M O N S T E R
JF-Expert Member
- Sep 26, 2022
- 2,818
- 8,465
Ashindwe uchaguzi, simple and straightforward.Anakubalika kweli,ila Sasa apishe ili tusonge mbele!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ashindwe uchaguzi, simple and straightforward.Anakubalika kweli,ila Sasa apishe ili tusonge mbele!
Sawa, akishinda kihuni kura atatafuta pa kuzipata uchaguzi mkuu ujao, wanachama walio WENGI watasusa!!.Kuna wajinga ukiwaambia Mbowe ameshamaliza uchaguzi hawaelewi.
Kuna wajinga ukiwaambia Mbowe ameshamaliza uchaguzi hawaelewi.
Kwani Tundu Lissu, Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, naye ni mtu wa mitandaoni tu?Freeman Mbowe amesema katika mahojiano yake na Azam TV kuwa anafanyiwa character assassination na wabaya wake kwenye Mitandao ili aonekane hakubaliki ila ukweli ni kwamba yeye anakubalika sana na bado anasifa za kuendelea kuwa kiongozi wa Upinzani.
Mbowe anasema wale wote wanaonesha tabia zisizo za Kichadema watashughulikiwa baada ya Uchaguzi.
Usiondoke Jf kwa habari motomoto
View attachment 3204258
Kumbe kupiga kelele kwako kote humu na kujiona mjuaji kumbe ni chawa wa mwenyekiti !!! Bure kabisa.Kuna wajinga ukiwaambia Mbowe ameshamaliza uchaguzi hawaelewi.
AMECHANGANYIKIWA. Hajui kwamba wajumbe wa chadema karibu wote wapo humu mitandaoni.Chadema siku zote harakati zake huwa zinakuwa pushed na mitandao ya kijamii. CCM siku zote huwa wanaiponda chadema kuwa umaarufu wake zaidi uko mitandaoni na chadema huwa inabisha kwa kusema walioko mitandaoni ndio hao hao wapiga kura.
Leo mwenyekiti anakandia mitandao kuwa inapotosha. Kweli hakuna kibaya wala kizuri inategemea unasimamia wapi kwa wakati huo.
Powered by AI and visungura.Kumbe kupiga kelele kwako kote humu na kujiona mjuaji kumbe ni chawa wa mwenyekiti !!! Bure kabisa.
Hili vibe ccm imeshinda kwa 98% uchaguzi wa serikali za mtaa majuzi tu.Vibe lote hili bado anashupaza shingo? Akubali ukweli na uhalisia anatakiwa apishe mtu mwingine kuongoza chama
Tundu Lisu ndio mamlaka ya nidhamu Chadema, anashindwa kutimiza wajibu wake anakuja kubwatabwata mitaani.Kwani Tundu Lissu, Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, naye ni mtu wa mitandaoni tu?
Mashabiki wa Lisu ni kama vichaa, uchaguzi ndio utaamuwa kidemokrasia sasa sijui kelele zinatoka wapi?Mpaka ashinde uchaguzi, kuhitajika tu pasina kushinda uchaguzi hakuwezi kumfanya kuwa mwenyekiti.
This logical fallacy is called non sequitur.Tundu Lisu ndio mamlaka ya nidhamu Chadema, anashindwa kutimiza wajibu wake anakuja kubwatabwata mitaani.
ule nao ulikuwa uchaguzi?Hili vibe ccm imeshinda kwa 98% uchaguzi wa serikali za mtaa majuzi tu.
Mimi nimeanza kumjuwa Lisu kama mwanaharakati na ameshatetea kesi za watu bure bila malipo.This logical fallacy is called non sequitur.
Sijasema namtetea Tundu Lissu, sijasema Tundu Lissu katimiza wajibu wake, sijasema Tundu Lissu hakubwabwaja.
Mimi mwenyewe nishamkosoa Tundu Lissu.
Nimekuuliza hiviii.
Kwani Tundu Lissu, Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, naye ni mtu wa mitandaoni tu?
Hujajibu swali nililokuuliza, na ulichojibu kuhusu Tundu Lissu si nilichokuuliza.
Katika muktadha wa mazungumzo ya Mbowe, Lissu kuwa wa mitandaoni tu au si wa mitandaoni tu kuna umuhimu.Mimi nimeanza kumjuwa Lisu kama mwanaharakati na ameshatetea kesi za watu bure bila malipo.
Ni wa mitandaoni au siyo wa mitandaoni hilo sijui lakini Lisu ni well popular fiqure in Tanzania.
Sijawahi kumsikia poote akisema atafanya kipi au kwanni achaguliweMbowe badala ya kusema atafanya nini ambacho hakukifanya kwa miaka 21, aanabaki kulalamika kama mtoto mdogo
Sijaelewa mantiki ya swali lako, hakuna kwenye interview Mbowe amemtaja Lisu kuwa wa mitandaoni.Katika muktadha wa mazungumzo ya Mbowe, Lissu kuwa wa mitandaoni tu au si wa mitandaoni tu kuna umuhimu.
Kwa sababu kama Lissu si mtu wa mitandaoni tu, ni Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, ama Mbowe ni muongo anadanganya kwa makusudi, ama Mbowe ni mjinga sana haelewi kuwa Makanu Mwenyekiti wa CHADEMA anayempinga si mtu wa mitandaoni tu.
Sasa obviously Lissu si mtu wa mutandaoni tu, ni Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA.
Kwa hiyo, Mbowe ni muongo ama mjinga?