Kwa mujibu wa katiba yetu ambayo ina halalisha uwepo wa muhimili uliojichimbia zaidi, mahakama ni sehemu ya chombo cha dola.
Ni kwa sababu hiyo japo mahakamani kulipaswa kuwa ni sehemu huru na kimbilio ambako haki ingetegemewa kupatikana si nadra kwa polisi au mamlaka kutishia kuwapeleka watu mahakamani.
Kivyetu vyetu polisi na mahakama Wana ukaribu usio na afya. Si ajabu kukuta DPP alikuwa polisi. Mahakama na polisi ni ndugu moja. Wawili hao kivyetu vyetu wanaweza kukubaliana chini ya meza.
Kivyetu vyetu si ajabu kukuta mamlaka zikitumia mahakama kuwanyima haki watuhumiwa.
Kama ilivyo kwa misahafu pasipokuwa na mashinikizo ya kutosha kutokea upande wa watuhumiwa mahakama zinaweza kutumika kuhalalisha mahitimisho.
Kutegemea tu nia njema binafsi ya hakimu au jaji asiyelipa kodi wala kuwajibishwa katika uamuzi wake, ni kulalia mlango wazi kwa bahati ya mwingine.
Hatima ya Mbowe haiko mikononi mwa mahakama bali i mikononi mwetu.
Mwendelezo wa makongamano zaidi ya kudai katiba kutamuweka Mbowe huru.
Kwani kesi ikiahirishwa repeatedly na hata indefinitely zipo options gani?
Polisi, mahakama na mwita chokochoko wote ni ndugu moja.
Tunachosubiria labda kama ni dodo kwenye mnazi.
Ni kwa sababu hiyo japo mahakamani kulipaswa kuwa ni sehemu huru na kimbilio ambako haki ingetegemewa kupatikana si nadra kwa polisi au mamlaka kutishia kuwapeleka watu mahakamani.
Kivyetu vyetu polisi na mahakama Wana ukaribu usio na afya. Si ajabu kukuta DPP alikuwa polisi. Mahakama na polisi ni ndugu moja. Wawili hao kivyetu vyetu wanaweza kukubaliana chini ya meza.
Kivyetu vyetu si ajabu kukuta mamlaka zikitumia mahakama kuwanyima haki watuhumiwa.
Kama ilivyo kwa misahafu pasipokuwa na mashinikizo ya kutosha kutokea upande wa watuhumiwa mahakama zinaweza kutumika kuhalalisha mahitimisho.
Kutegemea tu nia njema binafsi ya hakimu au jaji asiyelipa kodi wala kuwajibishwa katika uamuzi wake, ni kulalia mlango wazi kwa bahati ya mwingine.
Hatima ya Mbowe haiko mikononi mwa mahakama bali i mikononi mwetu.
Mwendelezo wa makongamano zaidi ya kudai katiba kutamuweka Mbowe huru.
Kwani kesi ikiahirishwa repeatedly na hata indefinitely zipo options gani?
Polisi, mahakama na mwita chokochoko wote ni ndugu moja.
Tunachosubiria labda kama ni dodo kwenye mnazi.