Nehemia Kilave
JF-Expert Member
- Jan 9, 2022
- 1,414
- 3,118
aliambatana na binti yake as shield na kuwajaribu polisi ikiwa watamkamata yeye pekee au wote na binti yake na kwa kosa gani..Damu ni nzito kuliko maji , ujasiri wa polisi wa Tanzania tunaujua na walizuia maandamano .
Tuweke hisia za uvyama pembeni , je Mwenyekiti mbowe tar 23/9/2024 alimaanisha kuandamana ?
Mmesahau kwambwa watu hutwaliwa na kupotezwa?Damu ni nzito kuliko maji , ujasiri wa polisi wa Tanzania tunaujua na walizuia maandamano .
Tuweke hisia za uvyama pembeni , je Mwenyekiti mbowe tar 23/9/2024 alimaanisha kuandamana
Wabongo hatuna shukrani na ni wanafique tumepitilizaDamu ni nzito kuliko maji , ujasiri wa polisi wa Tanzania tunaujua na walizuia maandamano .
Tuweke hisia za uvyama pembeni , je Mwenyekiti mbowe tar 23/9/2024 alimaanisha kuandamana ?
Kama wewe , sasa wewe unaweza kwenda na mtoto wako sehemu ya hatari?Wabongo hatuna shukrani na ni wanafique tumepitiliza
Kila mtu ana uhuru wa mawazoKama wewe , sasa wewe unaweza kwenda na mtoto wako sehemu ya hatari?
Kwamba aliogopa akimuacha nyumbani atatwaliwa ?Mmesahau kwambwa watu hutwaliwa na kupotezwa?
Mwenzako Tigo mpaka muda huu anajikuna.......Damu ni nzito kuliko maji , ujasiri wa polisi wa Tanzania tunaujua na walizuia maandamano .
Tuweke hisia za uvyama pembeni , je Mwenyekiti mbowe tar 23/9/2024 alimaanisha kuandamana ?
Wewe kwa akili yako unasemaje?Damu ni nzito kuliko maji , ujasiri wa polisi wa Tanzania tunaujua na walizuia maandamano .
Tuweke hisia za uvyama pembeni , je Mwenyekiti mbowe tar 23/9/2024 alimaanisha kuandamana ?
Mbona wewe hukuandamana basi na wewe ni mnafiki wa kutupwa!Wabongo hatuna shukrani na ni wanafique tumepitiliza
We ulijitokeza au na wewe ulijificha kwenye tekno yakoWabongo hatuna shukrani na ni wanafique tumepitiliza
๐๐๐๐๐ฌ๐ข๐ง๐ ๐๐๐ง๐๐ ๐ฆ๐ฐ๐๐ง๐๐ฒ๐ ๐ฆ๐ง๐ ๐๐ฌ๐๐ฆ๐, ๐ฒ๐๐ฒ๐ ๐ฆ๐ฐ๐๐ง๐๐ ๐ค๐๐ฅ๐๐ฅ๐ ๐ฌ๐ข๐ฌ๐ข ๐ฆ๐๐ฌ๐ข๐ค๐ข๐ง๐ข ๐ง๐๐จ ๐ญ๐ฎ๐๐ง๐๐๐ฆ๐๐ง๐๐คฃ๐คฃ ๐ค๐๐๐ง๐๐ ๐ง๐ ๐ฆ๐ฐ๐๐ง๐๐ฒ๐ ๐ฌ๐๐ฌ๐
Mbowe alikwenda kuwapongeza Polisi kwa uzalendo wao wa kuandamana kwa niaba ya Chadema na kuionyesha dunia kuwa ni kweli CCM inalitumia jeshi hilo kuishibiti Chadema kama hiviDamu ni nzito kuliko maji , ujasiri wa polisi wa Tanzania tunaujua na walizuia maandamano .
Tuweke hisia za uvyama pembeni , je Mwenyekiti mbowe tar 23/9/2024 alimaanisha kuandamana
Ma keyboard warriors muda wenu wa kujifariji baada ya majonzi mazitoMbowe alikwenda kuwapongeza Polisi kwa uzalendo wao wa kuandamana kwa niaba ya Chadema na kuionyesha dunia kuwa ni kweli CCM inalitumia jeshi hilo kuishibiti Chadema kama hivi
Wabongo hatuna shukrani na ni wanafique tumepitizaDamu ni nzito kuliko maji , ujasiri wa polisi wa Tanzania tunaujua na walizuia maandamano .
Tuweke hisia za uvyama pembeni , je Mwenyekiti mbowe tar 23/9/2024 alimaanisha kuandamana ?
Maandamano ya amani tangu lini yakawa hatarishi.. Na ni mtu mzima si mtotoKama wewe , sasa wewe unaweza kwenda na mtoto wako sehemu ya hatari?