Pre GE2025 Mbowe: Magufuli aliniambia niachane na CHADEMA, na atanirudishia kila kitu changu kilichopotea au cheo chochote

Pre GE2025 Mbowe: Magufuli aliniambia niachane na CHADEMA, na atanirudishia kila kitu changu kilichopotea au cheo chochote

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

the guardian 17

JF-Expert Member
Joined
Aug 15, 2024
Posts
395
Reaction score
570


"Akaniambia Mbowe achana na CHADEMA, kwa sababu alinisukuma sana nihamie CCM nikamwambia hilo katu sitaweza kwenye maisha yangu"

"Akinipelekea ujumbe nikiwa gerezani akaniambia achana na Chadema nitakurudishia mali zako zote zolizochukuliwa na utake biashara au cheo chochote nitakupa" - Freeman Mbowe

Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
 
View attachment 3197184

"Akaniambia Mbowe achana na CHADEMA, kwa sababu alinisukuma sana nihamie CCM nikamwambia hilo katu sitaweza kwenye maisha yangu"

"Akinipelekea ujumbe nikiwa gerezani akaniambia achana na Chadema nitakurudishia mali zako zote zolizochukuliwa na utake biashara au cheo chochote nitakupa" - Freeman Mbowe
Kwa hiyo ndio maana anataka kuwa mwenyekiti wa maisha?
 
View attachment 3197184

"Akaniambia Mbowe achana na CHADEMA, kwa sababu alinisukuma sana nihamie CCM nikamwambia hilo katu sitaweza kwenye maisha yangu"

"Akinipelekea ujumbe nikiwa gerezani akaniambia achana na Chadema nitakurudishia mali zako zote zolizochukuliwa na utake biashara au cheo chochote nitakupa" - Freeman Mbowe
Hata mwenzake Msigwa aliwahi sema hivo kuwa mpaka alipewa ubunge na uwaziri hakakataa, Sasahivi yuko CCM tena bila cheo chochote kila siku yuko majukwaani hakinadi CCM na Samia aliokuwa anawakandia.Lissu amesema vizuri kwenye interview zake kuwa wanasiasa ni waongowaongo, anaweza kukuambia hiki mkiachana anarudi kulekule.Mbowe kama aliwahi kukataa hizo hofa alipima maslahi kwasababu yeye ndiye mmiliki wa Chadema ana maslahi makubwa kuliko hivyo vyeo,hapa Tanganyika hakuna mwanasiasa anayeweza kukataa hiyo hofa labda Malhalim Sefu ambaye Sasahivi ni marehemu.
 
View attachment 3197184

"Akaniambia Mbowe achana na CHADEMA, kwa sababu alinisukuma sana nihamie CCM nikamwambia hilo katu sitaweza kwenye maisha yangu"

"Akinipelekea ujumbe nikiwa gerezani akaniambia achana na Chadema nitakurudishia mali zako zote zolizochukuliwa na utake biashara au cheo chochote nitakupa" - Freeman Mbowe
akaja akalegeza kwa mama
 
Kwish
View attachment 3197184

"Akaniambia Mbowe achana na CHADEMA, kwa sababu alinisukuma sana nihamie CCM nikamwambia hilo katu sitaweza kwenye maisha yangu"

"Akinipelekea ujumbe nikiwa gerezani akaniambia achana na Chadema nitakurudishia mali zako zote zolizochukuliwa na utake biashara au cheo chochote nitakupa" - Freeman Mbowe
Kwisha habari yake

Ameanza kujiongelea
 
Back
Top Bottom