2kiangalia ukweli ni kwamba hip hop must raise up.lazima wasanii wajue hip hop c lazima utukane but inapohitajika kufanya hivyo basi haina jinsi.labda neno likitoka bila kuliedit ndo wataelewa.tumechoka kuburuzwa tunataka kuona real hip hop.
Hao watoto wanataka kupanda mnazi huku wakiwa wamevaa msuli we msafiri ndugu yangu unakuwa kama huwajui wabongo kwa kugandamizia idea za wenzao???????????????????????????????????