Uchaguzi 2020 Mbowe kugombea urais 2020 kupitia CHADEMA?

Uchaguzi 2020 Mbowe kugombea urais 2020 kupitia CHADEMA?

😂😂😂😂😂😂

Kwa mwaka huu, atayejaribu kushindana na Magu Kwa mwaka huu, haki ya Nani nasema, hata therusi ya wapiga Kura wote hatafikisha
 
Habari wanaJF

Itakapofika October 2020 nchi itajihusisha na uchaguzi mkuu wa madiwani, wabunge na rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania

kwa upande wa CCM kama katiba yao unavyojinadi kwamba Magufuli atapewa nafasi bila kupingwa ndani ya chama ili aweze kumalizia muhula wake wa hali ngumu kwa watanzania wote, gharama kubwa za maisha, hakuna ongezeko la mishahara, kuwacha watu wajifie na covid19 na kuua democray pia uvunjifu wa haki za binadamu

Kitendawili kipo vyama vya upinzani, wao wanapambana vilivyo kuhakikisha wanaiangusha serikali ya ccm
Je upinzani wamejipanga vipi katika kusimamisha mgombea wa urais?
Je umoja wao kama ukawa upo awamu hii

Kwa upande wa CHADEMA teyari watu werevu tumekwishaanza kuona uoelekeo wa nani atasimama kuwania nafasi ya urais hapa nchini

kwa sasa CHADEMA kimejipanga na Freeman Mbowe ndiye atakayepeperusha bendera ya chama

Hii haitakuwa mara ya kwanza kwa kiongozi huyu kuwania kiti cha urais hapa nchini, itakumbukwa pia 2005 aliwahi kufanya hivyo kupitia chadema na akashindwa vibaya

Kwa sasa Mbowe amejifanya kuchukua hatua mbalimbali kuonesha uwezo wake kwa watanzania, ikiwemo kuhakikisha anapangua hoja zote zinazotolewa na rais Magufuli
Je Mbowe ataweza kumtikisa Magufuli?
Nafasi ya mgombea kupitia chadema ngazi ya urais haijaangaliwa ndio wataamua bora liende tu wamekata tamaa?

Yetu macho watanzania kuelekea uchaguzi wa 2020
Huyu ndie anaeyafaa na atatimkisa magufuli. Chadema wampitishe fasta. Makamanda tumieni akili huyu lazima ashinde.
 
chadema hawamu hii hawana mtu wa kumshimamisha labda lissuu asingepata matatizo huu ndo ingekuwa muda wake

nchi haiyakiwi kishid
kwa na wakemia wala mabiologiest
inchi inatakiwa ishikwe na watu wa uchumi,communiy deveopment na law
 
Binafsi ninaamini kuwa, uchaguzi ukifanyika kwa haki na kwa uhuru kati ya Mh. Mbowe na magufuli, HAKIKA itakuwa shida sana kwa magufuli, maana anaweza kuzomewa vibaya sana katika kampeni achilia mbali kushinda. magu hawezi kufikisha 30% asilani. Ni maoni tu
 
Wasipomuweka mtu kama lisu wategemee maumivu, mbowe hata 20% ya kura hatochukua, watanzania wengi sana hawamuamini hata walio CDM wenyewe.
 
Wazee wa fitna na upikaji wa majungu - kweli nimeamini kwamba hii sasa ni kazi kama zilivyo kazi nyingine za maofisini na viwandani.
 
It is rubbish thinking. Siasa hazipo hivi Kama unavyofikiria wewe.Siasa Ni sayansi ambayo Huezi kuitabiri kirahis hivyo.
Hiv uliweza kutabiri Km CCM mwaka 2015 wangemsimamisha mh Magufuli?

Km ilikuwa surprise Katika siasa je wananchi waliipokeaje surprise hiyo. Alikubalika au hakukubalika?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom