Mbowe kupendekeza uongozi ukae miaka mitatu madarakani, kisha Uchaguzi unafanyika

Mbowe kupendekeza uongozi ukae miaka mitatu madarakani, kisha Uchaguzi unafanyika

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe, amesema iwapo atafanikiwa kushinda uongozi wa juu wa chama hicho, atapeleka mapendekezo kwenye mkutano mkuu ili uchaguzi wa ndani uwe unafanyika kila baada ya miaka mitatu badala ya mitano.
IMG_2560.jpeg

Mbowe, anayetetea nafasi hiyo aliyoiongoza kwa miaka 21, amesema hatua hiyo itakifanya chama hicho kujiandaa kwa uchaguzi wa serikali za mitaa na miaka miwili ya maandalizi ya uchaguzi mkuu ili kuepuka kinachotokea sasa.

Soma: Mbowe: Uchaguzi kila baada ya miaka mitano ndiyo uomo wa madaraka

Mbowe amesema hayo na mengine mengi katika mahojiano yake na wahariri na waandishi wa habari wa Kampuni ya Mwananchi Communications Limited (MCL) leo Ijumaa, Januari 17, 2025, kuelekea uchaguzi wa Chadema utakaofanyika Januari 21, 2025 jijini Dar es Salaam.

"Ikiwa uongozi wa sasa utaingia mwaka 2025, ina maana Januari 2028 mpaka Desemba tuanze mwaka wa uchaguzi ndani ya chama ili 2029 tuwe na uongozi mpya ndani ya chama.

“Uongozi uwe na mwaka mmoja kujiandaa na uchaguzi wa serikali za mitaa na miaka miwili ya maandalizi ya uchaguzi mkuu ili kuondoka katika hili ambalo limetokea," amesema Mbowe.

Katika uchaguzi huo, Mbowe anashindana na wagombea wenzake watatu, Charles Odero na Makamu Mwenyekiti wa chama hicho bara, Tundu Lissu. Hali hiyo imeibua minyukano ndani na nje ya chama.
 
Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe, amesema iwapo atafanikiwa kushinda uongozi wa juu wa chama hicho, atapeleka mapendekezo kwenye mkutano mkuu ili uchaguzi wa ndani uwe unafanyika kila baada ya miaka mitatu badala ya mitano.
View attachment 3204422
Mbowe, anayetetea nafasi hiyo aliyoiongoza kwa miaka 21, amesema hatua hiyo itakifanya chama hicho kujiandaa kwa uchaguzi wa serikali za mitaa na miaka miwili ya maandalizi ya uchaguzi mkuu ili kuepuka kinachotokea sasa.

Soma: Mbowe: Uchaguzi kila baada ya miaka mitano ndiyo uomo wa madaraka

Mbowe amesema hayo na mengine mengi katika mahojiano yake na wahariri na waandishi wa habari wa Kampuni ya Mwananchi Communications Limited (MCL) leo Ijumaa, Januari 17, 2025, kuelekea uchaguzi wa Chadema utakaofanyika Januari 21, 2025 jijini Dar es Salaam.

"Ikiwa uongozi wa sasa utaingia mwaka 2025, ina maana Januari 2028 mpaka Desemba tuanze mwaka wa uchaguzi ndani ya chama ili 2029 tuwe na uongozi mpya ndani ya chama.

“Uongozi uwe na mwaka mmoja kujiandaa na uchaguzi wa serikali za mitaa na miaka miwili ya maandalizi ya uchaguzi mkuu ili kuondoka katika hili ambalo limetokea," amesema Mbowe.

Katika uchaguzi huo, Mbowe anashindana na wagombea wenzake watatu, Charles Odero na Makamu Mwenyekiti wa chama hicho bara, Tundu Lissu. Hali hiyo imeibua minyukano ndani na nje ya chama.
Naona Freeman amedata....kila chenye mwanzo kina mwisho...bapa lina tabia ya kuua brain neuro cells permanently....
 
Mgawanyo wa kura za Mbowe na Lissu tarehe 21st Jan 2025
Balaza la wazee - Mbowe 65% Lissu 35%
Balaza la wanawake Mbowe 75% Lissu 25%
Balaza la vijana Mbowe 55% Lissu 45%
Wajumbe wote Mbowe 60% Lissu 40%

Wastani jumla kuu
Mbowe 63.75
Lissu 36.25.

Game over !!
 
Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe, amesema iwapo atafanikiwa kushinda uongozi wa juu wa chama hicho, atapeleka mapendekezo kwenye mkutano mkuu ili uchaguzi wa ndani uwe unafanyika kila baada ya miaka mitatu badala ya mitano.
View attachment 3204422
Mbowe, anayetetea nafasi hiyo aliyoiongoza kwa miaka 21, amesema hatua hiyo itakifanya chama hicho kujiandaa kwa uchaguzi wa serikali za mitaa na miaka miwili ya maandalizi ya uchaguzi mkuu ili kuepuka kinachotokea sasa.

Soma: Mbowe: Uchaguzi kila baada ya miaka mitano ndiyo uomo wa madaraka

Mbowe amesema hayo na mengine mengi katika mahojiano yake na wahariri na waandishi wa habari wa Kampuni ya Mwananchi Communications Limited (MCL) leo Ijumaa, Januari 17, 2025, kuelekea uchaguzi wa Chadema utakaofanyika Januari 21, 2025 jijini Dar es Salaam.

"Ikiwa uongozi wa sasa utaingia mwaka 2025, ina maana Januari 2028 mpaka Desemba tuanze mwaka wa uchaguzi ndani ya chama ili 2029 tuwe na uongozi mpya ndani ya chama.

“Uongozi uwe na mwaka mmoja kujiandaa na uchaguzi wa serikali za mitaa na miaka miwili ya maandalizi ya uchaguzi mkuu ili kuondoka katika hili ambalo limetokea," amesema Mbowe.

Katika uchaguzi huo, Mbowe anashindana na wagombea wenzake watatu, Charles Odero na Makamu Mwenyekiti wa chama hicho bara, Tundu Lissu. Hali hiyo imeibua minyukano ndani na nje ya chama.
Nahisi jamaa kwa sasa angombea kulinda tu heshima vinginevyo angejiondoa kwenye kinyanganyiro.
 
Muheshimiwa kapanic. Mambo mengi muda mchache
 
Mgawanyo wa kura za Mbowe na Lissu tarehe 21st Jan 2025
Balaza la wazee - Mbowe 65% Lissu 35%
Balaza la wanawake Mbowe 75% Lissu 25%
Balaza la vijana Mbowe 55% Lissu 45%
Wajumbe wote Mbowe 60% Lissu 40%

Wastani jumla kuu
Mbowe 63.75
Lissu 36.25.

Game over !!
haya ni maoni na mapendekezo yako, hayana uhalisia
 
Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe, amesema iwapo atafanikiwa kushinda uongozi wa juu wa chama hicho, atapeleka mapendekezo kwenye mkutano mkuu ili uchaguzi wa ndani uwe unafanyika kila baada ya miaka mitatu badala ya mitano.
Kwanini anawaza hilo sasa?
 
Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe, amesema iwapo atafanikiwa kushinda uongozi wa juu wa chama hicho, atapeleka mapendekezo kwenye mkutano mkuu ili uchaguzi wa ndani uwe unafanyika kila baada ya miaka mitatu badala ya mitano.
View attachment 3204422
Mbowe, anayetetea nafasi hiyo aliyoiongoza kwa miaka 21, amesema hatua hiyo itakifanya chama hicho kujiandaa kwa uchaguzi wa serikali za mitaa na miaka miwili ya maandalizi ya uchaguzi mkuu ili kuepuka kinachotokea sasa.

Soma: Mbowe: Uchaguzi kila baada ya miaka mitano ndiyo uomo wa madaraka

Mbowe amesema hayo na mengine mengi katika mahojiano yake na wahariri na waandishi wa habari wa Kampuni ya Mwananchi Communications Limited (MCL) leo Ijumaa, Januari 17, 2025, kuelekea uchaguzi wa Chadema utakaofanyika Januari 21, 2025 jijini Dar es Salaam.

"Ikiwa uongozi wa sasa utaingia mwaka 2025, ina maana Januari 2028 mpaka Desemba tuanze mwaka wa uchaguzi ndani ya chama ili 2029 tuwe na uongozi mpya ndani ya chama.

“Uongozi uwe na mwaka mmoja kujiandaa na uchaguzi wa serikali za mitaa na miaka miwili ya maandalizi ya uchaguzi mkuu ili kuondoka katika hili ambalo limetokea," amesema Mbowe.

Katika uchaguzi huo, Mbowe anashindana na wagombea wenzake watatu, Charles Odero na Makamu Mwenyekiti wa chama hicho bara, Tundu Lissu. Hali hiyo imeibua minyukano ndani na nje ya chama.
Ukiweka common interval ya miaka mitatu, kila baada vipindi vitano (vya uchaguzi wa CHADEMA), uchaguzi wa mkuu na ule wa CHADEMA utagongana mwaka mmoja. Labda interval ya miaka mitatu ifanyike mara moja tu kisha normal interval ya miaka mitano iendee ndo kutakuwa na constant gap la miaka miwili.
 
Naona Freeman amedata....kila chenye mwanzo kina mwisho...bapa lina tabia ya kuua brain neuro cells permanently....
Hata Mimi nipo hapa na lijibapa..kwaio mkuu brain Neuro cells zangu zipo mashakani 🏃🏃🏃🏃
 
Mgawanyo wa kura za Mbowe na Lissu tarehe 21st Jan 2025
Balaza la wazee - Mbowe 65% Lissu 35%
Balaza la wanawake Mbowe 75% Lissu 25%
Balaza la vijana Mbowe 55% Lissu 45%
Wajumbe wote Mbowe 60% Lissu 40%

Wastani jumla kuu
Mbowe 63.75
Lissu 36.25.

Game over !!
Labda ufanyike uchafuzi Kama ule wa 2020 CCM kujitangazia kushindi wa KISHINDO

Wana mageuzi wote hawafurahishwi na muenendo wa mbowe na anavyo endesha chadema kwa Sasa.

Wasi wasi wa mbowe ni kukikabizi chama kwa mtu mwingine..maana chadema ni mbowe na mbowe ni chadema for years ilikua/ imekua ivyo ni muda Sasa mbowe apumzike
 
Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe, amesema iwapo atafanikiwa kushinda uongozi wa juu wa chama hicho, atapeleka mapendekezo kwenye mkutano mkuu ili uchaguzi wa ndani uwe unafanyika kila baada ya miaka mitatu badala ya mitano.
View attachment 3204422
Mbowe, anayetetea nafasi hiyo aliyoiongoza kwa miaka 21, amesema hatua hiyo itakifanya chama hicho kujiandaa kwa uchaguzi wa serikali za mitaa na miaka miwili ya maandalizi ya uchaguzi mkuu ili kuepuka kinachotokea sasa.

Soma: Mbowe: Uchaguzi kila baada ya miaka mitano ndiyo uomo wa madaraka

Mbowe amesema hayo na mengine mengi katika mahojiano yake na wahariri na waandishi wa habari wa Kampuni ya Mwananchi Communications Limited (MCL) leo Ijumaa, Januari 17, 2025, kuelekea uchaguzi wa Chadema utakaofanyika Januari 21, 2025 jijini Dar es Salaam.

"Ikiwa uongozi wa sasa utaingia mwaka 2025, ina maana Januari 2028 mpaka Desemba tuanze mwaka wa uchaguzi ndani ya chama ili 2029 tuwe na uongozi mpya ndani ya chama.

“Uongozi uwe na mwaka mmoja kujiandaa na uchaguzi wa serikali za mitaa na miaka miwili ya maandalizi ya uchaguzi mkuu ili kuondoka katika hili ambalo limetokea," amesema Mbowe.

Katika uchaguzi huo, Mbowe anashindana na wagombea wenzake watatu, Charles Odero na Makamu Mwenyekiti wa chama hicho bara, Tundu Lissu. Hali hiyo imeibua minyukano ndani na nje ya chama.
Mwambieni apokee simu ashiriki mdaharo.
Tabia za kukimbia mdaharo ni za kiccm
 
Back
Top Bottom