M24 Headquarters-Kigali
JF-Expert Member
- Jul 9, 2012
- 8,199
- 8,186
- Thread starter
- #21
DC Mboe akakimbizane kuhimiza Kilimo cha mahindi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
OkayMheshimiwa anaenda Kula uteuzi DC Mbozi kupoza maumivu ya kushindwa uchaguzi
Sio utajiri tuu, akili, busara, werevu,hekima na uwezo wa Mbowe si wa kiwango cha TAMISEMI.WEWE NI MPUUZI KWELI KWELI! YANI UTAJIRI ALIONAO FAM AWE DC?
Utajiri, akili akaenda kugombea na Lissu?Sio utajiri tuu, akili, busara, werevu,hekima na uwezo wa Mbowe si wa kiwango cha TAMISEMI.
Mbowe ni wa kiwango cha TAIFA.
DemokrasiaUtajiri, akili akaenda kugombea na Lissu?
Bangi navuta nikienda vacation tu.Bhangi
DC ni mtumishi wa umma, Mbowe yuko 63 keshastaafu zamaaaani.Mheshimiwa anaenda Kula uteuzi DC Mbozi kupoza maumivu ya kushindwa uchaguzi
Kumbe na wewe humo, mambo ya vacationBangi navuta nikienda vacation tu.
Ubinadamu haupo hivyo. Yaani uchaguzi umeisha, aliyeshindwa amekubali, lakini bado wapambe wanaona haitoshi!Mheshimiwa anaenda Kula uteuzi DC Mbozi kupoza maumivu ya kushindwa uchaguzi
Karibu wa kunyumba maisha yenyewe mafupi haya fanya kazi na usisahau kujirusha,kazi na bata.Kumbe na wewe humo, mambo ya vacation
hawezi kujidhalilisha yule kaka mkubwa. u-DC ni hadhi ya chini sana kwake., hata kwangu.Mheshimiwa anaenda Kula uteuzi DC Mbozi kupoza maumivu ya kushindwa uchaguzi
Na wanaoleta kejeli ni vibaka wa CCM ya kwao yamewashinda wanarukia kwa jirani.Ubinadamu haupo hivyo. Yaani uchaguzi umeisha, aliyeshindwa amekubali, lakini bado wapambe wanaona haitoshi!