"Tunakubaliana wote kwamba rushwa ni kitu kibaya, wala asitokee mtu akijifanya yeye ni mtakatifu sana kwamba yeye katika maisha haya ni msafi kama Mtume, kwamba wengine tu ndio wa rushwa, yeye ana haki na monopoly ya usafi kuliko wote si kweli"
"Mimi kwasababu sina ushahidi, siwezi nikasema wanahusika lakini nasisitiza rushwa ni tatizo kubwa katika Taifa, lipo CHADEMA kwasababu CHADEMA ni sehemu ya hiyo jamii"
"Kwenye hili suala la rushwa narudia tumesema na Katibu Mkuu ametangaza mara nyingi, mimi natangaza tena leo, yeyote ambaye anaweza akatusaidia, sisi hatuwezi kujua kila kitu, lazima tutegemee taarifa kutoka vyanzo mbalimbali, atupe huo ushahidi tuweze kushughulikia haya mambo kwa mujibu wa Katiba yetu, Kanuni zetu ambazo zipo wazi"
"Tunakubaliana wote kwamba rushwa ni kitu kibaya, wala asitokee mtu akijifanya yeye ni mtakatifu sana kwamba yeye katika maisha haya ni msafi kama Mtume, kwamba wengine tu ndio wa rushwa, yeye ana haki na monopoly ya usafi kuliko wote si kweli"
"Mimi kwasababu sina ushahidi, siwezi nikasema wanahusika lakini nasisitiza rushwa ni tatizo kubwa katika Taifa, lipo CHADEMA kwasababu CHADEMA ni sehemu ya hiyo jamii"
"Kwenye hili suala la rushwa narudia tumesema na Katibu Mkuu ametangaza mara nyingi, mimi natangaza tena leo, yeyote ambaye anaweza akatusaidia, sisi hatuwezi kujua kila kitu, lazima tutegemee taarifa kutoka vyanzo mbalimbali, atupe huo ushahidi tuweze kushughulikia haya mambo kwa mujibu wa Katiba yetu, Kanuni zetu ambazo zipo wazi"
"Tunakubaliana wote kwamba rushwa ni kitu kibaya, wala asitokee mtu akijifanya yeye ni mtakatifu sana kwamba yeye katika maisha haya ni msafi kama Mtume, kwamba wengine tu ndio wa rushwa, yeye ana haki na monopoly ya usafi kuliko wote si kweli"
"Mimi kwasababu sina ushahidi, siwezi nikasema wanahusika lakini nasisitiza rushwa ni tatizo kubwa katika Taifa, lipo CHADEMA kwasababu CHADEMA ni sehemu ya hiyo jamii"
"Kwenye hili suala la rushwa narudia tumesema na Katibu Mkuu ametangaza mara nyingi, mimi natangaza tena leo, yeyote ambaye anaweza akatusaidia, sisi hatuwezi kujua kila kitu, lazima tutegemee taarifa kutoka vyanzo mbalimbali, atupe huo ushahidi tuweze kushughulikia haya mambo kwa mujibu wa Katiba yetu, Kanuni zetu ambazo zipo wazi"
Ushahidi upi wakati rushwa ndio tegemeo la Mbowe katika uchaguzi huu.
Wapambe wake wanajinasibu hadharani kuwa watatumia pesa kununua kura kwa sababu pesa ipo.
Nadhani ni kibri cha ile bil 12