Mbowe kuachiwa Huru: Leo mshitaki, mshitakiwa na refa, wote wanasherehekea


Mbona rasimu ya katiba mpya ipo inasubiri kupigiwa kura?. Na ilizunduliwa na Rais kiwete kwenye uwanja wa Jamhuri Dodoma 2014. Sema imekuwa ngumu kutokana na kutoungwa mkono na makundi mengi.
 
Mbona rasimu ya katiba mpya ipo inasubiri kupigiwa kura?. Na ilizunduliwa na Rais kiwete kwenye uwanja wa Jamhuri Dodoma 2014. Sema imekuwa ngumu kutokana na kutoungwa mkono na makundi mengi.
Rasimu ile inasaidia tu kutukumbusha tulishahitaji katiba mpya lakin si rasimu ya katiba tunayohitaji maana ilichakachuliwa. Huenda tukaruka mkojo kukakanyaga mavi! Ila kiukweli kwa sasa bora tuweke kiraka cha tume huru ya uchaguz, na kupinga matokeo ya urais. Ili tupate viongoz bora watupe mwelekeo wa mchakato wa katiba bora. Hata mzee wangu mkwere aliendesha zoez la katiba kisanii. Hadi ikazaliwa ukawa
 
kwakweli nimeshangaa sana yaani hali duni kwa wananchi ndio raha yao eti...hahahahah kwakweli watz tuna safari ndefu
Ccm ni washinde KWA kuwa wamezuia katiba mpya?? Dah hii hatari Sana

Ccm wameicontain nchi kwa kuwafanya watu masikini zaidi ? Sawa bana

Munga ataingilia kati
 
Njaaa mbaya Sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…