Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wenzetu na wenzangu ni sawa?Kwa hiyo Kikwete aliposema ndugu wamerekani wenzetu, Kikwete ni mmarekani?
Mama Samia alipokutana na wakristo alisema ndugu wakristo wenzangu kwa hiyo Rais Samia ni mkristo?
Jifunze matumizi ya Fasihi na Sarufi
Lini Rais Samia alisema hivyo?Kwa uelewa wako huu Hakika mfumo wetu wa elimu una shida
Mtu mzima na familia bado unashindwa kuelewa video, Je ingekuwa maandishi si ungepagawa kabisa
Ningekuwa karibu na wewe Hakika ningekutandika viboko mbele ya mkeo na watoto wako
Kama unashindwa kuelewa video ya dakika moja utaweza elewa hotuba ya mfumuko wa bei ya dk kumi na tano
Nchi hii kuna mbumbu wengi sana
Kuna watu JF mliwezaje kufaulu mitihani kama uelewa wenu ni finyu namna hii
Kwa akili hizi na wewe unaitwa Baba kwenye familia
Hakika mwanao ana kazi kubwa kukukomboa kifikra
Rais Samia anaposema ndugu wakristu wenzangu, Kwa hiyo Samia ni mkristo?
Naona raisi Samia ashaanza kuingizwa kwenye siasa za majitaka.Lini Rais Samia alisema hivyo?
MakasirikoHebu toa uzuzu wako hapa
Bavicha Wana upuuzi mwingi sanaNaona raisi Samia ashaanza kuingizwa kwenye siasa za majitaka.
Wengi wamechanganyikiwa baada ya mwenyekiti kukaa nao mbali kimawazo na kimtazamo.Bavicha Wana upuuzi mwingi sana
Unamdanganya nani?Mbowe anaitongoza ccm itoe katiba mpya na Tume huru ya uchaguzi... sasa kwenye kutongoza huwa hatutumii ukali kama baadhi ya makabila ....
Team chadema ni Tmk kiumeni... Lazima tupooze sauti jamani [emoji23][emoji23][emoji23] ... Au huko Team chawa mmezoea furugu ??? Basi safar hii tumeamua kuja kivingine
Pole sana mama latifa
Sasa Mbowe akiwa CCM B nyiinyi machawa wa CCM mnaumia nini? Acheni Chadema ndio walalamike