the guardian 17
JF-Expert Member
- Aug 15, 2024
- 395
- 570
Huyu ndiye kiongozi tunaemtaka: Freeman Aikael Mbowe!
Tunae or unae? Punguza kuwasemea watuHuyu ndiye kiongozi tunaemtaka: Freeman Aikael Mbowe!
Taifa zima linamhitaji Freeman Mbowe kuwaongoza hatutaki mtu mwingine. Halafu Mbowe sio mtu wa kuwek kwenye mizani moja na Lissu!Tunae or unae? Punguza kuwasemea watu
Kwa hiyo ndio maana anataka kuwa mwenyekiti wa maisha?View attachment 3197184
"Akaniambia Mbowe achana na CHADEMA, kwa sababu alinisukuma sana nihamie CCM nikamwambia hilo katu sitaweza kwenye maisha yangu"
"Akinipelekea ujumbe nikiwa gerezani akaniambia achana na Chadema nitakurudishia mali zako zote zolizochukuliwa na utake biashara au cheo chochote nitakupa" - Freeman Mbowe
Sema unayemtaka usitujumuishe wengine sisi kiongozi wetu ni Mheshimiwa Hashim RungweHuyu ndiye kiongozi tunaemtaka: Freeman Aikael Mbowe!
We unazan hilo ni rahis tu,yaan image aliyoitengeneza kwa miaka yote hyo kwa upande wa mageuzi afu leo mjinga mmoja ampeleke ccm hata wananchi wasingeelewaMchaga aambiwe hivyo akatae?? Nakataa. Ni fix tu za Mbowe.
Sema huko uchagani kwenu labdaTaifa zima linamhitaji Freeman Mbowe kuwaongoza hatutaki mtu mwingine. Halafu Mbowe sio mtu wa kuwek kwenye mizani moja na Lissu!
Hata mwenzake Msigwa aliwahi sema hivo kuwa mpaka alipewa ubunge na uwaziri hakakataa, Sasahivi yuko CCM tena bila cheo chochote kila siku yuko majukwaani hakinadi CCM na Samia aliokuwa anawakandia.Lissu amesema vizuri kwenye interview zake kuwa wanasiasa ni waongowaongo, anaweza kukuambia hiki mkiachana anarudi kulekule.Mbowe kama aliwahi kukataa hizo hofa alipima maslahi kwasababu yeye ndiye mmiliki wa Chadema ana maslahi makubwa kuliko hivyo vyeo,hapa Tanganyika hakuna mwanasiasa anayeweza kukataa hiyo hofa labda Malhalim Sefu ambaye Sasahivi ni marehemu.View attachment 3197184
"Akaniambia Mbowe achana na CHADEMA, kwa sababu alinisukuma sana nihamie CCM nikamwambia hilo katu sitaweza kwenye maisha yangu"
"Akinipelekea ujumbe nikiwa gerezani akaniambia achana na Chadema nitakurudishia mali zako zote zolizochukuliwa na utake biashara au cheo chochote nitakupa" - Freeman Mbowe
Aachage Uwongo Shujaa Magufuli hakuwa MTU wa kubembeleza hata hivyo Mbowe hajawahi kuwa tishio Kwa CCM wakati wowote Ule
akaja akalegeza kwa mamaView attachment 3197184
"Akaniambia Mbowe achana na CHADEMA, kwa sababu alinisukuma sana nihamie CCM nikamwambia hilo katu sitaweza kwenye maisha yangu"
"Akinipelekea ujumbe nikiwa gerezani akaniambia achana na Chadema nitakurudishia mali zako zote zolizochukuliwa na utake biashara au cheo chochote nitakupa" - Freeman Mbowe
Kwisha habari yakeView attachment 3197184
"Akaniambia Mbowe achana na CHADEMA, kwa sababu alinisukuma sana nihamie CCM nikamwambia hilo katu sitaweza kwenye maisha yangu"
"Akinipelekea ujumbe nikiwa gerezani akaniambia achana na Chadema nitakurudishia mali zako zote zolizochukuliwa na utake biashara au cheo chochote nitakupa" - Freeman Mbowe