Uchaguzi 2020 Mbowe, Mnyika, Tundu nje ya Bunge CHADEMA patachimbika

Uchaguzi 2020 Mbowe, Mnyika, Tundu nje ya Bunge CHADEMA patachimbika

Kamanda jikite kwenye hoja acha kubwabwaja
Ni vema kwa sasa kila mgombea wa udiwani afanye uhakiki wa vituo katika kata yake ili kubaini vituo hewa. Ni vema kuhakiki wapiga kura kubaini walioongezwa na kuhakikisha kuwa mawakala wanatambua vituo vyao kabla ya siku ya uchaguzi. Kila mgombea ubunge hali kadhalika afanye hivyo kwa jimbo lake. Tume imehalalisha kuingiza karatasi nyingi za kupigia kura na kudai kuwa mtu anaweza kuomba karatasi nyingine kama akibadilisha uamuzi au kuharibu ya awali. Huku ni kuhalalisha kuingiza balot papers nyingi vituoni kwa nia ya wizi. Si kuna kura zinazoharibika ambazo nazo huhesabiwa? Kuna kila dalili kuwa tume inaratibu wizi wa kura badala ya kuzuia. Kwa kusema mtu hata anaweza kutumia leseni ya udereva kupigia kura hiyo nsyo ni nini kama sio kuruhusu mwanya wa wizi wa kura???
 
Fisi anaposubiri mkono udondoke hatafanikiwa.chadema hata aondoke nani itazidi kuwa na nguvu
 
Hivi hamnaga kitu zaidi ya kulalamika ?
Ni mpumbavu /mwoga tu ndiye anaweza kuona dhuluma ikifanywa halafu akakaa kimya. Mwenye akili hushtuka na kupiga kelele! Tuna akili timamu. Miaka 60 ya uhuru chini ya CCM hakuna maji, barabara mbovu, elimu na afya dhaifu, umasikini uliokithiri, utawala wa kibabe, uhuru unazidi kudorora, hakuna utawala wa haki yaani wa kisheria, hazina ya taifa inatumika ovyo kujenga vitu (monuments) badala ya kutatua shida za wananchi, deni la taifa linakua kila uchao na mengine mengi halafu tukae kimya? Tutakuwa tumepumbaa akili. Wale wenye macho yasiyoona na waoga ngoja wao wanyamaze. Tunao ona tutalalamika na zaidi ya kulalamika!!!
 
Kutenganisha CCM na wizi wa kura ni sawa na kusema wanajeshi wasivae gwanda
 
Kwahiyo umepiga kelele?
Ni mpumbavu /mwoga tu ndiye anaweza kuona dhuluma ikifanywa halafu akakaa kimya. Mwenye akili hushtuka na kupiga kelele! Tuna akili timamu. Miaka 60 ya uhuru chini ya CCM hakuna maji, barabara mbovu, elimu na afya dhaifu, umasikini uliokithiri, utawala wa kibabe, uhuru unazidi kudorora, hakuna utawala wa haki yaani wa kisheria, hazina ya taifa inatumika ovyo kujenga vitu (monuments) badala ya kutatua shida za wananchi, deni la taifa linakua kila uchao na mengine mengi halafu tukae kimya? Tutakuwa tumepumbaa akili. Wale wenye macho yasiyoona na waoga ngoja wao wanyamaze. Tunao ona tutalalamika na zaidi ya kulalamika!!!
 
Ndugu zangu,

Kutokana na hali ilivyo huenda CHADEMA ikakosa Mbunge ambaye ni kiongozi Mkuu katika chama kwani Mbowe ambaye ni Mwenyekiti nafasi yake kurudi bungeni ni finyu mno kwani Wananchi wa Hai wameshamtaka akabidhi Jimbo.

Kwa upande wa Mnyika yeye alishasoma alama za nyakati akaamua kujitoa kugombea ubunge, Tundu ambaye ni makamu mwenyekiti yeye amechagua kushiriki kugombea urais huku akijua hashindi. Salum Mwalim ambaye ni kiongozi kwa upande wa Zanzibar anashiriki kwenye uchaguzi kama mgombea mwenza wa Tundu Lissu.

Ni dhahiri hao wote baada ya uchaguzi wataishi kwa kutegemea posho kutoka chamani hapa ndipo patachimbika na ukizingatia ruzuku inaenda kupungua.

Wasipo kuwa wavumilivu tutegemee watu kugawana mbao.
Utopolo kichwani. Hao ni watanzania, lazima wafuate sheria na taratibu za nchi kama wananchi wengine. Hakuna aliye juu ya sheria hata Anti-Pas analijua hilo vizuri.
 
Duh umemkemea kwa dhati kabisa
Kama hujapimuwa mashamba yako Bure wewe ni mvivu. Kama unatembea kwenye vumbi wewe uko porini, kama watoto wako wanalipa ada ya shule basi wewe ni zezeta waambie wakurudishie pesa yako, kama hujatibiwa Muhimbili na Benjamin Basi wewe hujaugua .
Kifupi sisi watanzania temenogewa na huduma bora zinavyo boreshwa.
Wewe nenda kadai huduma zako Ubeligiji kwa mashoga wenu.
 
Mkuu@wakudadavua hivi pale ufipa walikufanya nini? Naona uko desperate sana na chadema.
Nyuzi zako nyingi zinahusu chadema kuliko huko uliko ccm.
Tueleze tu usitufiche
Mkuu hata Mimi huwa namshangaa huyu mama.
Lakini mkuu unapoachana na mwanamke alfu baada ya kuachana anakufuatilia,ujue huko alikokimbilia hakunwi vizuri.yangu ni hayo.
 
Mkuu hata Mimi huwa namshangaa huyu mama.
Lakini mkuu unapoachana na mwanamke alfu baada ya kuachana anakufuatilia,ujue huko alikokimbilia hakunwi vizuri.yangu ni hayo.
Umegusa penyewe mkuu.
Hilo ndo jibu sahihi.
 
Back
Top Bottom