Mbowe kuhusu kumpokea Dkt. Slaa: Walioondoka kwa kukidhalilisha chama watafute uungwana wakati wa kurudi

Mbowe kuhusu kumpokea Dkt. Slaa: Walioondoka kwa kukidhalilisha chama watafute uungwana wakati wa kurudi

JanguKamaJangu

JF-Expert Member
Joined
Feb 7, 2022
Posts
2,780
Reaction score
6,607
Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe ametoa kauli kuhusu taarifa za aliyewahi kuwa Katibu Mkuu wa chama hicho, Willibrod Peter Slaa kudaiwa kuwa mbioni kurejea kwenye chama hicho:

“Chama chetu ni cha kidigitali yeyote anaweza kujiunga au kutoka lakini chama cha siasa ni chombo cha watu na sio klabu.

“Hakuna urafiki wa kudumu au uadui wa kudumu, kwa mtu aliyekuwa kiongozi mwandamizi kwenye chama kama Dkt. Slaa ujio wake hauwezi kuwa kama mwanachama mwingine wa kawaida.

“Sisi hajatufikia, yeye alikuwa Karatu, akazungumza na Wananchi wake, ametoa kauli kauli wakati mwingine dhidi yetu na wakati mwingine kutuunga mkono, hayo ni maisha na lazima yaendelee.

“Tunawakaribisha wote CHADEMA, hatuna geti la kuzuia Wanachama wapya lakini tunatamani walioondoka kwenye chama kwa kashfa, kukidhalilisha chama wanapotaka kurejea watafute uungwana wa kuzungumza na viongozi wenzao kipi kilienda tofauti.
 
Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe ametoa kauli kuhusu taarifa za aliyewahi kuwa Katibu Mkuu wa chama hicho, Willibrod Peter Slaa kudaiwa kuwa mbioni kurejea kwenye chama hicho:

“Chama chetu ni cha kidigitali yeyote naweza kujiunga au kutoka lakini chama cha siasa ni chombo cha watu na sio klabu.

“Hakuna urafiki wa kudumu au uadui wa kudumu, kwa mtu aliyekuwa kiongozi mwandamizi kwenye chama kama Dkt. Slaa ujio wake hauwezi kuwa kama mwanachama mwingine wa kawaida.

“Sisi hajatufikia, yeye alikuwa Karatu, akazungumza na Wananchi wake, ametoa kauli kauli wakati mwingine dhidi yetu na wakati mwingine kutuunga mkono, hayo ni maisha na lazima yaendelee.

“Tunawakaribisha wote CHADEMA, hatuna geti la kuzuia Wanachama wapya lakini tunatamani walioondoka kwenye chama kwa kashfa, kukidhalilisha chama wanapotaka kurejea watafute uungwana wa kuzungumza na viongozi wenzao kipi kilienda tofauti.
Uungwana wa Freeman Mbowe ni mfano wa kuigwa kabisa nchi hii.
Angalia alivyo wahi kutukanwa na kukashifiwa na Dr Slaa aliyekuwa amemfadhili kwa kiwango cha juu lakini yeye leo anamkaribisha kwa uungwana na kumshauri atumie diplomasia ya kisiasa kuwaomba wengine kurejea.
Imagine mtu wa aina hiyo tunampa Urais wa nchi! Nchi itakuwa poa sana.
 
Mbowe bana, masharti gani anatoa hadharani wakati yeye ndio alimpokea Lowassa na kuishia kuharibu haiba ya chama? Atulie tu huyo Slaa arudi, kama kuna jambo anataka kujua toka kwake wamalize kimya kimya na sio kuongea hadharani.
Mbowe hakumpokea Lowassa peke yake, siku ile ya mapokezi walikuwepo Mbowe, Slaa, Lissu, Prof. Baregu na viongozi wengine.

Hiyo haiba ya chama iliyoharibika utakuwa unaiona kwa jicho lako, lakini sio macho ya wengine hasa kule field tunapoona mikutano yao.
 
Kumbe Ndiomana huwa hawarudishi Card zao wanapo Hama Vyama!!!Kwamba anarudi tu kienyeji!!!
 
Mbowe anamaanisha Dr. Slaa amejirudisha Chadema kimya kimya, au alidandia tu jukwaa la Chadema kufanya mambo yake, bila kutoa taarifa kwa viongozi wa chama?

Kama Dr. Slaa anajiita yeye ni miongoni mwa waanzilishi labda atakuwa na hiyo nafasi ya kujiamulia kufanya mambo yake, bila kutoa taarifa kwa wahusika, ukishawahi kuishi ndani ya nyumba ukaondoka, siku ya kurudi sio lazima kubisha hodi.
 
Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe ametoa kauli kuhusu taarifa za aliyewahi kuwa Katibu Mkuu wa chama hicho, Willibrod Peter Slaa kudaiwa kuwa mbioni kurejea kwenye chama hicho:

“Chama chetu ni cha kidigitali yeyote naweza kujiunga au kutoka lakini chama cha siasa ni chombo cha watu na sio klabu.

“Hakuna urafiki wa kudumu au uadui wa kudumu, kwa mtu aliyekuwa kiongozi mwandamizi kwenye chama kama Dkt. Slaa ujio wake hauwezi kuwa kama mwanachama mwingine wa kawaida.

“Sisi hajatufikia, yeye alikuwa Karatu, akazungumza na Wananchi wake, ametoa kauli kauli wakati mwingine dhidi yetu na wakati mwingine kutuunga mkono, hayo ni maisha na lazima yaendelee.

“Tunawakaribisha wote CHADEMA, hatuna geti la kuzuia Wanachama wapya lakini tunatamani walioondoka kwenye chama kwa kashfa, kukidhalilisha chama wanapotaka kurejea watafute uungwana wa kuzungumza na viongozi wenzao kipi kilienda tofauti.
Tunawakaribisha wote CHADEMA, hatuna geti la kuzuia Wanachama wapya lakini tunatamani walioondoka kwenye chama kwa kashfa, kukidhalilisha chama wanapotaka kurejea watafute uungwana wa kuzungumza na viongozi wenzao kipi kilienda tofauti
 
Sio awaombe ila ninyi Chadema mkamuombe arudi ili achangamshe hicho chama. Zaidi ya hapo mpeni uongozi wa juu.
 
Mbowe hakumpokea Lowassa peke yake, siku ile ya mapokezi walikuwepo Mbowe, Slaa, Lissu, Prof. Baregu na viongozi wengine.

Hiyo haiba ya chama iliyoharibika utakuwa unaiona kwa jicho lako, lakini sio macho ya wengine hasa kule field tunapoona mikutano yao.

Timu ikifungwa wetu husema ni uzembe wa kocha. Na kwenye hivi vyama mwenyekiti huwa na maamuzi 70%.
 
Tukubali tukatae,Mbowe amekomaa sana,anaongea maneno yenye mabtinki kwa wakati sahihi na mahali sahihi
 
Timu ikifungwa wetu husema ni uzembe wa kocha. Na kwenye hivi vyama mwenyekiti huwa na maamuzi 70%.
Kwanini unawafanya wasaidizi wa mwenyekiti waonekane kama watoto wadogo?

Naona unataka udikteta uchukue nafasi Chadema, halafu tena useme Mbowe anawaburuza wenzie, hutaki watu wafanye kazi kwa pamoja.
 
Back
Top Bottom