Habari wanaJF
Itakapofika October 2020 nchi itajihusisha na uchaguzi mkuu wa madiwani, wabunge na rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania
kwa upande wa CCM kama katiba yao unavyojinadi kwamba Magufuli atapewa nafasi bila kupingwa ndani ya chama ili aweze kumalizia muhula wake wa hali ngumu kwa watanzania wote, gharama kubwa za maisha, hakuna ongezeko la mishahara, kuwacha watu wajifie na covid19 na kuua democray pia uvunjifu wa haki za binadamu
Kitendawili kipo vyama vya upinzani, wao wanapambana vilivyo kuhakikisha wanaiangusha serikali ya ccm
Je upinzani wamejipanga vipi katika kusimamisha mgombea wa urais?
Je umoja wao kama ukawa upo awamu hii
Kwa upande wa CHADEMA teyari watu werevu tumekwishaanza kuona uoelekeo wa nani atasimama kuwania nafasi ya urais hapa nchini
kwa sasa CHADEMA kimejipanga na Freeman Mbowe ndiye atakayepeperusha bendera ya chama
Hii haitakuwa mara ya kwanza kwa kiongozi huyu kuwania kiti cha urais hapa nchini, itakumbukwa pia 2005 aliwahi kufanya hivyo kupitia chadema na akashindwa vibaya
Kwa sasa Mbowe amejifanya kuchukua hatua mbalimbali kuonesha uwezo wake kwa watanzania, ikiwemo kuhakikisha anapangua hoja zote zinazotolewa na rais Magufuli
Je Mbowe ataweza kumtikisa Magufuli?
Nafasi ya mgombea kupitia chadema ngazi ya urais haijaangaliwa ndio wataamua bora liende tu wamekata tamaa?
Yetu macho watanzania kuelekea uchaguzi wa 2020
Itakapofika October 2020 nchi itajihusisha na uchaguzi mkuu wa madiwani, wabunge na rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania
kwa upande wa CCM kama katiba yao unavyojinadi kwamba Magufuli atapewa nafasi bila kupingwa ndani ya chama ili aweze kumalizia muhula wake wa hali ngumu kwa watanzania wote, gharama kubwa za maisha, hakuna ongezeko la mishahara, kuwacha watu wajifie na covid19 na kuua democray pia uvunjifu wa haki za binadamu
Kitendawili kipo vyama vya upinzani, wao wanapambana vilivyo kuhakikisha wanaiangusha serikali ya ccm
Je upinzani wamejipanga vipi katika kusimamisha mgombea wa urais?
Je umoja wao kama ukawa upo awamu hii
Kwa upande wa CHADEMA teyari watu werevu tumekwishaanza kuona uoelekeo wa nani atasimama kuwania nafasi ya urais hapa nchini
kwa sasa CHADEMA kimejipanga na Freeman Mbowe ndiye atakayepeperusha bendera ya chama
Hii haitakuwa mara ya kwanza kwa kiongozi huyu kuwania kiti cha urais hapa nchini, itakumbukwa pia 2005 aliwahi kufanya hivyo kupitia chadema na akashindwa vibaya
Kwa sasa Mbowe amejifanya kuchukua hatua mbalimbali kuonesha uwezo wake kwa watanzania, ikiwemo kuhakikisha anapangua hoja zote zinazotolewa na rais Magufuli
Je Mbowe ataweza kumtikisa Magufuli?
Nafasi ya mgombea kupitia chadema ngazi ya urais haijaangaliwa ndio wataamua bora liende tu wamekata tamaa?
Yetu macho watanzania kuelekea uchaguzi wa 2020