na chama zitapoa. Mission accomplished!

2. Mshindi wa pili ni waliokuwa ndan. Mzee Mbowe na wenzake. Wamepewa uhuru wao kujumuika na familia zao na jamii.
HATA HIVYO KUPEWA UNACHOSTAHILI SI KUPATA! Kisheria mawakili wameifanya kaz yao vzuri.

Hata hivyo nahis walikuwa wakipambana kupiga deadsnake! Wakijua Mbowe anatakiwa kushinda kesi na upande wa 2 wakijua mbowe alitakiwa kufungwa gavana ya kisiasa kwa muda flan ambao ulishatosha!

3. Mshindi wa tatu ni jaji na timu yake kimahakama.
Hii kesi ilikuwa kubwa kwa sababu ya jamii na wahusika. Hukumu ya jaji huyu ilikuwa au jaji maarufu katika kutoa haki au awe jaji wa ovyo katika historia.

Ni kesi yenye precedent muhim. Kesi kuishia hajaihukum amepumua na posho kashakula ya kutosha. Amemaliza vizuri. Kama angefikishwa mwisho huenda angepatwa na stress za kunawa mikono mtu asulubiwe!

Kwahiyo kila upande unasherehekea kwa namna yake! Kila upande una ushindi mkononi.

Mbowe kapewa millage kubwa Sana Sana na kama wangejua wanafika hapa wasingemshika
 
Kwa upande wa jaji sio kweli,jaji hakuwa na dhamira nzuri
Jaji hajawai kuwa na dhamira mbaya. Jaji hakuwa na uhasama na mbowe. Huwa ni mashinikizo. Na penye mashnikizo manake serkal ndo ina ingehesabiwa nia mbovu hasa. Kesi za serkali ni zaid ya weredi unaokuwa nao. Hasa kwa hizi nchi za kikomunist na utawala bora wenye matege
 
Mshindi ni no 3 amepiga per diem za kutosha na bado kesi imeishia njiani
Alijua ngoma itafika mwezi wa tano kama kaagiza mzigo china alipe kwa kutumia per diem hana budi kuomba mkopo
 
Michezo ya kisiasa huwa iko complex kiasi kwamba huzalisha conspiracies nyingi. Kwa bahati mbaya na kwa heshma ya msemo wa "the majority are always not right" huwa tunaangalia kile tu tunaona(patent).

Mi kwa mtazamo wangu

1. Serkali na CCM kama chama tawala ndo washindi No moja katika sakata hili maana wameweza kuzima joto la baada ya uchaguzi wa 2020 kwa namna ulivyofanyika.

Pia wakazima vuguvugu la katiba mpya wakat wa kipindi kigumu cha mpito kwa rais aliyeko madarakan. Na zaidi morale ya kudai katiba mpya iko chini, ongezea na hali ya wananchi tulivyo hoi kifikra na kiuchumi.

Itafika 2025 hakuna hata kiraka cha katiba mpya wala katiba yenyewe. CCM wameshapata uhakikisho wa kuendesha nchi na chaguz kwa namna ile ile. Kiufup ccm wamei "contain" nchi kwa ufanis mkubwa. Alichoanzisha sabaya na uncle magu kimewalipa!
Pia kelele za ndan na nje dhidi ya serkali na chama zitapoa. Mission accomplished!

2. Mshindi wa pili ni waliokuwa ndan. Mzee Mbowe na wenzake. Wamepewa uhuru wao kujumuika na familia zao na jamii.
HATA HIVYO KUPEWA UNACHOSTAHILI SI KUPATA! Kisheria mawakili wameifanya kaz yao vzuri.

Hata hivyo nahis walikuwa wakipambana kupiga deadsnake! Wakijua Mbowe anatakiwa kushinda kesi na upande wa 2 wakijua mbowe alitakiwa kufungwa gavana ya kisiasa kwa muda flan ambao ulishatosha!

3. Mshindi wa tatu ni jaji na timu yake kimahakama. Hii kesi ilikuwa kubwa kwa sababu ya jamii na wahusika. Hukumu ya jaji huyu ilikuwa au jaji maarufu katika kutoa haki au awe jaji wa ovyo katika historia.

Ni kesi yenye precedent muhim. Kesi kuishia hajaihukum amepumua na posho kashakula ya kutosha. Amemaliza vizuri. Kama angefikishwa mwisho huenda angepatwa na stress za kunawa mikono mtu asulubiwe!

Kwahiyo kila upande unasherehekea kwa namna yake! Kila upande una ushindi mkononi.
WOGA wa Chama tawala KATIBA MPYA IPO PALE PALE
 
Jaji hajawai kuwa na dhamira mbaya. Jaji hakuwa na uhasama na mbowe. Huwa ni mashinikizo. Na penye mashnikizo manake serkal ndo ina ingehesabiwa nia mbovu hasa. Kesi za serkali ni zaid ya weredi unaokuwa nao. Hasa kwa hizi nchi za kikomunist na utawala bora wenye matege
Kwanini hakujitoa..si ni judge?kwani akijitoa atakosa kuishi?mbona sisi huku kitaa siku zinasonga?
 
Kwanini hakujitoa..si ni judge?kwani akijitoa atakosa kuishi?mbona sisi huku kitaa siku zinasonga?
Kwan huko kitaa unakoishi umejitoa wapi! Ulipo ndo unapopaswa kuwa. Jaji yupo kwenye ujaji ndiko anapopaswa kuwa. Mengine ni changamoto tu za kaz. Maisha ya kujifanya mshumaa waachie wasio na cha kupoteza. Serkali sio zumarad. Unaweza kujitoa na bado kitaa usiishi!
 
Michezo ya kisiasa huwa iko complex kiasi kwamba huzalisha conspiracies nyingi. Kwa bahati mbaya na kwa heshma ya msemo wa "the majority are always not right" huwa tunaangalia kile tu tunaona(patent).

Mi kwa mtazamo wangu

1. Serkali na CCM kama chama tawala ndo washindi No moja katika sakata hili maana wameweza kuzima joto la baada ya uchaguzi wa 2020 kwa namna ulivyofanyika.

Pia wakazima vuguvugu la katiba mpya wakat wa kipindi kigumu cha mpito kwa rais aliyeko madarakan. Na zaidi morale ya kudai katiba mpya iko chini, ongezea na hali ya wananchi tulivyo hoi kifikra na kiuchumi.

Itafika 2025 hakuna hata kiraka cha katiba mpya wala katiba yenyewe. CCM wameshapata uhakikisho wa kuendesha nchi na chaguz kwa namna ile ile. Kiufup ccm wamei "contain" nchi kwa ufanis mkubwa. Alichoanzisha sabaya na uncle magu kimewalipa!
Pia kelele za ndan na nje dhidi ya serkali na chama zitapoa. Mission accomplished!

2. Mshindi wa pili ni waliokuwa ndan. Mzee Mbowe na wenzake. Wamepewa uhuru wao kujumuika na familia zao na jamii.
HATA HIVYO KUPEWA UNACHOSTAHILI SI KUPATA! Kisheria mawakili wameifanya kaz yao vzuri.

Hata hivyo nahis walikuwa wakipambana kupiga deadsnake! Wakijua Mbowe anatakiwa kushinda kesi na upande wa 2 wakijua mbowe alitakiwa kufungwa gavana ya kisiasa kwa muda flan ambao ulishatosha!

3. Mshindi wa tatu ni jaji na timu yake kimahakama. Hii kesi ilikuwa kubwa kwa sababu ya jamii na wahusika. Hukumu ya jaji huyu ilikuwa au jaji maarufu katika kutoa haki au awe jaji wa ovyo katika historia.

Ni kesi yenye precedent muhim. Kesi kuishia hajaihukum amepumua na posho kashakula ya kutosha. Amemaliza vizuri. Kama angefikishwa mwisho huenda angepatwa na stress za kunawa mikono mtu asulubiwe!

Kwahiyo kila upande unasherehekea kwa namna yake! Kila upande una ushindi mkononi.
Ni vizuri kujipa afueni kwa kujijengea fikra mbadala (Alternative facts).

Bahati mbaya sana, hiyo haiondoi ukweli kuwa serikali imeshindwa kikubwa kumhukumu kosa Mbowe and co. DPP, Police, mahakama wameaibika kikubwa kwa kujikanyagakanyaga katika mchakato mzima wa kesi hadi kuifuta. Jeshi limechafuliwa kwa makomando kuhusishwa na uhaini na kuteremshiwa vipigo na polisi. Imagine DPP anaondoa kesi wakati mahakama ilishampa ushindi kuwa ushahidi wa timu yake umethibitisha makosa ya watuhumiwa!

Washindi hapa ni Mbowe na CHADEMA. Wao walitulia huku CCM na wapambe wake wakihaha kumtafutia msamaha Mbowe asioutaka. Mwishowe wamekubali wenyewe kupitia DPP kufuta kesi katika mazingira yaliyopinda sana.

Kuhusu katiba na tume, subiri ujionee kitakachotokea; kama kuna mtu atapumua.
 
Ni vizuri kujipa afueni kwa kujijengea fikra mbadala (Alternative facts).

Bahati mbaya sana, hiyo haiondoi ukweli kuwa serikali imeshindwa kikubwa kumhukumu kosa Mbowe and co. DPP, Police, mahakama wameaibika kikubwa kwa kujikanyagakanyaga katika mchakato mzima wa kesi hadi kuifuta. Jeshi limechafuliwa kwa makomando kuhusishwa na uhaini na kuteremshiwa vipigo na polisi. Imagine DPP anaondoa kesi wakati mahakama ilishampa ushindi kuwa ushahidi wa timu yake umethibitisha makosa ya watuhumiwa!

Washindi hapa ni Mbowe na CHADEMA. Wao walitulia huku CCM na wapambe wake wakihaha kumtafutia msamaha Mbowe asioutaka. Mwishowe wamekubali wenyewe kupitia DPP kufuta kesi katika mazingira yaliyopinda sana.

Kuhusu katiba na tume, subiri ujionee kitakachotokea; kama kuna mtu atapumua
Kwa jicho la 1+1=2, nakubaliana na wewe.
Binafs nimeangalia kilichopelekea Mbowe kufika alipofika na je mleta janga amefanikiwaje!
Lakin pia ujue hata serkali yenyewe na watendaji katika suala hili ilishaanza kuwa kama gunia la misumari kichwani! Naamin hawakuwa in one pace katika hili la kumdeal mbowe! Suala la nini kitafuata sina nafas kusema ila kiuhalisia kas ya kudai katiba imefifishwa! Hakuna mpenda haki na siasa za utawala bora asiyefurahi hili kuisha. Na bado damage ni kubwa kuliko hiyo milleage inayosemwa kapewa mbowe na cdm.
 
Back
Top Bottom