Pre GE2025 Mbowe na genge lake wanapofanya yale wanayolalamikia CCM, wanapoteza justification ya kulalamika chaguzi zijazo

Pre GE2025 Mbowe na genge lake wanapofanya yale wanayolalamikia CCM, wanapoteza justification ya kulalamika chaguzi zijazo

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

wastani kwa idadi

JF-Expert Member
Joined
Jun 28, 2024
Posts
503
Reaction score
1,432
ENGUA style ya Mbowe ni ya kikatili mno haina maelezo, wajumbe wanaenguliwa bila sababu maalum, Tulizoea kusikia watu kuenguliwa kwa makosa kwenye ya kuandika barua ila hii ni next level, unapigwa benchi bila sababu

1737375504868.png


Wanachama wengi wanao support Team Lissu wamepigwa marufuku kuhudhuria mkutano, Onyo la kibabe limeshatolewa, kipigo kitakuwa ni cha mbwa koko alietikisa meza konyagi ikadondoka.

1737375480625.png


wanalalamika kuna Ukanda kumbe wao wamezidi ndani ya chama kuna ukabila, Lema kamuunga mkono Lissu bila kujali kabila lake lakini cha ajabu jambo hili limefichua kuna watu wana mindset za kikabila ndani ya chama, Kongole kwa Lema kujali utaifa kuzidi kabila kwenye mambo ya kitaifa.

1737376998999.png
 
ENGUA style ya Mbowe ni ya kikatili mno haina maelezo, wajumbe wanaenguliwa bila sababu maalum, Tulizoea kusikia watu kuenguliwa kwa makosa kwenye ya kuandika barua ila hii ni next level, unapigwa benchi bila sababu

View attachment 3207368

Wanachama wengi wanao support Team Lissu wamepigwa marufuku kuhudhuria mkutano, kuna mkwara umechimbwa huko kwamba Muhimbili madaktari wametingwa na majukumu, kina Lema wasijaribu kusogelea

View attachment 3207370
Wanufaika wa mboga mboga sio?
 
ENGUA style ya Mbowe ni ya kikatili mno haina maelezo, wajumbe wanaenguliwa bila sababu maalum, Tulizoea kusikia watu kuenguliwa kwa makosa kwenye ya kuandika barua ila hii ni next level, unapigwa benchi bila sababu

View attachment 3207368

Wanachama wengi wanao support Team Lissu wamepigwa marufuku kuhudhuria mkutano, kuna mkwara umechimbwa huko kwamba Muhimbili madaktari wametingwa na majukumu, kina Lema wasijaribu kusogelea

View attachment 3207370
Sasa hapa tutaelewa kwamba kile wanachopigia kelel kuwa ccm na serikali yake huwa wanapiga na kuwaumiza wanaowapinga ndicho watakifanya hata wao wangekuwa na dola.
 
Yaani mtapigwa mno, mtapigwa sana, mnadhani Mbowe ni wa kuchezea.

Askofu Mapinduzi huyo aliyeishia darasa la pili "D"
 
Wasichojua machawa wa zee la konyagi kile wanacho kifanya wanazidi kumvua nguo bwana wao, sasa kama huyo mpumbavu mmoja anatishia kuwavunja watu kabisa alafu kesho utamkuta anaikosoa ccm na serikali kwa kufanya ambayo yeye ana "yashadadia" 🧐 kwenye chama tuu mnataka kutoana roho alafu ndio mnataka mpewe nchi nyie, wapumbavu kweli
 
Maana HALISI ya MDUDE CHADEMA kupoteza muda kupambania asicho kujua ni muda MDUDE CHADEMA kujiunga na chama Cha mapinduzi CCM
 
ENGUA style ya Mbowe ni ya kikatili mno haina maelezo, wajumbe wanaenguliwa bila sababu maalum, Tulizoea kusikia watu kuenguliwa kwa makosa kwenye ya kuandika barua ila hii ni next level, unapigwa benchi bila sababu

View attachment 3207380

Wanachama wengi wanao support Team Lissu wamepigwa marufuku kuhudhuria mkutano, kuna mkwara umechimbwa huko kwamba Muhimbili madaktari wametingwa na majukumu, kina Lema wasijaribu kusogelea

View attachment 3207379
Kauli ya yeriko ,inasadifu matendo machafu yaliyokuwa yanafanywa na watu waliokuwa wanasemekana ni wasiojulikana, sasa wameanza kujianika
 
Yaani mtapigwa mno, mtapigwa sana, mnadhani Mbowe ni wa kuchezea.

Askofu Mapinduzi huyo aliyeishia darasa la pili "D"
Chiembe,mchezo wake na mtaa wa jirani ulishavumbuliwa,na mliokuja kwa mkopo kaeni kwa kutulia dawa ifanye kazi.
 
Nafikiri kuliko hivyo,chauma kitamfaa zaidi ama cck.
Mara nyingi nimelisema hili na nitalisemaa... MDUDE CHADEMA amewai kupata misukosuko tele nusra kifo kwa kuitetea chadema

Ni muda muafaka kujitenga na Giza Kama mbowe akishinda chadema haito aminika Tena na Wana mapinduzi/ mageuzi
 
ENGUA style ya Mbowe ni ya kikatili mno haina maelezo, wajumbe wanaenguliwa bila sababu maalum, Tulizoea kusikia watu kuenguliwa kwa makosa kwenye ya kuandika barua ila hii ni next level, unapigwa benchi bila sababu

View attachment 3207380

Wanachama wengi wanao support Team Lissu wamepigwa marufuku kuhudhuria mkutano, Onyo la kibabe limeshatolewa, kipigo kitakuwa ni cha mbwa koko alietikisa meza konyagi ikadondoka.

View attachment 3207379
Mmmh yaani chadema ana mtisha chadema mwenzake tunaanza kujua watekaji ni kina nani
 
ENGUA style ya Mbowe ni ya kikatili mno haina maelezo, wajumbe wanaenguliwa bila sababu maalum, Tulizoea kusikia watu kuenguliwa kwa makosa kwenye ya kuandika barua ila hii ni next level, unapigwa benchi bila sababu

View attachment 3207380

Wanachama wengi wanao support Team Lissu wamepigwa marufuku kuhudhuria mkutano, Onyo la kibabe limeshatolewa, kipigo kitakuwa ni cha mbwa koko alietikisa meza konyagi ikadondoka.

View attachment 3207379
Mmmh yaani chadema ana mtisha chadema mwenzake tunaanza kujua wateaji ni kina nani
 
Mara nyingi nimelisema hili na nitalisemaa... MDUDE CHADEMA amewai kupata misukosuko tele nusra kifo kwa kuitetea chadema

Ni muda muafaka kujitenga na Giza Kama mbowe akishinda chadema haito aminika Tena na Wana mapinduzi/ mageuzi
Ndiyo sasa tuelewe kwanini vijana wanakuwa machawa wa CCM. Maana unaweza kupoteza maisha ukidhani unapigania course fulani kumbe unapigania ndoto binafsi za tumbo la mtu fulani.
Vijana wengi nahisi wamegundua hilo ndiyo maana wamegeuka machawa wa CCM kwa kasi ya ajabu na tegemea wengi zaidi kuwa machawa.
 
Mmmh yaani chadema ana mtisha chadema mwenzake tunaanza kujua watekaji ni kina nani
Yeriko huyo huyo anayelalamika polisi kutumia nguvu leo anawambia chadema wenzake kuwa watawavunja wasisogee.
CCM ikisema baada ya kupiga kura nenda nyumbani hakuna kulinda kura utawasikia wakilalamika.
 
Hakuna haja ya uchaguzi, CCM wateuane wenyewe na kama kuna haja ya ulazima ya kuwa na vyama rafiki Bungeni, CCM wafanye tena kama kwa Covid 19.
 
Back
Top Bottom