M24 Headquarters-Kigali
JF-Expert Member
- Jul 9, 2012
- 8,199
- 8,186
Mods msiruhusu ukumbi huu kuwa wa kitoto hivi! Mnauharibu watabaki wajinga wajinga mkiendekeza vitu kama hivi kuandikwa hapa. Maxence MeloMheshimiwa anaenda Kula uteuzi DC Mbozi kupoza maumivu ya kushindwa uchaguzi
Unamjua Mbowe au unaota??Mheshimiwa anaenda Kula uteuzi DC Mbozi kupoza maumivu ya kushindwa uchaguzi
WEWE NI MPUUZI KWELI KWELI! YANI UTAJIRI ALIONAO FAM AWE DC?Mheshimiwa anaenda Kula uteuzi DC Mbozi kupoza maumivu ya kushindwa uchaguzi
Sasa U Dc haumfai Mbowe?acheni dharau jmnMods msiruhusu ukumbi huu kuwa wa kitoto hivi! Mnauharibu watabaki wajinga wajinga mkiendekeza vitu kama hivi kuandikwa hapa. Maxence Melo
Wacha dharau. Mbowe saizi yake Urais akishuka kidogo Waziri Mkuu.Mheshimiwa anaenda Kula uteuzi DC Mbozi kupoza maumivu ya kushindwa uchaguzi
Umevuta asubuhisubuhi!Wacha dharau. Mbowe saizi yake Urais akishuka kidogo Waziri Mkuu.
alikuwa bora sana hadi akampokea Lowassa?Unamjua Mbowe au unaota??
Nimevuta kitu gani hebu nyoosha maelezoUmevuta asubuhisubuhi!
BhangiNimevuta kitu gani hebu nyoosha maelezo