airGrid
JF-Expert Member
- Jul 9, 2015
- 961
- 772
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha utoto ,kuwa Upinzani haina unakuwa umefungwa akili . Wewe kwa akili zako maandamano yaliyopigwa marufuku na polisi yanakuwaje ya Amani ?Wabongo hatuna shukrani na ni wanafique tumepitiza
Maandamano ya amani tangu lini yakawa hatarishi.. Na ni mtu mzima si mtoto
Wakienda pekeyao mnawataka waende na watoto wao.. Wakienda nao eti ni hatari.. 🤔🥺🙇🏿♂
Wangemwachia dakika moja tu wangaa nyomi ya kufa mtu. Mbowe alimudu kuwachenga POLISI pamoja na ulinzi wote ule uliowekwa kila Kona lakini alifanikiwa kufika key point nakutoa hutuba ingawa kwa sekunde chache. CDM ni chama chenye nguvu sana pamoja nakupingwa na vyama vyote vya Upinzani, pamoja na vyombo vya dola lakini bado kinang'ara ni chama chenye Roho ya pakaDamu ni nzito kuliko maji , ujasiri wa polisi wa Tanzania tunaujua na walizuia maandamano .
Tuweke hisia za uvyama pembeni , je Mwenyekiti mbowe tar 23/9/2024 alimaanisha kuandamana ?
Tena yeye ni mmoja wa wanafiki wa kutupwa. Huku mitandaoni wanajifanya wafia chama, ukifika wakati wa sintofahamu wanaingia mitini!Mbona wewe hukuandamana basi na wewe ni mnafiki wa kutupwa!
Walikwenda for photo shoot ili wafadhili wawaoneDamu ni nzito kuliko maji , ujasiri wa polisi wa Tanzania tunaujua na walizuia maandamano .
Tuweke hisia za uvyama pembeni , je Mwenyekiti mbowe tar 23/9/2024 alimaanisha kuandamana ?
Wewe unaweza kwenye maandamano na mtoto ?Wangemwachia dakika moja tu wangaa nyomi ya kufa mtu. Mbowe alimudu kuwachenga POLISI pamoja na ulinzi wote ule uliowekwa kila Kona lakini alifanikiwa kufika key point nakutoa hutuba ingawa kwa sekunde chache. CDM ni chama chenye nguvu sana pamoja nakupingwa na vyama vyote vya Upinzani, pamoja na vyombo vya dola lakini bado kinang'ara ni chama chenye Roho ya paka
Kwamba unamaanisha sentensi kama hii? "Mwanangu usiogope twende.Polisi watatukamata then tutatoka baada ya muda".Damu ni nzito kuliko maji , ujasiri wa polisi wa Tanzania tunaujua na walizuia maandamano .
Tuweke hisia za uvyama pembeni , je Mwenyekiti mbowe tar 23/9/2024 alimaanisha kuandamana ?
Wabongo hatuna shukrani na ni wanafique tumepitizaDamu ni nzito kuliko maji , ujasiri wa polisi wa Tanzania tunaujua na walizuia maandamano .
Tuweke hisia za uvyama pembeni , je Mwenyekiti mbowe tar 23/9/2024 alimaanisha kuandamana ?
Maandamano ya amani tangu lini yakawa hatarishi.. Na ni mtu mzima si mtotoKama wewe , sasa wewe unaweza kwenda na mtoto wako sehemu ya hatari?
Changia hoja kwa hoja acha kebehiAcha utoto ,kuwa Upinzani haina unakuwa umefungwa akili . Wewe kwa akili zako maandamano yaliyopigwa marufuku na polisi yanakuwaje ya Amani ?
Wabongo hatuna shukrani na ni wanafique tumepitizaDamu ni nzito kuliko maji , ujasiri wa polisi wa Tanzania tunaujua na walizuia maandamano .
Tuweke hisia za uvyama pembeni , je Mwenyekiti mbowe tar 23/9/2024 alimaanisha kuandamana ?
Maandamano ya amani tangu lini yakawa hatarishi.. Na ni mtu mzima si mtotoKama wewe , sasa wewe unaweza kwenda na mtoto wako sehemu ya hatari?
Changia hoja kwa hoja acha kebehiAcha utoto ,kuwa Upinzani haina unakuwa umefungwa akili . Wewe kwa akili zako maandamano yaliyopigwa marufuku na polisi yanakuwaje ya Amani ?
Yule ni mtoto unadhaniWewe unaweza kwenye maandamano na mtoto ?
Damu ni nzito kuliko maji, ujasiri wa Polisi wa Tanzania tunaujua na walizuia maandamano.
Tuweke hisia za uvyama pembeni, je Mwenyekiti Mbowe tar 23/9/2024 alimaanisha kuandamana?
Sio mtoto wa mbowe ?Yule ni mtoto unadhani
Verified id huwa mna akili kisodaDamu ni nzito kuliko maji, ujasiri wa Polisi wa Tanzania tunaujua na walizuia maandamano.
Tuweke hisia za uvyama pembeni, je Mwenyekiti Mbowe tar 23/9/2024 alimaanisha kuandamana?
Nyie wenyewe mnadai watoto wao wako ulaya wa maskini ndio wanaondamana na kuuwawa. Sasa ameandamana na binti yake yamekuwa hayo tena!!!Wabongo hatuna shukrani na ni wanafique tumepitiliza