Lububi
JF-Expert Member
- May 3, 2013
- 2,158
- 3,808
Michezo ya kisiasa huwa iko complex kiasi kwamba huzalisha conspiracies nyingi. Kwa bahati mbaya na kwa heshma ya msemo wa "the majority are always not right" huwa tunaangalia kile tu tunaona(patent).
Mi kwa mtazamo wangu
1. Serkali na CCM kama chama tawala ndo washindi No moja katika sakata hili maana wameweza kuzima joto la baada ya uchaguzi wa 2020 kwa namna ulivyofanyika.
Pia wakazima vuguvugu la katiba mpya wakat wa kipindi kigumu cha mpito kwa rais aliyeko madarakan. Na zaidi morale ya kudai katiba mpya iko chini, ongezea na hali ya wananchi tulivyo hoi kifikra na kiuchumi.
Itafika 2025 hakuna hata kiraka cha katiba mpya wala katiba yenyewe. CCM wameshapata uhakikisho wa kuendesha nchi na chaguz kwa namna ile ile. Kiufup ccm wamei "contain" nchi kwa ufanis mkubwa. Alichoanzisha sabaya na uncle magu kimewalipa!
Pia kelele za ndan na nje dhidi ya serkali na chama zitapoa. Mission accomplished!
2. Mshindi wa pili ni waliokuwa ndan. Mzee Mbowe na wenzake. Wamepewa uhuru wao kujumuika na familia zao na jamii.
HATA HIVYO KUPEWA UNACHOSTAHILI SI KUPATA! Kisheria mawakili wameifanya kaz yao vzuri.
Hata hivyo nahis walikuwa wakipambana kupiga deadsnake! Wakijua Mbowe anatakiwa kushinda kesi na upande wa 2 wakijua mbowe alitakiwa kufungwa gavana ya kisiasa kwa muda flan ambao ulishatosha!
3. Mshindi wa tatu ni jaji na timu yake kimahakama. Hii kesi ilikuwa kubwa kwa sababu ya jamii na wahusika. Hukumu ya jaji huyu ilikuwa au jaji maarufu katika kutoa haki au awe jaji wa ovyo katika historia.
Ni kesi yenye precedent muhim. Kesi kuishia hajaihukum amepumua na posho kashakula ya kutosha. Amemaliza vizuri. Kama angefikishwa mwisho huenda angepatwa na stress za kunawa mikono mtu asulubiwe!
Kwahiyo kila upande unasherehekea kwa namna yake! Kila upande una ushindi mkononi.
Mi kwa mtazamo wangu
1. Serkali na CCM kama chama tawala ndo washindi No moja katika sakata hili maana wameweza kuzima joto la baada ya uchaguzi wa 2020 kwa namna ulivyofanyika.
Pia wakazima vuguvugu la katiba mpya wakat wa kipindi kigumu cha mpito kwa rais aliyeko madarakan. Na zaidi morale ya kudai katiba mpya iko chini, ongezea na hali ya wananchi tulivyo hoi kifikra na kiuchumi.
Itafika 2025 hakuna hata kiraka cha katiba mpya wala katiba yenyewe. CCM wameshapata uhakikisho wa kuendesha nchi na chaguz kwa namna ile ile. Kiufup ccm wamei "contain" nchi kwa ufanis mkubwa. Alichoanzisha sabaya na uncle magu kimewalipa!
Pia kelele za ndan na nje dhidi ya serkali na chama zitapoa. Mission accomplished!
2. Mshindi wa pili ni waliokuwa ndan. Mzee Mbowe na wenzake. Wamepewa uhuru wao kujumuika na familia zao na jamii.
HATA HIVYO KUPEWA UNACHOSTAHILI SI KUPATA! Kisheria mawakili wameifanya kaz yao vzuri.
Hata hivyo nahis walikuwa wakipambana kupiga deadsnake! Wakijua Mbowe anatakiwa kushinda kesi na upande wa 2 wakijua mbowe alitakiwa kufungwa gavana ya kisiasa kwa muda flan ambao ulishatosha!
3. Mshindi wa tatu ni jaji na timu yake kimahakama. Hii kesi ilikuwa kubwa kwa sababu ya jamii na wahusika. Hukumu ya jaji huyu ilikuwa au jaji maarufu katika kutoa haki au awe jaji wa ovyo katika historia.
Ni kesi yenye precedent muhim. Kesi kuishia hajaihukum amepumua na posho kashakula ya kutosha. Amemaliza vizuri. Kama angefikishwa mwisho huenda angepatwa na stress za kunawa mikono mtu asulubiwe!
Kwahiyo kila upande unasherehekea kwa namna yake! Kila upande una ushindi mkononi.