FREEMAN MBOWE UMEANZA TENA
Leo jumapili Terehe 20/03/2022 Mwenyekiti wa chadema Ndugu Freeman Mbowe aliungana na familia yake na wafuasi wake kutoa sadaka ya SHUKURANI katika kanisa la KKKT Dayosisi ya Kaskazini...
Jumapili (jana) kuna watu walivaa jezi za Yanga Kanisani. Vipi hapo Wakuu, mwongozo wenu basi!Tumeshafika sehemu ya kuwapangia watu wavae vipi kwenye makanisa yao na imani zao! Kila mtu ana uhuru wake na kanisa lina sheria zake. Rais Samia naye atafanya kwa imani yake.
Mbowe hajafanya kosa lolote kaenda kanisaniMkuu, mimi nikuulize swali moja tu.
Kuna sheria yoyote iliyovunjwa hapo.
Ukisema, NDIYO, basi nakusihi usimlilie Mama Mzinguo, wahimize wanaotakiwa kusimamia sheria hiyo wachukue hatua.
Watu kama nyinyi ndio mnaoleta shari ndani ya nchi hii kwa kutozingatia matakwa ya sheria zilizopo, badala yake mnakimbilia Mwenyekiti wa CCM atunge sheria zake kukidhi mahitaji yenu. Ndiyo maana wengi wenu mlimpenda sana yule shetani.
Mimi nilivaa ya Manchester United na hakuna mtu aliye lalamikaJumapili (jana) kuna watu walivaa jezi za Yanga Kanisani. Vipi hapo Wakuu, mwongozo wenu basi!
Kwa sababu ya viongozi wa makanisa wasiojitambua lakini ndio anguko lake la milele anajiona ameshinda anatukana mtu asiyekuwepo kujitetetea akimwacha aliye hai kwa kuogopa kurejeshwa kwenye kizuizi cha kisaikolojiaFREEMAN MBOWE UMEANZA TENA
Leo jumapili Terehe 20/03/2022 Mwenyekiti wa chadema Ndugu Freeman Mbowe aliungana na familia yake na wafuasi wake kutoa sadaka ya SHUKURANI katika kanisa la KKKT Dayosisi ya Kaskazini, ushariki wa Nshara machame
Kuna baadhi ya mambo yamenza kuonekana ambayo hayana dalili nzurii tuendako
1. Mbowe kwa kujua au kutokujua ameamua kulitumia tukio la sadaka ya shukrani kama sehemu ya mkutano wake wa siasa, akiwa na kundi la wanachama wake waliamua kwa makusudi kabisa kuvaa sare za chadema na wengine kuvaa kofia zisizo rasmi kanisani na kufanya ibada ambayo mavazi yao hayakuwa ya uchaji Mungu zaidi ya mavazi ya mikutano ya kisiasa (tazama ushahidi wa picha chini)
Tazama kianbatanisho cha picha za kanisani na nje ya lango kuu la kanisa
Mytake
1. Hivi leo mwenyekiti wa CCM Mhe Rais Samia Suluhu Hassan akisema anakwenda kutoa sadaka ya SHUKURANI msikitini na kuchukua maelfu ya wanachama wa CCM hivi dunia itasema nini?
2. Mbowe asidhani Mhe Rais Samia hajui anachofanya, narudia kusema acha wakati utaongea
USHAURI KWA KANISA KKKT
1. Askofu Mkuu wa kkkt Tanzania Dkt. Shoo ambae pia ni askofu wa dayosisi ya kaskazini ambako tukio hili liketokea leo tunaomba ujitafakari sana na mwenendo wa Mbowe ambae siku zote amekuwa akilitumia kanisa vibaya
-Mkuu wa jimbo la Hai Mchungaji msomi Biniel Maliyo usikubali jimbo lako kutwezwa na kutumiwa na wana siasa hata kama kuna shinikizo kutoka kwa Askofu wako simama katika
nafasi yako mana vyeo huja na kupita ila utukufu wa Mungu upo
- Sijawai kuona Mhe. Mbunge wa Hai Saashisha Mafuwe akienda kanisani na wanachama wa ccm wakiwa wamevaa nguo za kijani leo iweje tukio hili liwezekane kwa chadema ibadani?
2. Mbowe amekuwa akitumia kivuli cha kanisa kufanya siasa za hila mfano alipotoka gerezani alikwenda kanisani KKKT usharika wa Azania front na kuongea maneno ambayo hayakuwa ya kimadhabauni at all
3. Askofu Shoo anapaswa kutambua miongoni mwa waumini wa kkkt wapo pia wa vyama vingine leo ccm wakiamua kwenda kusali na mavazi ya kijani itakuwaje si ni vurugu?
USHAURI KWA MBOWE
Huu ni wakati wako wa kutulia na kutafakari hatima ya maisha yako kisiasa na kifamilia, unapotoka katika changamoto kubwa unashauriwa ujipe muda wa kutulia na kutafakari sana mana ni katika kipindi hiki unaweza kufanya mambo ya ajabu zaidi ukawa kituko zaidi, jipe muda tulia tafakari
USHAURI KWA WASAIDIZI WA RAIS SAMIA
Naomba mumshauri Mhe Rais Samia Suluhu Hassan pamoja na dhamira yake nzuri ta kutengeneza mazingira wezeshe ya kufanya siasa nchini atambue wako binadamu kamwe hata ukiwatengeneza mazingira mazuri watayaharibu wenyewe kwa makusudi, ni wakati sasa wa Mhe Rais kuwa macho na watu wasiolitakia taifa mema.
Nyuki kamwe hakumbatiwi
Makala na
Mangi kiongozi
Narumu machame
20/03/2022
View attachment 2158282
View attachment 2158283
View attachment 2158284
View attachment 2158285
Kuna watu hamjawahi kumaliza shule. Unapoambiwa kitu, tafuta mwenyewe ili uongeze ufahamu. Badala yake unampa shida aliyekudokeza ili yeye alete ushahidi. That's not helpful for your brain.Sijui kuhusu ukabila na udini lakini ingekuwa vema ungeweka hapa hiyo speech kuwa wkt wa jpm. Kama ni video au picha.
Na alisema akiwa wapi na akifanya nn alitoa hiyo kauli?
Too much misinformation too much rumors too much chawa.Kuna watu hamjawahi kumaliza shule. Unapoambiwa kitu, tafuta mwenyewe ili uongeze ufahamu. Badala yake unampa shida aliyekudokeza ili yeye alete ushahidi. That's not helpful for your brain.
Angalia na usikilize hii;
Hili la Wachaga kutoajiriwa Serikalini na Taasisi za Umma awamu ya tano, Mbowe anadanganya umma?
Namnukuu Mbowe ''Miaka mitano ya Hayati Magufuli ilikuwa ni miaka ya mateso kwa watu wa Kaskazini hususan Wachaga, ilifika wakati Magufuli akatoa maagizo ya Wachaga kutoajiriwa Serikalini na kwenye Taasisi za Umma''www.jamiiforums.com
View attachment 2159069
NonsenseKuna watu hawana shukrani, mama asipoangalia atapata tabu na uraisi atauona mgumu sana.
Amuulize mkwere walivyomsumbua kwa vijisababu vya kipuuzi kila siku.
Kuna watu hawahitaji kuchekewa hata sekunde.....watakusumbua mno
Katika hili jpm alinifurahisha sana, ilikuwa anawatwanga mabanzi tu kila wanapotaka kumsumbua na hatimaye akafanya mambo yake kwa uhuru kabisa.
kama kuwaacha huru wapinzani wafanye watakavyo ndiyo maendeleo, basi tungeendelea sana kipindi cha kikwete, lkn ona sasa nyuzi za kumpondea kilwete kila siku.
Kama kupewa uhuru ndiyo kupendwa na kuheshimiwa na kina mbowe na genge lake, basi kikwete wangemheshimu sana lakini hebu kumbuka jinsi walivyomdhalilisha.
Hapo siku si nyingi atawaita na wale misukule‐viongozi wake waliopo kule nje waje waungane na kumsumbua huyu mama yetu.......linakuja hili.
Kuna maaana gani kumchekea mtu anayekuharibia kila ufanyacho, tena kwa makusudi?!!!
Hao jamaa sio; ukicheza na mbwa atakufuata msikitini!!!
Unateseka?Kama anaendelea na Siasa zake za kumdhihaki na kumdhalilisha Magufuli (RIP) hafiki popote labda tu kama anatafuta Ubunge wa Hai lkn kama ni kwa Tanzania nzima, no chance!
Mimi CCM kama kweli huyo padri aliruhusu hill akili hana na hajui diniMwendawazimu!!!! Angeline Mabula alikuja kanisani na wafuasi wake kutoa shukrani wamevaa nguo za CCM katika Kanisa Katoliki la Kirumba baada ya kuteuliwa kuwa waziri kamili. Hapo hakuna shida.
Hbr za chato mkuuMuda ni Mwl mzuri. Huyu gaidi lazima afungwe tu.
Tuliza ngera ww!!Mbowe ana kihere here
Sorry kanisa katoliki baadhi ya majimbo wanaruhsuu mpaka wabunge wanaingia na sare za ccm.Viongozi wengi wa kanisa hili tumelipigia kelele sana humu kanisa ni neutral ground haitakiwi kuruhusu sare za vyama kuingia hata ziwe za CCM lakini KKKT kilimanjaro wameweka pamba masikioni
Katoliki na makanisa mengi nje ya KKKT wamelithibiti hilo mno
Wachaga wabishi hadi maaskofu wao
Tumia KIswahili braza! Naomba nikusaidie. ili ujue tofauti yangu na wewe;Too much misinformation too much rumors too much chawa.
Is why nikauliza. Now huku si chuoni where unapewa half news halaf zingine ujitafutia hatupo chuo hapa.
You have evidence weka hapa,si kujifanya mwana philosophy for simple question which require simple answers.
KKT hawataweza kujiondoa kwenye ukabila. Hata wao wanapochagua viongozi wao ni ukabila tu! Wanahonga hata pesa ili wapate uaskofu. Ukiwaangalia maaskofu wastaafu wote ni matajili hadi wanajenga mahoteli. Huyo Shoo unayemsikia ni mpigaji ni hakuna. We muite umpe ahadi ya milioni 3, utashangaa anakuja na debe la maji ya baraka, eti kukumwagia.Viongozi wengi wa kanisa hili tumelipigia kelele sana humu kanisa ni neutral ground haitakiwi kuruhusu sare za vyama kuingia hata ziwe za CCM lakini KKKT kilimanjaro wameweka pamba masikioni
Katoliki na makanisa mengi nje ya KKKT wamelithibiti hilo mno
Wachaga wabishi hadi maaskofu wao
Sorry siko interested na hizo siasa lakini sasa niseme tu mko so childish.KKT hawataweza kujiondoa kwenye ukabila. Hata wao wanapochagua viongozi wao ni ukabila tu! Wanahonga hata pesa ili wapate uaskofu. Ukiwaangalia maaskofu wastaafu wote ni matajili hadi wanajenga mahoteli. Huyo Shoo unayemsikia ni mpigaji ni hakuna. We muite umpe ahadi ya milioni 3, utashangaa anakuja na debe la maji ya baraka, eti kukumwagia.