Mbowe kwa kujua au kutokujua ameamua kuitumia Ibada ya Sadaka ya Shukrani kama sehemu ya mkutano wake wa siasa

Ulichofanya ni nothing but kurekebisha tu sentesi niliyoandika.
That doesnt make you special man
 
We mwehu kwel,
Alpokua akifanya hivo JPM mlipiga sana kelele et anakosea, Leo magaidu wapumbav wenzako yanayolialia tu kutafuta huruma wamefanya Ivo et hawajavunja Sheria
Bro, acha wendawazim
 
Mwendazake ilikua kila siku kiguu na njia kanisani ...au umesahau
 
We mwehu kwel,
Alpokua akifanya hivo JPM mlipiga sana kelele et anakosea, Leo magaidu wapumbav wenzako yanayolialia tu kutafuta huruma wamefanya Ivo et hawajavunja Sheria
Bro, acha wendawazim
Unataka na wewe nikutambue kuwa umo JF, maana naona unajitahidi sana. Ngoja tuone utakavyoendelea!
 
Uwezo wako wa kufikiri ndio umeishia hapa kweli? Dah Tanzania yangu
 
Wewe imekuathiri vipi?
 

Wala usitumie nguvu
Wala usihuzunike
Wala usiwalaumu
Wala usiwaonee wivu
Waache waendelee kufanya mambo yao. Maana kwa kufanya hivyo wanakuwa wamejitia alama kuwa wao ni watu wa namna gan!!

KKKT inakubali kutumika kuw kichaka cha wana siasa. Wasipoangalia watapoteza sifa nzuri waliokuwa nayo kwamba wao hawana chama.

Hebu angalia katika picha, nguo walizovalia. Hebu chunguza zaidi alama wanazoonesha ya vidole viwili. Tangu lini KKKT wakawa na ishara ya aina hiyo!!??

KKKT mjitathmini na kujichunguza. Vinginevyo mtatiwa alama na watu wanaoshuhudia.
 
Mama hajaliona hili!..mama ajue hao wapo kazini na lengo Lao ni kumfelisha yeye na urais wake ili wao wapate cha kufanyia kazi huku mama akidhani kuwa anawatendea vyema!..
Kabisa yaani, hawa tamanio lao na malengo yao makuu ni hilo, kumfelisha. Awakenulie meno aone!!
 
Mtoa mada unaupungufu wa akili kwemye ubongo,
Wote tumekuwa tukishiriki kwemye ibada mbali mbali za harusi, misiba, na sherehe mbalimbali pasipo kujali dini rangi, kabila au chama cha siasa. Leo umeona shida watu hao kumsindikiza Mbowe?

Pili tumeona mara nyingi shughuli za kiserikali sio za kisiasa kujazana wanaccm na kupewa platform kuongea pasipo kupewa vyama vingine na wala hakujawahi kuwa na shida, leo unaona shida kwa Mbowe lo.

Wakati wa mwendazake tulizoea "double standard" sasa naona imeota mizizi
 
Muda ni Mwl mzuri. Huyu gaidi lazima afungwe tu.

Tujifunze nchi nyingine Warlords walivyo anza. Mbowe katika walinzi wake wako ex jewii komandos watatu aliokuwa nao jela. Hawa wanaolindwa na mabausa nao wataanza kutafuta ex komandos kama mbowe. Ex komando hao watatumika kufundisha wafuasi wengene wa hivi vyama utaalamu wa ujeda. Mwisho wasiku Tanzania tutaishia na wababe wajulikanao kama warlords. Sina hakika kama uko utaratibu wa kisheria wa kuwadhibiti hawa makomandoo wanapo achana na jeshi kwa sababu yeyote ile ikiwemo kustaafu.

Na wenye dhamana ya kutuongoza sijui wanaona hatari iliyo mbele ya Taifa hili kama huu utaratibu utachiwa uendelee na kuota mizizi.
 
Mbowe kakaa jela miezi nane kwa sababu ya siasa. Alipotoka jela kituo cha kwanza kilikuwa ikulu, walichoongea na Rais wanajua wao.
Mzee Rugemalila alipofutiwa kesi kituo cha kwanza bila kubadili mavazi kilikuwa kanisani.
Nini tofauti kati yao?
Mbowe ni mwanasiasa na ndani yake kuna utawala.
Rais anamfuatilia Mbowe zaidi kuliko Mzee Rugemalila. Nyuma ya Rugemalila ni familia yake,na nyuma ya Mbowe ni familia na kundi kubwa sana la wanasiasa na wasio wanasiasa japo wanapenda siasa.
Mkristo au msharika anapotoa taarifa ya kusudio la kutoa shukrani maalum kanisani,hakuna anayehangaika kujua watakujaje,maana siyo jukumu la kanisa.
Kilicho muhimu ni mkristo mwenyewe, aelewe nini maana ya sadaka yake.
Dini inabebwa na imani kama ilivyo kwenye siasa.
Mama yetu Samia huvaa mavazi yenye msukumo wa dini nyuma yake.
Hatugombani naye kwa kuwa hatudhuriki na mavazi yake.
Makanisani watu huvaa mpaka majezi yanayoashiria mapenzi ya timu fulani, je wakataliwe kuingia kanisani kwa hofu ya kuwakwaza waumini wenye mapenzi tofauti?
Imani hukaa moyoni na siyo kwenye mavazi.
Na isitoshe makanisa hayamchagulii muumini aina ya nguo ya kuvaa isipokuwa yawe mavazi ya staha. Wamasai wanaingia makanisani na mavazi yao ya kimila, hakuna anayehangaika nao.
 
Umesahau ibada za Meko na Mpango? Naona siku hizi haonyeshwi maana ilikuwa shida tupu kila jumapili, so get used to it.
 

Kwa hiyo siku hizi kuweka vidole viwili juu ni ishara ya msalaba ya KKKT!!!?
 
Ulichofanya ni nothing but kurekebisha tu sentesi niliyoandika.
That doesnt make you special man
NImesema andika Kiswahili, kwani ni kosa? Kwa nini unalazimisaha lugha usiyoiweza? Nahisi najaribu kukunja samaki mkavu.

Umeandika: That doesnt make you special man
Andika hivi: That doesn't make you a special person
Hii ni kwa lugha ya mtaani angalau! Nikiendelea sana makosa ni makubwa maana we don't make a special person!
 
Kumbe unahisi. Nilidhani una uhakika, pole
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…