Mbowe must go, hatukutaki!

Kaka kwema
 
Pole sana kijana
 
Huyu mwamba huenda ni mtu wa "mfumo" ndio maana hataki kuachia Uenyekiti. Wale wale tu akina "Nyepesi", "mama Tanzania", Hayati "Mrema" n.k
 
Mbowe amelisababishia Taifa hasara kubwa sana.

Kimsingi Taifa limerudi nyuma kwa sababu ya Mbowe!
Kuanzia awepo madarakani hadi sasa mikopo inazidi! Maendeleo ni ya kusua sua. Miradi mingi inafeli!
Mbowe huyo!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…