Wale jamaa ni wapuuzi sana huwa wanashabikiaga kila kitu na vigeugeu haswa
SijuiKuna mtu amemzuia mama kujenga uchumi?
Ni kweli mkuu mm ndiye sema mama anao anao sana!Jitombashisho ni mataga buku 7, hajali kuhusu system
Naona umeamua kuwakaanga vijana wa Mbowe kwenye mafuta ya kukaangia samaki. Tena wakiwa uchi
Tatizo la CHADEMA huwa wanajisahau sana. Niliacha kufuatilia habari za CHADEMA tokea wasusie uchaguzi serikali ya mtaa 2019 na kuwaambia wenzao wasigombee. Ila kwenye ubunge 2020 hawakususia ulaji wao.
Ki ukweli viongozi waliwavunja moyo wanachama na hasa mashabiki wao. Huku kwetu Butiama wangeweza kushinda mitaa yote ila ndio hivyo tena.
Watoto wa kambo wako poa Sana kuliko wale wa ukoo wake maana ni wanafiki tu wao wapo tekelezewa mahitaji yao na mwisho wamtose,namshauri akawajali Sana watoto wa kambo ipo siku watamsadia Sana ,wa ukoo wake hamna kitu ,Tulitambua tu ngoma ya watoto huwa haikeshi!
Siku za kwanza-kwanza alinoga kweli hali iliyopelekea kupambwa kwa nyimbo na mapambio.
Tulimuonya hapa kwamba hao watoto si riziki! Usiwape nafasi ya kukupamba kwa mafuta ya kondoo maana kwalo huwa wanalo jambo.Hakutusikia.
Sasa wamemchenjia na wanadai kaanza kuvimba mapema kuliko walivyomtarajia hahahahaha!
Dakika ndiyo kwaaaanza ni ya 11 kwa hakika yangu macho.
Mytake; Mother anaupiga mwingi sana 😆
Hiyo Bado ndipo penye mashakaaMapungufu ya Mama Samia, hayawezi kulinganishwa na unnyama wa Maguful. Bado Nina Imani kubwa na Mama.
JPM hakuwahi kukataza watu kuvaa barakoa bali alisisitiza tuvae tulizozitengeneza wenyewe.Wewe hukumkosoa ulimshawishi hata pale alipopinga sayansi at watu wasivae Barakoa na kuwananga makamanda ati korona ipo au haipo