Pre GE2025 Mbowe: Magufuli aliniambia niachane na CHADEMA, na atanirudishia kila kitu changu kilichopotea au cheo chochote

Pre GE2025 Mbowe: Magufuli aliniambia niachane na CHADEMA, na atanirudishia kila kitu changu kilichopotea au cheo chochote

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Wanasiasa siwezi kuwaamini kamwe hata awe mzazi au ndugu wa damu, anaongea kutetea kundi lililonyuma yake(chama) hata kama hoja anayowasilisha ni ovu au kustaajabisha namna gani.
Ninachoamini siasa za nchi yetu hakuna mpinzani anayeibuka hivi hivi bali ni watu wanaandaliwa na kupewa njia ya kufikia umaarufu walio nao(wanakua watu smart sio holela).
Anapofika peak system ikaona kweli anaweza kuchukua dola litatengenezwa zengwe aanguke wapandishe mtu mpya,tunaowaona wanapata madhila naamini hawa ndio wapinzani wa kweli wanaoambatana na hawa wanaotengnezwa.
Alisumbua sana mrema,akaletwa lipumba,mbatia na mbowe kila mtu kwa nyakati zao.
Mwisho ; SIASA NI MCHEZO MCHAFU NAMI NIMEACHANA NAO HADI NITAKAPO ONA KUNA MABADILIKO HATA VIONGOZI MTANICHAGULIA
 
Hata mwenzake Msigwa aliwahi sema hivo kuwa mpaka alipewa ubunge na uwaziri hakakataa, Sasahivi yuko CCM tena bila cheo chochote kila siku yuko majukwaani hakinadi CCM na Samia aliokuwa anawakandia.Lissu amesema vizuri kwenye interview zake kuwa wanasiasa ni waongowaongo, anaweza kukuambia hiki mkiachana anarudi kulekule.Mbowe kama aliwahi kukataa hizo hofa alipima maslahi kwasababu yeye ndiye mmiliki wa Chadema ana maslahi makubwa kuliko hivyo vyeo,hapa Tanganyika hakuna mwanasiasa anayeweza kukataa hiyo hofa labda Malhalim Sefu ambaye Sasahivi ni marehemu.
Tupo wengi sana, mfano LISSU, WARIOBA,MIMI,N.K.
 
Kitu kinachonichekesha, inaonekana enzi zile mtu hata akitumiwa meseji tu na mtu fulani junior kabisa pengine hata ajira mpya

Moja kwa moja anachukulia Rais kasema hivyo

Kweli elimu ndogo ni changamoto kubwa

Hivi mtu hajui Rais ni Taasisi??

Kuna chama na serikali zote zinavutia kwake, inaonekana kwa fikra za hawa wasioejielewa hata ikipigwa simu moja mtu akajitambulisha katoka Ikulu basi wanadhani moja kwa moja Rais kawatuma 😂😂😂😂

No wonder wakati wa mwendazake mlipigwa sana mali zenu sababu ya shobo mbinuko na kujipendekeza kusikofaa; simu moja tu tayari ushajichekesha
 
View attachment 3197184

"Akaniambia Mbowe achana na CHADEMA, kwa sababu alinisukuma sana nihamie CCM nikamwambia hilo katu sitaweza kwenye maisha yangu"

"Akinipelekea ujumbe nikiwa gerezani akaniambia achana na Chadema nitakurudishia mali zako zote zolizochukuliwa na utake biashara au cheo chochote nitakupa" - Freeman Mbowe
Hii Haijustify kukaa milele kama mwenyekiti.. huyu anazeekaje!?

Is he a replica of Museveni!?
🚮🚮🚮
 
View attachment 3197184

"Akaniambia Mbowe achana na CHADEMA, kwa sababu alinisukuma sana nihamie CCM nikamwambia hilo katu sitaweza kwenye maisha yangu"

"Akinipelekea ujumbe nikiwa gerezani akaniambia achana na Chadema nitakurudishia mali zako zote zolizochukuliwa na utake biashara au cheo chochote nitakupa" - Freeman Mbowe
Sultan mwongo sana anamsingizia Marehemu sasa.
 
Huyu jamaa bila kumtaja Hqyati Magufuli kwenye jina lake la sasa Mugabe Mseven Kagame Mbowe hawezi kuhutubia,Magufuli alikuwa Rais madaraka ya juu kabisa yy saizi anang'ang'ania Madaraka je akiwa Rais itakuwaje?Mbowe twambie kwann hutaki kung'atuka kwa heshima
 
mboye tuambie
nani kamuua magifuli?
nani kamuua bob chacha wangu?
nani kamuua mawazo?
yuko wapi ben saanene?
yuko wapi azor?
nani alimpiga risasi lisu?

mboye, they are closing in on you!
you may fool some people sometime
but you can’t fool all the people all the time!
 
We unazan hilo ni rahis tu,yaan image aliyoitengeneza kwa miaka yote hyo kwa upande wa mageuzi afu leo mjinga mmoja ampeleke ccm hata wananchi wasingeelewa

Magufuri alitaka kufanya visivyowezekana
Mbona Samia Suluhu ameweza? Hiyo habari ya Magufuli ni uongo wa huyu tapeli tu kwa vile anajua Magu hayupo kujitetea
 
Kamba ya wazi hii,bora alishtuka!

Cheo chochote apewe kwa shule ipi?
 
Back
Top Bottom