Mbowe, Lissu wafundeni wafuasi Falsafa ya Chama


1. Umenituhumu kutomtaja Mbowe. Hili nalo nilikuwa nimekuandikia wewe mapema:



Nalo tuseme hukuliona?

2. Niseme wazi, si kila mtu anafanya petty politics za kimaslahi labda kama nyie au wengine wowote.

3. Ifahamike kuwa ninakataa kumhukumu yeyote "kifo" kwa tuhuma za kibinadamu hapa duniani.

4. Kwangu mimi sina rafiki wala adui wa kudumu.

5. Kwangu miye ukimya wenye harufu ya opportunism ni usaliti mbaya zaidi:



6. Wewe huoni hivyo ndugu?
 
Hakuna mahali nimekushambulia .

Kuandika unavyotaka wewe niandikie ni kama vile unafanya kile ulichokataa denoo JG asikufanyie.

1. Wapi nimesema umenishambulia?

2. Nimesema umenituhumu. Mawili hayo ni tofauti.

3. Tuseme au tukubaliane tuhuma hii si kweli?

"Lakini CHADEMA kwa Sasa inaongozwa na Mbowe, mbali ya kulitaja Jina lake kwenye kichwa cha bandiko lako, hakuna mahali umetaja umahiri wake wa kiuongozi kuliko unavyomtaja Lissu."

4. Tafadhali thibitisha Ili tuufunge ukurasa huo pamoja ikikupendeza.
 
Hakuna mahali nimekushambulia .

Wapi nimesema umenishambulia?

Kuandika unavyotaka wewe niandikie ni kama vile unafanya kile ulichokataa denoo JG asikufanyie.

1.(a) Tangu lini hii ya kukutaka wewe kujikita kwenye hoja:



(b) Ikafanana na hii ya denoo JG kunitaka mimi kuandika atakavyo yeye?



2. Huoni kuwa kauli yako ni jitihada iliyoshindwa ya kujificha kama za huyu ndugu?



3. Ninakazia:

Hoja haikimbiwi wala kupingwa kwa rungu!
 
III. MBOWE LISSU NYINYI WENYEWE KWANZA SHIKENI NIDHAMU, MAHAKAMA IMESEMA MNAONEA WATU UHURU WA KUJITETEA..Ĺ
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…