Freeman Mbowe amesema katika mahojiano yake na Azam TV kuwa anafanyiwa character assassination na wabaya wake kwenye Mitandao ili aonekane hakubaliki ila ukweli ni kwamba yeye anakubalika sana na bado anasifa za kuendelea kuwa kiongozi wa Upinzani.
Mbowe anasema wale wote wanaonesha tabia zisizo za Kichadema watashughulikiwa baada ya Uchaguzi.
Usiondoke Jf kwa habari motomoto
Mbowe anasema wale wote wanaonesha tabia zisizo za Kichadema watashughulikiwa baada ya Uchaguzi.
Usiondoke Jf kwa habari motomoto