Nelson Kileo
JF-Expert Member
- Oct 29, 2011
- 3,053
- 3,259
Je anachokifanya Mwenyekiti wa CHADEMA mh. Mbowe kwenye bunge la katiba ni sahihi.
Anachukua karatasi na kusainisha wabunge kwa lengo la kutafuta wanaounga mkono serikali tatu na kujiita Friends of Tanganyika.
Hivi ni sahihi kwa hili?
Anachukua karatasi na kusainisha wabunge kwa lengo la kutafuta wanaounga mkono serikali tatu na kujiita Friends of Tanganyika.
Hivi ni sahihi kwa hili?