Albedo
JF-Expert Member
- Feb 24, 2008
- 5,558
- 1,456
Yaani Slaa tena awe raisi. Si Itakuwa balaa. UKATOLIKI MTUPU HAPO na nchi itakuwa ya Kikatoliki kama ilivyokuwa wakati wa JKN. kwani yeye alikuwa katibu wa TEC.
Watanzania tumwangalie sana Slaa huyu.
Mkuu si uliaga hapa unakwenda Meccah na Meddina sasa imekuwaje mkuu