Mbowe kwa kujua au kutokujua ameamua kuitumia Ibada ya Sadaka ya Shukrani kama sehemu ya mkutano wake wa siasa

Mbowe kwa kujua au kutokujua ameamua kuitumia Ibada ya Sadaka ya Shukrani kama sehemu ya mkutano wake wa siasa

FREEMAN MBOWE UMEANZA TENA

Leo jumapili Terehe 20/03/2022 Mwenyekiti wa chadema Ndugu Freeman Mbowe aliungana na familia yake na wafuasi wake kutoa sadaka ya SHUKURANI katika kanisa la KKKT Dayosisi ya Kaskazini...

Huna hoja kajipange upya.
 
Wewe ulifundishe Kanisa jinsi ya kujiendesha kama sio wehu ni nini hii?
Ukiona jambo umelufanya ccm wakakerema shikilia hapo hapo hawajawahi kuwaga watu wazuri hawa hata kidogi
 
Tumeshafika sehemu ya kuwapangia watu wavae vipi kwenye makanisa yao na imani zao! Kila mtu ana uhuru wake na kanisa lina sheria zake. Rais Samia naye atafanya kwa imani yake.
Jumapili (jana) kuna watu walivaa jezi za Yanga Kanisani. Vipi hapo Wakuu, mwongozo wenu basi!
 
Mkuu, mimi nikuulize swali moja tu.

Kuna sheria yoyote iliyovunjwa hapo.

Ukisema, NDIYO, basi nakusihi usimlilie Mama Mzinguo, wahimize wanaotakiwa kusimamia sheria hiyo wachukue hatua.

Watu kama nyinyi ndio mnaoleta shari ndani ya nchi hii kwa kutozingatia matakwa ya sheria zilizopo, badala yake mnakimbilia Mwenyekiti wa CCM atunge sheria zake kukidhi mahitaji yenu. Ndiyo maana wengi wenu mlimpenda sana yule shetani.
Mbowe hajafanya kosa lolote kaenda kanisani
 
FREEMAN MBOWE UMEANZA TENA

Leo jumapili Terehe 20/03/2022 Mwenyekiti wa chadema Ndugu Freeman Mbowe aliungana na familia yake na wafuasi wake kutoa sadaka ya SHUKURANI katika kanisa la KKKT Dayosisi ya Kaskazini, ushariki wa Nshara machame

Kuna baadhi ya mambo yamenza kuonekana ambayo hayana dalili nzurii tuendako

1. Mbowe kwa kujua au kutokujua ameamua kulitumia tukio la sadaka ya shukrani kama sehemu ya mkutano wake wa siasa, akiwa na kundi la wanachama wake waliamua kwa makusudi kabisa kuvaa sare za chadema na wengine kuvaa kofia zisizo rasmi kanisani na kufanya ibada ambayo mavazi yao hayakuwa ya uchaji Mungu zaidi ya mavazi ya mikutano ya kisiasa (tazama ushahidi wa picha chini)

Tazama kianbatanisho cha picha za kanisani na nje ya lango kuu la kanisa

Mytake
1. Hivi leo mwenyekiti wa CCM Mhe Rais Samia Suluhu Hassan akisema anakwenda kutoa sadaka ya SHUKURANI msikitini na kuchukua maelfu ya wanachama wa CCM hivi dunia itasema nini?

2. Mbowe asidhani Mhe Rais Samia hajui anachofanya, narudia kusema acha wakati utaongea

USHAURI KWA KANISA KKKT
1. Askofu Mkuu wa kkkt Tanzania Dkt. Shoo ambae pia ni askofu wa dayosisi ya kaskazini ambako tukio hili liketokea leo tunaomba ujitafakari sana na mwenendo wa Mbowe ambae siku zote amekuwa akilitumia kanisa vibaya

-Mkuu wa jimbo la Hai Mchungaji msomi Biniel Maliyo usikubali jimbo lako kutwezwa na kutumiwa na wana siasa hata kama kuna shinikizo kutoka kwa Askofu wako simama katika
nafasi yako mana vyeo huja na kupita ila utukufu wa Mungu upo

- Sijawai kuona Mhe. Mbunge wa Hai Saashisha Mafuwe akienda kanisani na wanachama wa ccm wakiwa wamevaa nguo za kijani leo iweje tukio hili liwezekane kwa chadema ibadani?

2. Mbowe amekuwa akitumia kivuli cha kanisa kufanya siasa za hila mfano alipotoka gerezani alikwenda kanisani KKKT usharika wa Azania front na kuongea maneno ambayo hayakuwa ya kimadhabauni at all

3. Askofu Shoo anapaswa kutambua miongoni mwa waumini wa kkkt wapo pia wa vyama vingine leo ccm wakiamua kwenda kusali na mavazi ya kijani itakuwaje si ni vurugu?

USHAURI KWA MBOWE
Huu ni wakati wako wa kutulia na kutafakari hatima ya maisha yako kisiasa na kifamilia, unapotoka katika changamoto kubwa unashauriwa ujipe muda wa kutulia na kutafakari sana mana ni katika kipindi hiki unaweza kufanya mambo ya ajabu zaidi ukawa kituko zaidi, jipe muda tulia tafakari

USHAURI KWA WASAIDIZI WA RAIS SAMIA
Naomba mumshauri Mhe Rais Samia Suluhu Hassan pamoja na dhamira yake nzuri ta kutengeneza mazingira wezeshe ya kufanya siasa nchini atambue wako binadamu kamwe hata ukiwatengeneza mazingira mazuri watayaharibu wenyewe kwa makusudi, ni wakati sasa wa Mhe Rais kuwa macho na watu wasiolitakia taifa mema.

Nyuki kamwe hakumbatiwi

Makala na
Mangi kiongozi
Narumu machame
20/03/2022

View attachment 2158282

View attachment 2158283

View attachment 2158284

View attachment 2158285
Kwa sababu ya viongozi wa makanisa wasiojitambua lakini ndio anguko lake la milele anajiona ameshinda anatukana mtu asiyekuwepo kujitetetea akimwacha aliye hai kwa kuogopa kurejeshwa kwenye kizuizi cha kisaikolojia
 
Sijui kuhusu ukabila na udini lakini ingekuwa vema ungeweka hapa hiyo speech kuwa wkt wa jpm. Kama ni video au picha.
Na alisema akiwa wapi na akifanya nn alitoa hiyo kauli?
Kuna watu hamjawahi kumaliza shule. Unapoambiwa kitu, tafuta mwenyewe ili uongeze ufahamu. Badala yake unampa shida aliyekudokeza ili yeye alete ushahidi. That's not helpful for your brain.

Angalia na usikilize hii;

 
Kuna watu hamjawahi kumaliza shule. Unapoambiwa kitu, tafuta mwenyewe ili uongeze ufahamu. Badala yake unampa shida aliyekudokeza ili yeye alete ushahidi. That's not helpful for your brain.

Angalia na usikilize hii;

View attachment 2159069
Too much misinformation too much rumors too much chawa.
Is why nikauliza. Now huku si chuoni where unapewa half news halaf zingine ujitafutia hatupo chuo hapa.
You have evidence weka hapa,si kujifanya mwana philosophy for simple question which require simple answers.
 
Mleta mada mbona una muwasho sana?
Nini shida aisee?
Funguka tukutatulie shida zako.
 
Kuna watu hawana shukrani, mama asipoangalia atapata tabu na uraisi atauona mgumu sana.

Amuulize mkwere walivyomsumbua kwa vijisababu vya kipuuzi kila siku.

Kuna watu hawahitaji kuchekewa hata sekunde.....watakusumbua mno

Katika hili jpm alinifurahisha sana, ilikuwa anawatwanga mabanzi tu kila wanapotaka kumsumbua na hatimaye akafanya mambo yake kwa uhuru kabisa.

kama kuwaacha huru wapinzani wafanye watakavyo ndiyo maendeleo, basi tungeendelea sana kipindi cha kikwete, lkn ona sasa nyuzi za kumpondea kilwete kila siku.

Kama kupewa uhuru ndiyo kupendwa na kuheshimiwa na kina mbowe na genge lake, basi kikwete wangemheshimu sana lakini hebu kumbuka jinsi walivyomdhalilisha.

Hapo siku si nyingi atawaita na wale misukule‐viongozi wake waliopo kule nje waje waungane na kumsumbua huyu mama yetu.......linakuja hili.

Kuna maaana gani kumchekea mtu anayekuharibia kila ufanyacho, tena kwa makusudi?!!!

Hao jamaa sio; ukicheza na mbwa atakufuata msikitini!!!
Nonsense
Umeandika hadithi ya alfu ulelaulela
 
Viongozi wengi wa kanisa hili tumelipigia kelele sana humu kanisa ni neutral ground haitakiwi kuruhusu sare za vyama kuingia hata ziwe za CCM lakini KKKT kilimanjaro wameweka pamba masikioni

Katoliki na makanisa mengi nje ya KKKT wamelithibiti hilo mno

Wachaga wabishi hadi maaskofu wao
 
Mwendawazimu!!!! Angeline Mabula alikuja kanisani na wafuasi wake kutoa shukrani wamevaa nguo za CCM katika Kanisa Katoliki la Kirumba baada ya kuteuliwa kuwa waziri kamili. Hapo hakuna shida.
Mimi CCM kama kweli huyo padri aliruhusu hill akili hana na hajui dini
Kanisani ni neutral place apewe onyo
 
Viongozi wengi wa kanisa hili tumelipigia kelele sana humu kanisa ni neutral ground haitakiwi kuruhusu sare za vyama kuingia hata ziwe za CCM lakini KKKT kilimanjaro wameweka pamba masikioni

Katoliki na makanisa mengi nje ya KKKT wamelithibiti hilo mno

Wachaga wabishi hadi maaskofu wao
Sorry kanisa katoliki baadhi ya majimbo wanaruhsuu mpaka wabunge wanaingia na sare za ccm.
Sitetei hivi vitendo. Ila hata rais aliepita alikuwa akipiga sana siasa madhabahuni na mapadre wako pale.

Mkukui kwa nguruwe mtam
 
Too much misinformation too much rumors too much chawa.
Is why nikauliza. Now huku si chuoni where unapewa half news halaf zingine ujitafutia hatupo chuo hapa.
You have evidence weka hapa,si kujifanya mwana philosophy for simple question which require simple answers.
Tumia KIswahili braza! Naomba nikusaidie. ili ujue tofauti yangu na wewe;
You wrote: You have evidence weka hapa,si kujifanya mwana philosophy for simple question which require simple answers.

I say: You have an evidence weka hapa,si kujifanya mwana philosophy for a simple question which requires simple answers.
 
Viongozi wengi wa kanisa hili tumelipigia kelele sana humu kanisa ni neutral ground haitakiwi kuruhusu sare za vyama kuingia hata ziwe za CCM lakini KKKT kilimanjaro wameweka pamba masikioni

Katoliki na makanisa mengi nje ya KKKT wamelithibiti hilo mno

Wachaga wabishi hadi maaskofu wao
KKT hawataweza kujiondoa kwenye ukabila. Hata wao wanapochagua viongozi wao ni ukabila tu! Wanahonga hata pesa ili wapate uaskofu. Ukiwaangalia maaskofu wastaafu wote ni matajili hadi wanajenga mahoteli. Huyo Shoo unayemsikia ni mpigaji ni hakuna. We muite umpe ahadi ya milioni 3, utashangaa anakuja na debe la maji ya baraka, eti kukumwagia.
 
KKT hawataweza kujiondoa kwenye ukabila. Hata wao wanapochagua viongozi wao ni ukabila tu! Wanahonga hata pesa ili wapate uaskofu. Ukiwaangalia maaskofu wastaafu wote ni matajili hadi wanajenga mahoteli. Huyo Shoo unayemsikia ni mpigaji ni hakuna. We muite umpe ahadi ya milioni 3, utashangaa anakuja na debe la maji ya baraka, eti kukumwagia.
Sorry siko interested na hizo siasa lakini sasa niseme tu mko so childish.
Kama vile ww ndio muanzilishi wa hilo kanisa nchini? [emoji1787][emoji1787]
Na ubaya wake umeanza kuonekana baada ya mbowe kutolewa.
Yaani wkt mbowe yuko gerezani hakukuwa na chambuzi za kijinga kama hizi.

Lets say mko right, fungulieni kesi wahusika pelekeni mahakamani badala ya kulalama huku
 
Back
Top Bottom